EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Unamaanisha MAYALLA maana tuliambiwa maana yake ni NJAA
(Nimewaza tu kwa sauti) alisemana mkulu akiwa kwake
(Nimewaza tu kwa sauti) alisemana mkulu akiwa kwake
omweko ni mubhibhi mwana wasuKwetu Majita tunaita Umweko
Miaka fulani aliweka mada humu kuhusu uchimbaji mafuta,kaikunja ikakunjika haswaa,ila kwa mbinu za kimedani nikachangia kimafumbo kuonyesha nimemwelewa tofauti na wengine.Basi akalalamika kweli kwanini nimemwelewa.Yaani hakutaka aeleweke na yeyote.Alikuwa na "njaa" ya matusi tuu basi!.Yaani hapa wanaomshambulia ndio burudani kwake.Sie tunaomuelewa tunamuudhi.Huyu angekuwa ticha wa Hisabati wanafunzi wake wangekula mabuyu daily.Paskali wee mzee acha ukoloni bhana!ndio yale madingi yakirudi home watoto wakisikia funguo zinalia nje tu,wanazima tv na kukimbilia chumbani!Lione!Hujamtendea haki huyo mr Hungry. Makala zake Watu wachache sana wanaweza kuzielewa mpaka uwe great thinker kweli kweli kumuelewa.