Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,627
- 154,986
Mume wangu ni mwanasiasa mwenye wadhifa wa juu ndani ya CCM.
Maisha yetu kwa ujumla ni ya amani na upendo, ukiachia mbali matatizo madogomadogo.
Usiku wa kuamkia jumamosi iliyopita. nilikuwa na sleepless night, hivyo nikawa busy na JF.
Mida ya saa usiku, mheshimiwa akataka kujua ni nani namuandikia ujumbe (nilikuwa nina reply comment). Akachukua simu na kukuta najibu michango ya JF.
Nilishanhgaa amehamaki, akaninyang'anya simu na kuanza kutukana matusi makubwa huku akinifananisha na nyoka, mara aniite. Shetani nk
Kuanzia siku hiyo hali nyumbani, haitikii salamu, amenuna, yaani amani na upendo vimetoweka.
Jamani, nifanyeje mwenzenu?
Naomba msaada wenu
Maisha yetu kwa ujumla ni ya amani na upendo, ukiachia mbali matatizo madogomadogo.
Usiku wa kuamkia jumamosi iliyopita. nilikuwa na sleepless night, hivyo nikawa busy na JF.
Mida ya saa usiku, mheshimiwa akataka kujua ni nani namuandikia ujumbe (nilikuwa nina reply comment). Akachukua simu na kukuta najibu michango ya JF.
Nilishanhgaa amehamaki, akaninyang'anya simu na kuanza kutukana matusi makubwa huku akinifananisha na nyoka, mara aniite. Shetani nk
Kuanzia siku hiyo hali nyumbani, haitikii salamu, amenuna, yaani amani na upendo vimetoweka.
Jamani, nifanyeje mwenzenu?
Naomba msaada wenu