Baada ya kumgegeda kila nikilala nashtuka, nimekoma

Niliposoma.. "WAKUU NIMEKOMA KUGEGEDA"

Nikajiuliza ndugu yangu katika jinsia anataka kuanza kugegedwa yeye

Kumbe umechoka kuwa "kiboro dinda"..

Nami nakuunga mkono tafuta mmoja jitulize, toka umeanza kuzifukunyua mpaka leo kwani umeoata hata tuzo.. Hongera in advance kwa kujitambua.
 
Igweeeeeeeeeee,

Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti.

Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini dar.es salaam tuliwahi kukutana nae kwa mara ya kwanza manispaa ya kahama kwenye bar inayoitwa The fox bar and greel.Baada ya kukutana nae kahma tulianzisha mahusiano nae na tukaanza sms za kuchombezana za hapa na pale.

Wakuuu wiki lililopita tulikutana bar ya delux sinza kijiweni jijini Dar es salaam tulikula beer tukaenda room kwa ajili ya majamboz aiseeee nilimpiga goli moja kwa ndom wakuuu msijeniuliza baada ya hapo wakuu nilikuwa kila nikilala nashituka yaani.usiku mzima sikulala .

Wakuuuu hali hiyo huwa inanitokea kwa baazi ya madem yaani nikilala nao nashituka na kesho yake naamka nimechoka sana .
Wakuuu nilipoamka kesho yake nilisema maneno yafuatayo enough is enough mimi kama starehe nimefanya sana sasa nioe

Wakuu naombeni baraka zenu.
Mimi km braza wako nakubaliana na mawazo yako.
 
Niliposoma.. "WAKUU NIMEKOMA KUGEGEDA"

Nikajiuliza ndugu yangu katika jinsia anataka kuanza kugegedwa yeye

Kumbe umechoka kuwa "kiboro dinda"..

Nami nakuunga mkono tafuta mmoja jitulize, toka umeanza kuzifukunyua mpaka leo kwani umeoata hata tuzo.. Hongera in advance kwa kujitambua.
mkuuu wangu nakushukuru sana
 
Igweeeeeee too

Mkuu kati ya woto uliowapelekea moto hamna hata mmoja uliyempenda for real?

Kama yupo baki nae huyo.
 
Igweeeeeeeeeee,

Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti.

Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini dar.es salaam tuliwahi kukutana nae kwa mara ya kwanza manispaa ya kahama kwenye bar inayoitwa The fox bar and greel.Baada ya kukutana nae kahma tulianzisha mahusiano nae na tukaanza sms za kuchombezana za hapa na pale.

Wakuuu wiki lililopita tulikutana bar ya delux sinza kijiweni jijini Dar es salaam tulikula beer tukaenda room kwa ajili ya majamboz aiseeee nilimpiga goli moja kwa ndom wakuuu msijeniuliza baada ya hapo wakuu nilikuwa kila nikilala nashituka yaani.usiku mzima sikulala .

Wakuuuu hali hiyo huwa inanitokea kwa baazi ya madem yaani nikilala nao nashituka na kesho yake naamka nimechoka sana .
Wakuuu nilipoamka kesho yake nilisema maneno yafuatayo enough is enough mimi kama starehe nimefanya sana sasa nioe

Wakuu naombeni baraka zenu.
Pole mkuu kumbe shida hauiutumia ndom, pole sana

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom