GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Huenda leo kuna Mtu akadhalilika na Kujichoresha kwani anaenda Kupokea Tuzo ya Mhamasishaji na Msemaji bora ya TFF akiwa Simba SC ambayo ametumia muda mwingi Kuichafua na Kuidhalilisha baada ya kuhamia Yanga SC.
Alivyo mtupu Kichwani najua akishinda ataenda Kuipokea ila kwa mwenye Akili Timamu na kutokana na alivyoinanga Simba SC ambayo ndiyo imesababisha aende Kushinda hiyo Tuzo kamwe hatoipokea kwani itamchoresha na hata kumuonyesha ni jinsi gani alivyo Juha (Mpumbavu).
TFF nao wamelifanya hili Makusudi ili Kumchoresha Haji Manara na ndiyo maana hata katika Tangazo la Wanaowania hiyo Tuzo ambao ni Watatu Masau Bwire na Bongo Zozo kwa Haji Manara wameandika Simba SC.
Unaweza kupokea Tuzo ya Usemaji / Uhamasishaji Bora wa Klabu uliyoitukana na uliyoikana wazi wazi Mitandaoni na katika Redio kuwa huipendi na hujawahi kuwa na Mapenzi nayo na kwamba hata ulipokuwa ukiipenda ulikuwa Umelewa?
Alivyo mtupu Kichwani najua akishinda ataenda Kuipokea ila kwa mwenye Akili Timamu na kutokana na alivyoinanga Simba SC ambayo ndiyo imesababisha aende Kushinda hiyo Tuzo kamwe hatoipokea kwani itamchoresha na hata kumuonyesha ni jinsi gani alivyo Juha (Mpumbavu).
TFF nao wamelifanya hili Makusudi ili Kumchoresha Haji Manara na ndiyo maana hata katika Tangazo la Wanaowania hiyo Tuzo ambao ni Watatu Masau Bwire na Bongo Zozo kwa Haji Manara wameandika Simba SC.
Unaweza kupokea Tuzo ya Usemaji / Uhamasishaji Bora wa Klabu uliyoitukana na uliyoikana wazi wazi Mitandaoni na katika Redio kuwa huipendi na hujawahi kuwa na Mapenzi nayo na kwamba hata ulipokuwa ukiipenda ulikuwa Umelewa?