Pesa ya biashara haitaji kujaa ili uanze , biashara inapaswa kuanza kidogo na kukua , hata hizo 80 simshauri atie zote kwenye biasharaMmmh milion 80 mbona kama bado hvi kwa biashara serious mkuu..
Naomba fanya hv tafuta tafuta upate hata milion 100 hv ndo uje tukupe ushauri
Evelyn Salt
Sidhani kama ushawahi anzisha biasharaMmmh milion 80 mbona kama bado hvi kwa biashara serious mkuu..
Naomba fanya hv tafuta tafuta upate hata milion 100 hv ndo uje tukupe ushauri
Evelyn Salt
Wakati anatafuta hiyo 100 atakuwa anaendelea kuitumia hii.80 atakujashtuka imebaki 50 au 30 kama ni biashara au mardi aanze now kukaaa na hela nyingi kama hii atajikuta anaifanyia matumizi ya siyo na lazimaMmmh milion 80 mbona kama bado hvi kwa biashara serious mkuu..
Naomba fanya hv tafuta tafuta upate hata milion 100 hv ndo uje tukupe ushauri
Evelyn Salt
Hili nalo neno😅Kwanza tukafanye kikao kitambaa cheupe tabata
Pale kuna mawazo mazuri sana
Wewe ni mfanya biashara mkuu.?Pesa ya biashara haitaji kujaa ili uanze , biashara inapaswa kuanza kidogo na kukua , hata hizo 80 simshauri atie zote kwenye biashara
Atafute mil 100 auze chenji maana yake kila siku ana uhakika na milioni 😁Mmmh milion 80 mbona kama bado hvi kwa biashara serious mkuu..
Naomba fanya hv tafuta tafuta upate hata milion 100 hv ndo uje tukupe ushauri
Evelyn Salt
Ndio mimi ni mfanya biashara, mkulima na mfugaji , ukiachana na ulevi wangu hizo ni sifa zangu nyingine bwashee.Wewe ni mfanya biashara mkuu.?
Ni mfanya biashara mzoefu..Sidhani kama ushawahi anzisha biashara
Hongera Bro, nami nakufuata miaka machache ijayo. Ungesema uko mkoa gani ingawa jina linajionesha wewe ni wa Usukumani, sasa uko wapi ili watu wakushauri vizuri based on local context!Nimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m
Ni mfanya biashara mzoefu au chipukiziNdio mimi ni mfanya biashara, mkulima na mfugaji , ukiachana na ulevi wangu hizo ni sifa zangu nyingine bwashee.
Kuna watu wanajua tunatania humuAtafute mil 100 auze chenji maana yake kila siku ana uhakika na milioni 😁