kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
lady jay dee
Sahau katika maisha yako.
lady jay dee
DJ Majizo sio mmliki .....
maulid kachemka sana kwa kutohamia radio uhuru yenye maslahi mazuuurriii
Afu mbaya zaidi anasema alikuwa anatumika. Huyu jamaa nafkiri busara ilimpotea wakati akiandika ile barua ya kuacha kazi.
He is revolving in the same quadrant..... Will never see the advancement of innovations..... Viscious Poverty Circle.......
Oh basi unaikumbuka classc fm?iko wapi sasa?basi mkuu tupe mmilik ili tufunge mjadala huu
mmimiliki halisi ni nani sasa?
Wana hela lakini hawa EFM?
Efm 93.7 inaonyesha wamejipanga. Ila nahisi ni radio ya fisadi moja hivi
Nasikia hii radio ni ya JD Jide aka Komandoo wa Anakonda na mumewe Gadner, ni kweli eti au ni siasa za uvumi na propaganda za umbeya wa kitaani?
Badilisha fikra, sio kila kitu kikionekana kizuri basi kuna fisadi.