Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,276
Natoa ushauri kwa dada zangu ambao mpo kwenye ndoa Kuhusu mapishi....
Jitahidini kubuni staili mpya za upikaji wa vyakula, kama wanavyofanya wanawake wachache ambao wanalijua hili.....
Haiwezekani pilau la mwaka 2003 mpka leo unalipika hivyo hivyo kisa tu ulifundishwa na bibi. Kama umeweza kubadilika mavazi, muonekano basi kila kitu ncho kibadilishe!
Jifunzeni kuongeza ladha, au kupunguza kitu ambacho kitalifanya pilau kuonekana la tofauti!
Mtu anapika wali wa maji, ndio ule ule tangu anachumbiwa 2001 mpka leo hajabadilisha chochote maji yakichemka anatia chumvi, mchele, moto kwa juu basi kamaliza! Hajui kama mchele sahz unakaangwa na unatoka mtamu balaa!
Michepuko inatuiba sana sio kwenye suala la kungonoka pekee, hata suala la vyakula.....
MABAHARIA MTANIKUBALIA chakula cha mchepuko kinaweza kuzidi utamu kwa 2%-10% kuliko cha mke!
NB: PILAU, WALI wa maji vimetumika kama mfano tu,
Jitahidini kubuni staili mpya za upikaji wa vyakula, kama wanavyofanya wanawake wachache ambao wanalijua hili.....
Haiwezekani pilau la mwaka 2003 mpka leo unalipika hivyo hivyo kisa tu ulifundishwa na bibi. Kama umeweza kubadilika mavazi, muonekano basi kila kitu ncho kibadilishe!
Jifunzeni kuongeza ladha, au kupunguza kitu ambacho kitalifanya pilau kuonekana la tofauti!
Mtu anapika wali wa maji, ndio ule ule tangu anachumbiwa 2001 mpka leo hajabadilisha chochote maji yakichemka anatia chumvi, mchele, moto kwa juu basi kamaliza! Hajui kama mchele sahz unakaangwa na unatoka mtamu balaa!
Michepuko inatuiba sana sio kwenye suala la kungonoka pekee, hata suala la vyakula.....
MABAHARIA MTANIKUBALIA chakula cha mchepuko kinaweza kuzidi utamu kwa 2%-10% kuliko cha mke!
NB: PILAU, WALI wa maji vimetumika kama mfano tu,