Viti maalum hupewa chama kutokana na idadi za kura za kiti cha urais.
wamefanya hivi makusudi ili kupendelea chama kinachoshinda kupata idadi kubwa ya viti bungeni ili kuongeza wingi wa wabunge hasa kwenye ile miswada tata inayohitaji kuliburuza bunge kuipitisha.
kauli ya jana ya chama ni kauli nzuri kwa uimarishaji wa chama.naongea haya kwa kuwa inawajenga vizuri watanzania kifikra na kisaikolojia ivyo watu watakuwa na imani kwa chama. huu ni mkakati tosha wa mwaka 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.