Baada ya kujifungua mapigo ya moyo yapo zaid ya 100

Leo kaamka kichwa kinaumaa anaskia baridii kwenda hospital kaambiwa damu ipo ndgo
Sasa mkazanie kwenye Kumpa dawa za kuongeza Dame (Haematinics), Pia ukiweza Jitahidi kumpa matunda ya kutosha hasa jamii ya Citrus na hasa ukipata Lozena unaweza kutukia kama juice akawa anakunywa
 
Habar wakuu ushauri wenu mke wangu siku yakujifungua presha ilikua juu sana akapigwa sindano yakushusha presha ndo kuweza kujifungua lakina baada ya akujifungua Bado presha ikawa juu kidgo ...akapewa dawa za presha awe anatumia mpaka atakapo kaa sawa ,bahat mbaya akameza siku akaacha akazirudia
Sasa hivi mapigo yake ya moyo yamekua juu zaid ya kiwango kinachotakiwa Cha 100 ...najana usiku kichwa kimemuuma Sanaa mpaka kuona giza giza
Nin ushauri wenu je mjamzito akishajifungua presha haiwezi shuka tena na vip haya mapigo ya moyo
Duh hii ni noma

Pole sana mkuu

Hii ni hospitali full wafanye wanachojua,sometimes hivi vitu ni noma sana
 
Hapo kuna mambo ya kuzingatia Inavyo onekana Huyo Mke wake Kipindi cha Mimba na Kujifungua alikuwa na Tatizo linaitwa PIH (Pregnancy Induced Hypertension) na most Probably PreEclampsia..

Swali la kujiuliza Tangu ajifungue ana wiki ngapi?

Maana Probably Inatakiwa mpaka Wiki ya 6 Tatizo hilo linatakiwa lianze kupungua au kuisha kabisa..
Ukiona bado tatizo hilo lipo au Linazidi jitahidi uende Hospitali kufanyiwa Uchunguzi na matibabu..

Japo kama imezidi wiki 6 bhasi kuna chances itakuwa imedevelop Secondary Hypertension
Mkuu nje ya mad kidogo
Mimba iliyoanza kutungwa Kati ya trh 16-18 January Hadi Leo trh 8 April inakua na week ngapi?
 
Mkuu nje ya mad kidogo
Mimba iliyoanza kutungwa Kati ya trh 16-18 January Hadi Leo trh 8 April inakua na week ngapi?
Imeanza kutungwa Vipi?😅
Unatakiwa Kutaja LNMP (Last Normal Menstrual Peri..)
Yaani siku ya kwanza Ulipoingia Hedhi yako ya Mwisho (Hedhi ya Mke wako)..

Kama wewe ni mwanaume Mwamini Mke wako Hajachepuka bhna 😅
Naomba nipe LNMP..

Au kama ukiweza Subiri Mimba ikue Kidogo nenda kachecK USS (Ultrasound)
 
Back
Top Bottom