Ngoja tuchangie mawazo kwa vijana, kwanza kabisa kipindi nipo chuo niliwaza nikimaliza chuo tafanya nini, hii nawapa haya ambayo bado wapi vyuoni kwa sasa waza utafanya nini ukimaliza chuo kabla ujamaliza chuo
Kwakua nilipata wasaa wakuwaza basi nikamua kuwa mtumwa wa boom langu sikuitaji kabisa kukaa hostel za chuo nilipanga mtaani, tena nikawa nalipa nauli kwenda chuo Siku nimefulia natembea
Kwaiyo boom likitoka nikawa natoa kidogo nanunua assets za ndani, mda wa field pesa ikitoka hivyo hivyo nanua vitu vya ndani hii ndio ilikuwa njia yangu ya kusave pesa ingawa nilijua siwezi kuuza TV zaidi ya being niliyonunulia lakini sawa haya ikiwa being ya chini tapata pesa kuliko kukosa kabisa
Kwaiyo mwaka wa mwisho tumemaliza mitihani kila kitu nikaita dalali nikampa being nayoitaji kuuza vitu vyangu vya ndani, akatafuta wateja tukauza nikapata kama milioni mbili na nusu, laki tano akachukua dalali million mbili nikawa nayo kesho yake nikabeba mabegi yangu nikarudi kwetu sababu familia ilinituma kusoma nirudi na cheti siyo TV nk kwaiyo niliporudi mtaani bank na million mbili nikawa wiki nzima nifanye nini
Nikapata wazo nikaangalia nini kipo sokoni mda huo na vijana wanaitaji ndio nikafanyia kazi kipindi hicho namaliza chuo nguo aina ya T shirt za kuprint zipo sokoni basi nikawa nachukua T shift manga plan naprint nauza nimeuza sana yani maisha yakawa matamu
Nini sasa nataka kuwambia mlio maliza chuo kwa sasa
Angalia nini kipo sokoni na kina lips kifanyie kazi, mmetoka chuo bado vijana fursa zipo nyingi sana changamkeni, msishinde instance na whatsap tafuta kitu Fanya kipindi unasubilia mambo mazuri.