Kwakuwa Serikali haina dini basi Mapumziko yawe yanaanza siku ya kwanza ya kuswali Eid el Fitr hapa Tanzania

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,038
Nilikuwa na appointment Ofisi Moja ya Serikali leo saa 3 asubuhi lakini muhusika kanitumia Ujumbe niende saa 8 kwa sababu leo anaswali Eid.

Nimeshangaa kwa sababu Mufti katangaza Eid ni kesho lakini nimeambiwa na wajuzi kwamba Mufti hutangaza Mwezi wa Bakwata ila mwezi wa dunia hutangazwa huko Macca.

Naishauri Serikali iweke Utaratibu katika Hili kutuepushia usumbufu, kwa mfano leo ingekuwa Mapumziko kwa sababu kuna kundi kubwa tu la Jami ya kiislam watapumzika itake isitake.

Ahsante.
 
Nilikuwa na appointment Ofisi Moja ya Serikali leo saa 3 asubuhi lakini muhusika kanitumia Ujumbe niende saa 8 kwa sababu leo anaswali Eid

Nimeshangaa kwa sababu Mufti katangaza Eid ni kesho lakini nimeambiwa na wajuzi kwamba Mufti hutangaza Mwezi wa Bakwata ila mwezi wa dunia hutangazwa huko Macca

Naishauri Serikali iweke Utaratibu katika Hili kutuepushia usumbufu, kwa mfano leo ingekuwa Mapumziko kwa sababu kuna kundi kubwa tu la Jami ya kiislam watapumzika itake isitake

Ahsante
Utaratibu ni huu, taarifa za mwezi na sikukuu zinatolewa na bakwata( serikali) sasa sijui unataka serikali ipi tena itoe tamko?

msimamo wa bakwata ni kufunga na kufungua pale mwezi unapoonekana kwa Tanzania hawajauona thats why leo siyo sikukuu.

On other hand sio sahihi kwa sababu dunia ni moja, moon sight ni moja kwanini Bongo wasiamini kuwa uganda na kenya wameona?
 
Nilikuwa na appointment Ofisi Moja ya Serikali leo saa 3 asubuhi lakini muhusika kanitumia Ujumbe niende saa 8 kwa sababu leo anaswali Eid

Nimeshangaa kwa sababu Mufti katangaza Eid ni kesho lakini nimeambiwa na wajuzi kwamba Mufti hutangaza Mwezi wa Bakwata ila mwezi wa dunia hutangazwa huko Macca

Naishauri Serikali iweke Utaratibu katika Hili kutuepushia usumbufu, kwa mfano leo ingekuwa Mapumziko kwa sababu kuna kundi kubwa tu la Jami ya kiislam watapumzika itake isitake

Ahsante
Reality Eid ni leo, hayo mengine ni interest za watu tu!!
 
Utaratibu ni huu, taarifa za mwezi na sikukuu zinatolewa na bakwata( serikali) sasa sijui unataka serikali ipi tena itoe tamko?
msimamo wa bakwata ni kufunga na kufungua pale mwezi unapoonekana kwa Tanzania hawajauona thats why leo siyo sikukuu.

On other hand sio sahihi kwa sababu dunia ni moja, moon sight ni moja kwanini Bongo wasiamini kuwa uganda na kenya wameona?
Kwa kweli Tanzania kila Kitu ni cha kipekee
 
Back
Top Bottom