Baada ya kuhitimu chuo uliendeshaje maisha?

Baada ya kuhitimu chuo uliendeshaje maisha?

Nakosa mandish ya kuelezea hali ilivyo kuwa yaan wanakuona kama picha hakuna chochote unachoweza kushirikishwa zaid ya kutumwa vocha na mafaili yaan acha tu ofice za serikar hakuna kupata uzoefu zaid ya kupoteza mda
Hilo nalitambua ila mungu si athumani utakuwa boss wao utawatuma wapike uji kwa kutumi kuni
 
Nakosa mandish ya kuelezea hali ilivyo kuwa yaan wanakuona kama picha hakuna chochote unachoweza kushirikishwa zaid ya kutumwa vocha na mafaili yaan acha tu ofice za serikar hakuna kupata uzoefu zaid ya kupoteza mda
Daaaaaaaaaaaaah so sad,Pole Sana,ko unampango gani?
 
Nashukuru sana kwa mawazo yenu nimejifunza mengi ,Mimi pia nimehitimu hapa Mzumbe mwaka huu ,nimebaki hapa hapa napigana nakumbuka nilikuwa nimebaki na 80 alfu tu lakini mpaka leo hiyo nimeizungusha nimelipia chumba na nakula humo humo na bando cha msing NETWORKING NA KUTOCHAGUA CHA KUFANYA NA KUTOONA AIBU FANYA KAMA VILE HATA A UTAWINI MTAA
 
Nashukuru sana kwa mawazo yenu nimejifunza mengi ,Mimi pia nimehitimu hapa Mzumbe mwaka huu ,nimebaki hapa hapa napigana nakumbuka nilikuwa nimebaki na 80 alfu tu lakini mpaka leo hiyo nimeizungusha nimelipia chumba na nakula humo humo na bando cha msing NETWORKING NA KUTOCHAGUA CHA KUFANYA NA KUTOONA AIBU FANYA KAMA VILE HATA A UTAWINI MTAA
Hongera Sana mkuu, unaweza kushare nasi njia ulizo pita mkuu.
 
Hakuna kitu ambacho sikielewi kama unakuta mtu amekaa chuoni miaka 3 au zaidi kapata hicho alichopata let's say ni u-injinia au udaktari au ualimu halafu anakuja mtaani anauza supu au nguo,
Sisemi kua ni vibaya kufanya hivyo ila kinachonishangaza ni kwamba sasa kama dream ilikua ni hiyo kwanini kuhangaika kwenda kusomea kitu ambacho hakina relation na ulichosomea? Haumuoni huko ni kupoteza muda? Mana kama vision ilikua kuja kufanya biashara baada ya kuhitimu sasa si ungesoma business related courses basi (ambazo zingekusaidia unachokuja kutaka kufanya hapo baadae baada ya masomo)

Mi nachokiona wengi wetu tunaenda vyuoni tukiwa hatujui tumeenda kufanya nini. I mean mtu anafanya maamuzi ya kusomea kozi fulani ili hali hajui ataenda kuifanyia nini mtaani!.
 
Hakuna kitu ambacho sikielewi kama unakuta mtu amekaa chuoni miaka 3 au zaidi kapata hicho alichopata let's say ni u-injinia au udaktari au ualimu halafu anakuja mtaani anauza supu au nguo,
Sisemi kua ni vibaya kufanya hivyo ila kinachonishangaza ni kwamba sasa kama dream ilikua ni hiyo kwanini kuhangaika kwenda kusomea kitu ambacho hakina relation na ulichosomea? Haumuoni huko ni kupoteza muda? Mana kama vision ilikua kuja kufanya biashara baada ya kuhitimu sasa si ungesoma business related courses basi (ambazo zingekusaidia unachokuja kutaka kufanya hapo baadae baada ya masomo)

Mi nachokiona wengi wetu tunaenda vyuoni tukiwa hatujui tumeenda kufanya nini. I mean mtu anafanya maamuzi ya kusomea kozi fulani ili hali hajui ataenda kuifanyia nini mtaani!.
We achaa tuuu,,,, ukwel mtupu
 
Back
Top Bottom