cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
leo naombeni kucheza centre!Nshakusoma mpenzi cacico, ngoja nimpigie Asprin ajiandae kuteguliwa leo........ BADILI TABIA usije na habari yako ya kukandwa kiuno baada ya mechi:A S 465:
leo naombeni kucheza centre!Nshakusoma mpenzi cacico, ngoja nimpigie Asprin ajiandae kuteguliwa leo........ BADILI TABIA usije na habari yako ya kukandwa kiuno baada ya mechi:A S 465:
hehehehe yaani umbebe mzima?? beba tu, utamrudisha mwenyewe kwangu!hahahaha! Mwambie basi aniPM naona anachelewa. Lol. Mi staki kushare lakini, nataka wa peke yangu (sijui nitakuwa namtia kwenye handbag!)
Mume wangu ni mwanasiasa mwenye wadhifa wa juu ndani ya CCM.
Maisha yetu kwa ujumla ni ya amani na upendo, ukiachia mbali matatizo madogomadogo.
Usiku wa kuamkia jumamosi iliyopita. nilikuwa na sleepless night, hivyo nikawa busy na JF.
Mida ya saa usiku, mheshimiwa akataka kujua ni nani namuandikia ujumbe (nilikuwa nina reply comment). Akachukua simu na kukuta najibu michango ya JF.
Nilishanhgaa amehamaki, akaninyang'anya simu na kuanza kutukana matusi makubwa huku akinifananisha na nyoka, mara aniite. Shetani nk
Kuanzia siku hiyo hali nyumbani, haitikii salamu, amenuna, yaani amani na upendo vimetoweka.
Jamani, nifanyeje mwenzenu?
Naomba msaada wenu
hivi wanaume wa namna hii mnawatoa wapi???????????????/
Tena leo nawaruhusu mkacheat wote ili kesho mnijie na maujuzi mapya.... Waambie wenzio cacico na BADILI TABIA.
Afu nikikukamataaaaa!! Umeniamsha ujue.afu wewe! hebu kam huku kwanza nna maongezi na wewe mapana kama pazia la leba! usichelewe, ukakuta nimeburst.
Tena leo nawaruhusu mkacheat wote ili kesho mnijie na maujuzi mapya.... Waambie wenzio cacico na BADILI TABIA.
Ila mjue kabisa kesho naanza na zoezi la kuwakunja tayari kwa kutumia maujuzi nloyapata kwa Kongosho enzi zileee kabla hajanipiga kibuti. Kuwa na wake watatu raha bana!!
Pole sana. Nakubaliana na mawazo ya Bishanga. Ni vema pia tutazame upande wa pili; inawezekana umekuwa unamkera kwa tabia yako ya kuamka usiku na kuwa bize na JF. Unajua tena JF ilivyo, sometime utacheka peke yako, mara utaguna, hii yote inaweza kuwa kero kwa mumeo. Hakuna mume atakayefurahi kuona mkewe anaamka usiku na kuwa bize na sim/comp.
Muombe samahani. Acha tabia ya kushughulika na SHUGHULI NYINGINE YOYOTE USIKU na kumuacha mumeo amelala. Si vibaya ukamuelimisha kuhusu JF.
Dah! pole sana ma dearest. ila ukweli ni kwamba sijui kwanini waume zetu huwa hawapend wake zao tuwe memba huku jf ama sijui it was meant for men only sipatagi jibu.
wenzio sisi huwa tunajifichaga akiwa mezani wewe unakwenda kwa b/rum ukiskia stepa zake tu unaficha unafungua yahoo. wengine tunafungaga laptop ghafla. anyway kwakua tayari tatizo limeshaingia fanya hivi tulia wala usimsemeshe chochote yaani omba msamaha mara moja amekubali sawa hajakubali sawa wewe carryon with your duties. jthd sana usionyeshe weak ness yako yaani timiza wajibu wako vyema ili asipate kosa endelevu. pia sali ukimsihi Mungu arejeshe amani hiyo.
mwisho kabisa hivi janmani sisi wanawake tutajikomboa nini? hivi kwanini ndoa zinakuwa kama gereza? wakak na wababa wa jf kwanini hampendi wake zenu kuwa memba wa jf?
Mume wangu ni mwanasiasa mwenye wadhifa wa juu ndani ya CCM.
Maisha yetu kwa ujumla ni ya amani na upendo, ukiachia mbali matatizo madogomadogo.
Usiku wa kuamkia jumamosi iliyopita. nilikuwa na sleepless night, hivyo nikawa busy na JF.
Mida ya saa usiku, mheshimiwa akataka kujua ni nani namuandikia ujumbe (nilikuwa nina reply comment). Akachukua simu na kukuta najibu michango ya JF.
Nilishanhgaa amehamaki, akaninyang'anya simu na kuanza kutukana matusi makubwa huku akinifananisha na nyoka, mara aniite. Shetani nk
Kuanzia siku hiyo hali nyumbani, haitikii salamu, amenuna, yaani amani na upendo vimetoweka.
Jamani, nifanyeje mwenzenu?
Naomba msaada wenu
Mume wangu ni mwanasiasa mwenye wadhifa wa juu ndani ya CCM.
Maisha yetu kwa ujumla ni ya amani na upendo, ukiachia mbali matatizo madogomadogo.
Usiku wa kuamkia jumamosi iliyopita. nilikuwa na sleepless night, hivyo nikawa busy na JF.
Mida ya saa usiku, mheshimiwa akataka kujua ni nani namuandikia ujumbe (nilikuwa nina reply comment). Akachukua simu na kukuta najibu michango ya JF.
Nilishanhgaa amehamaki, akaninyang'anya simu na kuanza kutukana matusi makubwa huku akinifananisha na nyoka, mara aniite. Shetani nk
Kuanzia siku hiyo hali nyumbani, haitikii salamu, amenuna, yaani amani na upendo vimetoweka.
Jamani, nifanyeje mwenzenu?
Naomba msaada wenu
Huu unaonekana kuwa ni uzushi! Kama kweli mbona unaficha-ficha kutaja jina? kama kweli akiiona hii si atajuwa ni wewe tu, kwanini usiweke wazi? Jibu ni dogo tu; huo wako ni uongo.
polee mimi wa kwangu tulikutana humuhumu na jf ndo nyumbani kwetu...