Baada ya kufukuzia kwa muda mrefu leo amenikataa

Baada ya kufukuzia kwa muda mrefu leo amenikataa

Mkuu haya maisha sio ya kuhangaika kutongoza kukicha.

Mwanamke kama unampenda na una malengo naye mazuri unaanzaje kumtongozaaa?


Hivi kutongoza ni kuuliza mpaka utuambie umepewa majibu mkuu?

Mtu ukimuambia nakupenda unakuwa umemuuliza ili akujibu au unakuwa umemuambia tuu?
Kama unakuwa umemuambia tuu basi kamwe usisubiri majibu mkuu kwa sababu unataka ujibiwe lisilokuwa swali.

Mwanamke hatongozwi unawasiliana nae kihisia tu utajua anakutaka au hakutaki.
'Safuha ishawahi nitokea. Yaani mwanamke anadalili zote na unamfuata anakutolea nje.Ata sijui huwa wanawaza nini. Sometimes flirting sio powa
 
'Safuha ishawahi nitokea. Yaani mwanamke anadalili zote na unamfuata anakutolea nje.Ata sijui huwa wanawaza nini. Sometimes flirting sio powa
Kitendo chakumfuata ndo hapo sasa.
Mimi sijawahi kutongoA mwanamke mpaka hivi sasa nimeoa na mke wangu sikuwahi kumtongoza kabisa.
 
Kabla ya mahusiano ya ukaribu!
Hayo mahusiano ya karibu yalikuwa baada ya kwenda kumchumbia kwao.

Lakini mahusiano ya ukaribu yetu yalikuwa ya kawaida sana kama mwanzo na wala hayakuletwa kwa kutongozana mkuu.
 
Hakuna Wanawake wanaokataa kwa sasa ila kama pesa ipo usije ukapata vidonda vya tumbo jitahidi kunywa pombe kwa wiki zima itakusaidia kupunguza mawazo huku ukiendelea na plan za kusaka pesa
 
Mara ya mwisho kumtumia Mama yako Mzazi au mtu wako mwenye uhitaji ni lini??
 
Umeongea point
Mkuu haya maisha sio ya kuhangaika kutongoza kukicha.

Mwanamke kama unampenda na una malengo naye mazuri unaanzaje kumtongozaaa?


Hivi kutongoza ni kuuliza mpaka utuambie umepewa majibu mkuu?

Mtu ukimuambia nakupenda unakuwa umemuuliza ili akujibu au unakuwa umemuambia tuu?
Kama unakuwa umemuambia tuu basi kamwe usisubiri majibu mkuu kwa sababu unataka ujibiwe lisilokuwa swali.

Mwanamke hatongozwi unawasiliana nae kihisia tu utajua anakutaka au hakutaki.
 
ana nini special ambacho utakikosa kwengine?
Mpotezee fanya yako.
Kwanza si ajabu haukumpenda ilimtamani tu na wala haukuwa na malengo naye.
 
Back
Top Bottom