johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,894
Juzikati ilitangazwa na Bakwata kuwa baraza la eid halitakuwepo kwa sababu za kuhofia mikusanyiko.
Sasa baada ya taarifa ya serikali kwamba Corona imepungua je baraza la Eid litakuwepo au msimamo bado ni ule ule?
Sasa baada ya taarifa ya serikali kwamba Corona imepungua je baraza la Eid litakuwepo au msimamo bado ni ule ule?