Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Ni ile ile timu ambayo mwenyekiti wao aliwaita mambumbumbu mashabiki.
Jana baada ya kupakatwa,wachezaji wakaangalia jukwaani wakaona hamna kiti kilichovunjwa
Wakasema haiwezekani, Ngoja tuharibu hata kioo tu.
Messi akaenda mlangoni na kukivunja!!
Jana baada ya kupakatwa,wachezaji wakaangalia jukwaani wakaona hamna kiti kilichovunjwa
Wakasema haiwezekani, Ngoja tuharibu hata kioo tu.
Messi akaenda mlangoni na kukivunja!!