Baada ya kufukuzia kwa muda mrefu leo amenikataa

Baada ya kufukuzia kwa muda mrefu leo amenikataa

The River

Senior Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
127
Reaction score
84
demu nimemfukuzia muda mrefu kweli lakini jibu alilonipa leo....! nilikuwa sijawah kukataliwa kumbe mapenzi yanaumiza sana jamani..kama mpo mliowahi kuumia kwa sababu ya mtoso nipeni maujanja mlifanyaje ili kurudi ktka hali ya kawaida?tafadhali tushayriane niko ktka mbaya sana maana nimeishiwa hadi nguvu nahisi kufakufa hivi...ni hayo tu wadau
 
Mkuu haya maisha sio ya kuhangaika kutongoza kukicha.

Mwanamke kama unampenda na una malengo naye mazuri unaanzaje kumtongozaaa?


Hivi kutongoza ni kuuliza mpaka utuambie umepewa majibu mkuu?

Mtu ukimuambia nakupenda unakuwa umemuuliza ili akujibu au unakuwa umemuambia tuu?
Kama unakuwa umemuambia tuu basi kamwe usisubiri majibu mkuu kwa sababu kumuambia mtu jambo wala hakuhitajii majibu kutoka kwake haswa jambo hili,vinginevyo unataka ujibiwe lisilokuwa swali.

Mwanamke hatongozwi unawasiliana nae kihisia tu utajua anakutaka au hakutaki.
 
Kunywa vitunguu saumu punje 36 na juice ya limao glass 12 kutwa mara 3 then upige juice ya ukwaju glass 9 kwa siku. Hiyo dosi ni ya miezi 3 tuu...Njoo ulete mrejesho hapa mkuu.
 
Kunywa vitunguu saumu punje 36 na juice ya limao glass 12 kutwa mara 3 then upige juice ya ukwaju glass 9 kwa siku. Hiyo dosi ni ya miezi 3 tuu...Njoo ulete mrejesho hapa mkuu.
hivi ulishawahi kupenda halafu ukakataliwa?
 
Mkuu haya maisha sio ya kuhangaika kutongoza kukicha.

Mwanamke kama unampenda na una malengo naye mazuri unaanzaje kumtongozaaa?


Hivi kutongoza ni kuuliza mpaka utuambie umepewa majibu mkuu?

Mtu ukimuambia nakupenda unakuwa umemuuliza ili akujibu au unakuwa umemuambia tuu?
Kama unakuwa umemuambia tuu basi kamwe usisubiri majibu mkuu kwa sababu unataka ujibiwe lisilokuwa swali.

Mwanamke hatongozwi unawasiliana nae kihisia tu utajua anakutaka au hakutaki.
point!
 
Mkuu haya maisha sio ya kuhangaika kutongoza kukicha.

Mwanamke kama unampenda na una malengo naye mazuri unaanzaje kumtongozaaa?


Hivi kutongoza ni kuuliza mpaka utuambie umepewa majibu mkuu?

Mtu ukimuambia nakupenda unakuwa umemuuliza ili akujibu au unakuwa umemuambia tuu?
Kama unakuwa umemuambia tuu basi kamwe usisubiri majibu mkuu kwa sababu unataka ujibiwe lisilokuwa swali.

Mwanamke hatongozwi unawasiliana nae kihisia tu utajua anakutaka au hakutaki.
ahsanta kwa ushauri
 
Pole sana mkuu, mwenzio niliwahi kupenda nipo form two, nilivyo kuja kuchika, mpaka katili zaidi HITLER, Sijawahi penda hata siku Moja, ni mwendo wa kuchinja kutambaa mbele, mpaka ifike mda wa kuoa, has tuhh
 
ahsanta kwa ushauri
Ila cha muhimu mkuu ukiona umepata unayempenda basi anza kuwaza ndoa.

Siku zote hali uliyokuwa nayo haikatiki kirahisi kama unavyodhani.
Nina mengi ya kuandika kutokana na uzoefu wangu ila wacha niandike machache huwenda yakakusaidia.


Unajua kaka kitu kizuri huzidiwa na kizuri ili kiwe kizuri zaidi ya kizuri.
Yaani ukiwa na gari kali ukaipenda,utakuja kuona gari kali zaidi ya hiyo mkuu alafu utaanza kuidharau hii ya mwanzo wakati ulishaipendaga sana.

Hapa ni kuonyesha tu kwamba nafsi zetu zinatoa nafasi kupokea mapenzi na machukizo.ukijikuta umependa mtu fulani saaaana.basi jua utaendelea kumpenda mpaka atakapokuja mwingine wa kuziba hiyo nafasi ya huyu au ukafuata njia ambazo zinasaidia kukupelekea kutokumpenda mtu huyo.

Hali yako ya sasa nadhani kila mtu mzima alopitia hali hiyo anaijua sana.la muhimu kumbuka tu kwamba ukiona umeenda michezo mara mziki huku akili yako inajua kwamba unaenda kupoteza mawazo basi jua tu akili yako nayo itasema kwamba napoteza mawazo ambayo hayakupotelea humu kichwani.

Hivyo utatafuta mziki,au timu au pombe lakini huwenda ikawa isisaidie sana mkuu.

Mimi nakushauri endelea na ratiba za kawaida tuuu mkuu wala usikifanye kitu ambacho hakiko katika mapenzi yako eti kisa tu upoteze mawazo,nakuambia ikiwa unasema unaenda mpirani kupoteza mawazo sasa vipi ushindwe kupoteza mawazo pasi na kwenda mpiran?

Mawazo hayapotezwi mkuu nakuambia endelea na ratiba zako za kawaida tu hiyo ni hali ya kawaida tu ambayo moyo wako umeshtuka kupokea majibu ambayo asili yake sio maswali.

Utakaa sawa mkuu endelea na ratiba zako,ukianzisha katabia kengine ili uondoe mawazo utakuwa unaipa akili kazi mbili.

1.kuondoa mawazo
2.kuzoea hicho ambacho umeanza kukifanya.na mwanzo mgumu tu.hivyo utakuwa na kazi mbili.

Lakini ukiwa unaendelea na ratiba zako tu huku unaumia kiuanaume basi jua unaioa akili kazi moja tu ya kupambana na maumivu.

Nakutakia siku njema bado nafatilia coment niendelee kujifunza kutoka kwa wenzangu.
 
Sasa sisi tukusaidieje?
Labda utuombe kazi upige ili upate pesa mana najua "sababu ya ulofa" cc Top C
 
Kunywa vitunguu saumu punje 36 na juice ya limao glass 12 kutwa mara 3 then upige juice ya ukwaju glass 9 kwa siku. Hiyo dosi ni ya miezi 3 tuu...Njoo ulete mrejesho hapa mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ni
Ila cha muhimu mkuu ukiona umepata unayempenda basi anza kuwaza ndoa.

Siku zote hali uliyokuwa nayo haikatiki kirahisi kama unavyodhani.
Nina mengi ya kuandika kutokana na uzoefu wangu ila wacha niandike machache huwenda yakakusaidia.


Unajua kaka kitu kizuri huzidiwa na kizuri ili kiwe kizuri zaidi ya kizuri.
Yaani ukiwa na gari kali ukaipenda,utakuja kuona gari kali zaidi ya hiyo mkuu alafu utaanza kuidharau hii ya mwanzo wakati ulishaipendaga sana.

Hapa ni kuonyesha tu kwamba nafsi zetu zinatoa nafasi kupokea mapenzi na machukizo.ukijikuta umependa mtu fulani saaaana.basi jua utaendelea kumpenda mpaka atakapokuja mwingine wa kuziba hiyo nafasi ya huyu au ukafuata njia ambazo zinasaidia kukupelekea kutokumpenda mtu huyo.

Hali yako ya sasa nadhani kila mtu mzima alopitia hali hiyo anaijua sana.la muhimu kumbuka tu kwamba ukiona umeenda michezo mara mziki huku akili yako inajua kwamba unaenda kupoteza mawazo basi jua tu akili yako nayo itasema kwamba napoteza mawazo ambayo hayakupotelea humu kichwani.

Hivyo utatafuta mziki,au timu au pombe lakini huwenda ikawa isisaidie sana mkuu.

Mimi nakushauri endelea na ratiba za kawaida tuuu mkuu wala usikifanye kitu ambacho hakiko katika mapenzi yako eti kisa tu upoteze mawazo,nakuambia ikiwa unasema unaenda mpirani kupoteza mawazo sasa vipi ushindwe kupoteza mawazo pasi na kwenda mpiran?

Mawazo hayapotezwi mkuu nakuambia endelea na ratiba zako za kawaida tu hiyo ni hali ya kawaida tu ambayo moyo wako umeshtuka kupokea majibu ambayo asili yake sio maswali.

Utakaa sawa mkuu endelea na ratiba zako,ukianzisha katabia kengine ili uondoe mawazo utakuwa unaipa akili kazi mbili.

1.kuondoa mawazo
2.kuzoea hicho ambacho umeanza kukifanya.na mwanzo mgumu tu.hivyo utakuwa na kazi mbili.

Lakini ukiwa unaendelea na ratiba zako tu huku unaumia kiuanaume basi jua unaioa akili kazi moja tu ya kupambana na maumivu.

Nakutakia siku njema bado nafatilia coent niendelee kujifunza kutoka kwa wenzangu.
nimekupata ngoja nifanyie kazi haya nitaleta mrejesho
 
Back
Top Bottom