kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 660
- 685
Igweeeeeeeeeee,
Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti.
Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini Dar es salaam tuliwahi kukutana nae kwa mara ya kwanza manispaa ya Kahama kwenye bar inayoitwa The fox bar and greel. Baada ya kukutana nae Kahama tulianzisha mahusiano nae na tukaanza sms za kuchombezana za hapa na pale.
Wakuu wiki lililopita tulikutana bar ya Delux Sinza kijiweni jijini Dar es salaam tulikula beer tukaenda room kwa ajili ya majamboz aiseeee nilimpiga goli moja kwa ndom wakuu msijeniuliza baada ya hapo wakuu nilikuwa kila nikilala nashituka yaani usiku mzima sikulala.
Wakuu hali hiyo huwa inanitokea kwa baazi ya madem yaani nikilala nao nashituka na kesho yake naamka nimechoka sana. Wakuu nilipoamka kesho yake nilisema maneno yafuatayo enough is enough mimi kama starehe nimefanya sana sasa nioe.
Wakuu naombeni baraka zenu.
Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti.
Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini Dar es salaam tuliwahi kukutana nae kwa mara ya kwanza manispaa ya Kahama kwenye bar inayoitwa The fox bar and greel. Baada ya kukutana nae Kahama tulianzisha mahusiano nae na tukaanza sms za kuchombezana za hapa na pale.
Wakuu wiki lililopita tulikutana bar ya Delux Sinza kijiweni jijini Dar es salaam tulikula beer tukaenda room kwa ajili ya majamboz aiseeee nilimpiga goli moja kwa ndom wakuu msijeniuliza baada ya hapo wakuu nilikuwa kila nikilala nashituka yaani usiku mzima sikulala.
Wakuu hali hiyo huwa inanitokea kwa baazi ya madem yaani nikilala nao nashituka na kesho yake naamka nimechoka sana. Wakuu nilipoamka kesho yake nilisema maneno yafuatayo enough is enough mimi kama starehe nimefanya sana sasa nioe.
Wakuu naombeni baraka zenu.