Hapana mkuu, ila we jaribu utakuja kuniambiahahhahahaha ww jamaaa unataka niendeleee kuwa mzinzi
Glory to GodAcha Dhambi bro, starehe za muda zitakupa majuto ya milele, Kama hujaoa fanya uoe Kama una mke tulia. Yesu anarudi soon, kifo hakijawahi kuishiwa hamu. Wokovu ni bure na saa ya wokovu ni sasa
Wewe huyo..?😁Glory to God
Glory to God...👏👏👏
Mimi km braza wako nakubaliana na mawazo yako.Igweeeeeeeeeee,
Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti.
Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini dar.es salaam tuliwahi kukutana nae kwa mara ya kwanza manispaa ya kahama kwenye bar inayoitwa The fox bar and greel.Baada ya kukutana nae kahma tulianzisha mahusiano nae na tukaanza sms za kuchombezana za hapa na pale.
Wakuuu wiki lililopita tulikutana bar ya delux sinza kijiweni jijini Dar es salaam tulikula beer tukaenda room kwa ajili ya majamboz aiseeee nilimpiga goli moja kwa ndom wakuuu msijeniuliza baada ya hapo wakuu nilikuwa kila nikilala nashituka yaani.usiku mzima sikulala .
Wakuuuu hali hiyo huwa inanitokea kwa baazi ya madem yaani nikilala nao nashituka na kesho yake naamka nimechoka sana .
Wakuuu nilipoamka kesho yake nilisema maneno yafuatayo enough is enough mimi kama starehe nimefanya sana sasa nioe
Wakuu naombeni baraka zenu.
Kaizer Chief wameingiaje hapa??.Kwani wenyewe kaizer chief wanasemaje
mkuuu wangu nakushukuru sanaNiliposoma.. "WAKUU NIMEKOMA KUGEGEDA"
Nikajiuliza ndugu yangu katika jinsia anataka kuanza kugegedwa yeye
Kumbe umechoka kuwa "kiboro dinda"..
Nami nakuunga mkono tafuta mmoja jitulize, toka umeanza kuzifukunyua mpaka leo kwani umeoata hata tuzo.. Hongera in advance kwa kujitambua.
Naam twalib,☺️Wewe huyo..?😁
polehakunaga mme wa tatu kuna mke wa tatu mkuuu
Ww una 2 mumes??pole
Pole mkuu kumbe shida hauiutumia ndom, pole sanaIgweeeeeeeeeee,
Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti.
Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini dar.es salaam tuliwahi kukutana nae kwa mara ya kwanza manispaa ya kahama kwenye bar inayoitwa The fox bar and greel.Baada ya kukutana nae kahma tulianzisha mahusiano nae na tukaanza sms za kuchombezana za hapa na pale.
Wakuuu wiki lililopita tulikutana bar ya delux sinza kijiweni jijini Dar es salaam tulikula beer tukaenda room kwa ajili ya majamboz aiseeee nilimpiga goli moja kwa ndom wakuuu msijeniuliza baada ya hapo wakuu nilikuwa kila nikilala nashituka yaani.usiku mzima sikulala .
Wakuuuu hali hiyo huwa inanitokea kwa baazi ya madem yaani nikilala nao nashituka na kesho yake naamka nimechoka sana .
Wakuuu nilipoamka kesho yake nilisema maneno yafuatayo enough is enough mimi kama starehe nimefanya sana sasa nioe
Wakuu naombeni baraka zenu.