Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Wachapa Kazi za kitandani labda ila wangekuwa wachapakazi basi wangekuwa wafanyabiashara wakuu wa Tzn ,pia umaskini usingetamalaki huko kwao.Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.
2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.