malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habar wakuu ushauri wenu mke wangu siku yakujifungua presha ilikua juu sana akapigwa sindano yakushusha presha ndo kuweza kujifungua lakina baada ya akujifungua Bado presha ikawa juu kidgo ...akapewa dawa za presha awe anatumia mpaka atakapo kaa sawa ,bahat mbaya akameza siku akaacha akazirudia
Sasa hivi mapigo yake ya moyo yamekua juu zaid ya kiwango kinachotakiwa Cha 100 ...najana usiku kichwa kimemuuma Sanaa mpaka kuona giza giza
Nin ushauri wenu je mjamzito akishajifungua presha haiwezi shuka tena na vip haya mapigo ya moyo
Sasa hivi mapigo yake ya moyo yamekua juu zaid ya kiwango kinachotakiwa Cha 100 ...najana usiku kichwa kimemuuma Sanaa mpaka kuona giza giza
Nin ushauri wenu je mjamzito akishajifungua presha haiwezi shuka tena na vip haya mapigo ya moyo