Baada ya Kuwasoma Horoya FC naomba 'Formations' hizi Mbili zitumike katika Vipindi vyote Viwili

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Kipindi cha Kwanza

Simba SC ianze na Mfumo ( Formation ) ya 3-5-2 kwakuwa Horoya FC wako vyema katika Kiungo na hasa Ushambuliaji hivyo Kujilinda Kwanza ili Kuwasoma ni Muhimu katika First Half.

Kipindi cha Pili

Simba SC iingie na Mfumo ( Formation ) ya 4-3-3 ambao utatufanya tushambulie zaidi huku pia tukijilinda. Kisaikolojia Horoya FC wakiona hawajapata Goli Kipindi cha Kwanza ( First Half ) Kisaikolojia watakuwa Frustrated na kupoteza Focus yao Kimchezo kitu ambacho kitakuwa ni Faida Kwetu Simba SC na huenda ikatusaidia katika kutoka nao Suluhu ( 0 - 0 ) au hata Kuwafunga kama sehemu ya Malengo yetu kwa Mechi / Mchezo wa Leo.

Simba SC leo icheze Kimkakati mno.
 
Kipindi cha Kwanza

Simba SC ianze na Mfumo ( Formation ) ya 3-5-2 kwakuwa Horoya FC wako vyema katika Kiungo na hasa Ushambuliaji hivyo Kujilinda Kwanza ili Kuwasoma ni Muhimu katika First Half.

Kipindi cha Pili

Simba SC iingie na Mfumo ( Formation ) ya 4-3-3 ambao utatufanya tushambulie zaidi huku pia tukijilinda. Kisaikolojia Horoya FC wakiona hawajapata Goli Kipindi cha Kwanza ( First Half ) Kisaikolojia watakuwa Frustrated na kupoteza Focus yao Kimchezo kitu ambacho kitakuwa ni Faida Kwetu Simba SC na huenda ikatusaidia katika kutoka nao Suluhu ( 0 - 0 ) au hata Kuwafunga kama sehemu ya Malengo yetu kwa Mechi / Mchezo wa Leo.

Simba SC leo icheze Kimkakati mno.
Unajuwa kwamba hii siyo mechi ya mtowano ni ligi?

Kwenye ligi zinatafutwa point.
 
Unajuwa kwamba hii siyo mechi ya mtowano ni ligi?

Kwenye ligi zinatafutwa point.
Kwahiyo ikiwa ni Ligi haipaswi Kuchezwa Kimkakati na unataka Simba SC tuingie Kichwa Kichwa tupigwe Mkono kama Vipers FC jana Wewe mwana Yanga SC na Wenzako hapa mtucheke?

Hongera pia kwa Kujitunuku Mwenyewe hiyo Doctorate ( PhD ) yako na hakika hivi sasa kila Mtanzania ni PhD Holder na nimebakia Mimi tu Kutojitunuku hivyo.
 
3-5-2
Asilimia kubwa ya timu za Africa hazijui kutumia mfumo huu huishia tu kuwa na viungo wengi katikati wasiojua nini cha kufanya na mabeki kujichanganya mara kwa mara.
Labda ulikuwa bado Kinda ( Toddler ) ila kwa Sisi Wakongwe Simba SC ya Kocha Myugoslavia Dragan Popadic ilicheza mno na vyema Mfumo huu ikiwa na Kikosi hiki...

1. Mohammed Mwameja
2. Kassongo Athumani
3. Alphonce Modest
4. Fikiri Magoso
5. George Masatu
6. Idi Selemani Kibode Nyigu
7. Abdul Mashine Shinenga
8. Hussein Marsha
9. Edward Chumila
10. Malota Soma
11. Issa Kihange
 
Labda ulikuwa bado Kinda ( Toddler ) ila kwa Sisi Wakongwe Simba SC ya Kocha Myugoslavia Dragan Popadic ilicheza mno na vyema Mfumo huu ikiwa na Kikosi hiki...

1. Mohammed Mwameja
2. Kassongo Athumani
3. Alphonce Modest
4. Fikiri Magoso
5. George Masatu
6. Idi Selemani Kibode Nyigu
7. Abdul Mashine Shinenga
8. Hussein Marsha
9. Edward Chumila
10. Malota Soma
11. Issa Kihange
Soma vizuri
Nimeandika asilimia kubwa ya timu za kiafrika na sijasema zote haziwezi
 
Labda ulikuwa bado Kinda ( Toddler ) ila kwa Sisi Wakongwe Simba SC ya Kocha Myugoslavia Dragan Popadic ilicheza mno na vyema Mfumo huu ikiwa na Kikosi hiki...

1. Mohammed Mwameja
2. Kassongo Athumani
3. Alphonce Modest
4. Fikiri Magoso
5. George Masatu
6. Idi Selemani Kibode Nyigu
7. Abdul Mashine Shinenga
8. Hussein Marsha
9. Edward Chumila
10. Malota Soma
11. Issa Kihange
4-4-2
 
Labda ulikuwa bado Kinda ( Toddler ) ila kwa Sisi Wakongwe Simba SC ya Kocha Myugoslavia Dragan Popadic ilicheza mno na vyema Mfumo huu ikiwa na Kikosi hiki...

1. Mohammed Mwameja
2. Kassongo Athumani
3. Alphonce Modest
4. Fikiri Magoso
5. George Masatu
6. Idi Selemani Kibode Nyigu
7. Abdul Mashine Shinenga
8. Hussein Marsha
9. Edward Chumila
10. Malota Soma
11. Issa Kihange
Nijuavyo Mfumo huu huu hutumia Mabeki wa kati watatu, mfano Leo awepo Onyango,Inonga na Kennedy ndio wanasimama kwenye hiyo 3 ya mwanzo, Tshabalala na Kapombe wanakuwa pembeni kwa juu kwenye line ya watu 5.Hicho kikosi ulichoandika wewe walikuwa wanacheza 4-4-2 sio 3-5-2
 
Back
Top Bottom