JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Kuna msemo unaosema, asifuye mvua imemnyea.
Wakati wa Hayati Dkt. Magufuli, CHADEMA walikuwa na propaganda kali sana kwamba Magufuli ameshindwa kuleta umoja kwa taifa. Kwa vile Mara nyingi wanalalamika kwenye mitandao mambo yao yakaenda hadi nje ya nchi.
Kuna wengine hadi wakaomba uhamisho kwa mbwembwe kwamba ni wakimbizi wa kisiasa na sababu ni Hayati Magufuli.
Sasa Hayati Magufuli hayupo, Ila bado wanalazimisha chuki miongoni mwa Watanzania.
Mwenyekiti wa chama ana hubiri chuki za ukabila.
Wanachama wanahubiri chuki zaidi ya Diamond asipigiwe kura.
Hawa watu ni watu wa aina gani?
Ungekuwa wewe Ndio Rais wa nchi unawafanya nini Hawa? Unaweza ukawaalika ikulu kula nao mesa Moja na kugonga nao cheers?
Nahisi Dkt. Magufuli alikuwa sahihi kuwatuliza.
Wakati wa Hayati Dkt. Magufuli, CHADEMA walikuwa na propaganda kali sana kwamba Magufuli ameshindwa kuleta umoja kwa taifa. Kwa vile Mara nyingi wanalalamika kwenye mitandao mambo yao yakaenda hadi nje ya nchi.
Kuna wengine hadi wakaomba uhamisho kwa mbwembwe kwamba ni wakimbizi wa kisiasa na sababu ni Hayati Magufuli.
Sasa Hayati Magufuli hayupo, Ila bado wanalazimisha chuki miongoni mwa Watanzania.
Mwenyekiti wa chama ana hubiri chuki za ukabila.
Wanachama wanahubiri chuki zaidi ya Diamond asipigiwe kura.
Hawa watu ni watu wa aina gani?
Ungekuwa wewe Ndio Rais wa nchi unawafanya nini Hawa? Unaweza ukawaalika ikulu kula nao mesa Moja na kugonga nao cheers?
Nahisi Dkt. Magufuli alikuwa sahihi kuwatuliza.