Babu huo mchezo aliokufundisha ex wako Mungu anamuona!Unadhani kuna binti anataka kufiwa kifuani na Mzee, maana Wazee tunajijua tukipewa BlowJob ya kiwango hatuchelewi kuanza kunena kwa Lugha huku tunakabidhi hati za Viwanja na nyumba 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Nitumie Mkuu nitacheka sana!Shindano lilifanyika na mrembo mshindi alipatikana. Naweza kukutafutia video yake nitakutumia baadae ushuhudie hilo shindano lilivyo fanyika
Kwani Mna hela nyie 🤣🤣🤣Wanasema huwezi kumtambua kwa kumtazama ama kwa mavazi yake kujua kama ameokoka, ila juzi kinguo alichovaa Mlimani City hakioneshi kuwa ameokoka.
It's like alikuwa anawinda hela za wastaafu 🏃♂️🏃♂️
Kama wameshaanza kumrushia hadi mapepo 🏃♂️🏃♂️Kwamba humtaki hata bure?
Duh kumbe..Mhhhh wewe Tessy humjui, kafundishwa ‘michezo mibaya’ na huyu dada aliyeokoka kisha akamgeuka akapita na danga lake dada wa watu kidogo akate moto kwa stress.
Ndio maana aliapa hataki tena marafiki wa kike kabaki na akina Aristote wake sababu ya Tessy.
Kiasi, ila Caren mzuri zaidi.
Bado hujaona mengi, najaribu ku upload video lakini mtandao inazingua, kama una haraka ya kuona video hiyo basi ingia YouTube na uandike miss ngurumo ya upako utaipata hiyo video.Nitumie Mkuu nitacheka sana!
Judges walikuwa akina nani?
Nilidhani nimeona yote Wallah! Doh
Hakiiiiiiii 🤣🤣🤣Bado hujaona mengi, najaribu ku upload video lakini mtandao inazingua, kama una haraka ya kuona video hiyo basi ingia YouTube na uandike miss ngurumo ya upako utaipata hiyo video.
Ila kama huna haraka basi tulia nitakutumia baadae.
Kabla alikuwaga hivyo material kabla hajaingia ‘mjini’.Duh kumbe..
Kweli usimjudge mtu kwa kumuangalia Instagram navomuonaga mpole mwenyewe najiambia Aslay ndo kamfanya awe vile
Huyu akitaka aokoke vizuri aende kwa Mwamposa. Huko kwingine anapoteza muda wake bure!Mshindi namba 5 wa Miss Tanzania 2006, muigizaji na mjasiriamali Irene Pangras Uwoya, 35 amempokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake!
Muigizaji huyo aliyezaliwa na kulelewa katika Ukatoliki, alifikia uamuzi huo baada ya kukumbwa na maswahibu yaliyotishia uhai wake.
Mjane huyo wa marehemu Ndikumana, ambaye walifunga ndoa takatifu ya Kikristo mwaka 2008 hadi walipotengana 2013, kisha kuolewa na Dogo Janja kwa ndoa ya Kiislam Oktoba 2017 kabla ya kutengana mwaka mmoja baadaye, anaonekana kweli kudhamiria katika imani yake hiyo mpya baada ya kuonekana akiwa amebadili mwenendo hadi wa mavazi yake!
CHANZO NI UZINDUZI WA FILAMU …!
Kama unafuatilia vyema tasnia ya filamu chini, utakuwa umesikia kuhusiana na ujio wa filamu mpya kutoka kwa muigizaji huyo, Olema ambayo ilizinduliwa Septemba 8 mwaka huu jijini Arusha.
Uzinduzi huo ulioambatana na mkusanyiko mkubwa wa nyota wakubwa kutokea tasnia hiyo na wengineo jijini hapo, ulifana kwelikweli!
Pesa ilitumika, pesa ikaonekana katika uzinduzi huo!
Irene aliyeonekana kuwekeza nguvu na pesa nyingi katika filamu hiyo, alikuwa na mipango mingi, ikiwemo uzinduzi katika majiji makubwa nchini.
Hata hivyo, mipango sio matumizi… Mipango hiyo ilivurugika alipotua jijini Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya uzinduzi wa filamu hiyo jijini hapo, hali yake ya kiafya ilibadilika ghafla!
Hali ilikuwa mbaya sana, uamuzi wa haraka ukachukuliwa kumuwahisha Dar Es Salaam kwa ajili ya uangalizi zaidi wa kimatibabu.
Irene aliugua sana, hali iliyopekea kupungua kimwili.
USHIRIKINA WATAJWA…
Kama mjuavyo palipo na wengi pana mengi, kila mmoja ana lake juu ya kilichomkuta Uwoya katikati ya uzinduzi wa filamu yake hiyo aliyowekeza hela nyingi.
Irene alipokea sifa kedekede kutoka kwa wadau wa filamu nchini baada ya kuonesha njia ya mabadiliko na mapinduzi baada ya tasnia hiyo kudorora, inasemekana wenzie hawakupendezwa na hilo, wakafanya ya kufanya!
Tazama pichani, hapa ni kabla ya kuuguaView attachment 2855638
Baada ya kuugua… Huu ndio muonekano wake mpya.View attachment 2855639
KUOKOKA SIO KAZI…
Kumrudia Mungu ni jambo jema, na yafaa kupongezwa katika hilo. Lakini haizuii sisi kujiuliza kutokana na aina ya maisha yake iliyozoeleka…
Atadumu katika Ulokole? Vipi zile bata na machawa wake ndio zimekwisha? Aristoste na wenzie watafute cha kufanya mjini boss kaokoka?
Irene ameonesha mabadiliko katika matanuzi kwani hata birthday yake mwaka huu ambayo husheherekea kila mwaka ifikapo Dec. 18 haikuwa kama ilivyozoeleka wakati mwingine akikodi eneo zima la starehe na kufanya kufuru ya hela!
Tumuombee!
Kupitia chanzo changu cha kuaminika,
Nifah
Anategemea vya urithiKipindi anadate na wa mgodi ndo alikua anafanya kufuru ya pesa, kuzurura duniani.
Ila akili kisoda hana hata sehemu ya kuegesha ubavu wake, lol
Sijui huwa wamerogwa khaaah
Mwamposa?!!!!Huyu akitaka aokoke vizuri aende kwa Mwamposa. Huko kwingine anapoteza muda wake bure!
Kawa shankupe kushinda mashankupe wenyeweKabla alikuwaga hivyo material kabla hajaingia ‘mjini’.
Sasa hivi huyo Aslay mwenyewe anamuogopa, ni balaa!
Ogopa watu wapoleaDuh kumbe..
Kweli usimjudge mtu kwa kumuangalia Instagram navomuonaga mpole mwenyewe najiambia Aslay ndo kamfanya awe vile
Halafu alivyo mhuni anawathaminisha kwa kuangalia makalio yao 😂Kumbe judge alikuwa mwenyewe? Naona hapo anathaminisha…
Kwa Mwamposa mtu unaenda na pepo 1 unarudi na mapepo 15Kwamba Mwamposa ndio wa ukweli?