Maccavelli
Senior Member
- Jul 18, 2018
- 173
- 174
Habari za wakati huu wadau wa JF, natumai muwazima, binafsi niko poa..
Kama Mada isemavyo hapo juu naomba kapata uzoefu wenu wadau baada ya kuhitimu chuo kikuu uliendeshaje maisha bila ya kuwa na shughuli yoyote rasmi?
Uzoefu na changamoto ulizozipitia hadi ukamudu kusimama kimaisha wewe binafsi maana kama tujuavyo ajira kwa Sasa sio rahisi kupata wadau, hivyo mchango wako ni muhimu kusaidia sisi wengine
Binafsi ni muhitu pia nimejikita ktk kilimo lakini mambo hayakwenda sawa kabisa mpaka sasa,
Kama Mada isemavyo hapo juu naomba kapata uzoefu wenu wadau baada ya kuhitimu chuo kikuu uliendeshaje maisha bila ya kuwa na shughuli yoyote rasmi?
Uzoefu na changamoto ulizozipitia hadi ukamudu kusimama kimaisha wewe binafsi maana kama tujuavyo ajira kwa Sasa sio rahisi kupata wadau, hivyo mchango wako ni muhimu kusaidia sisi wengine
Binafsi ni muhitu pia nimejikita ktk kilimo lakini mambo hayakwenda sawa kabisa mpaka sasa,