Kitendo cha Baadhi ya Vyama kusherehekea na kukebehi Kifo cha aliyekuwa Rais Magufuli hakifai

Maramla

JF-Expert Member
Jan 8, 2014
581
642
Moja ya karata mbovu kuwahi kuchangishwa katika Siasa za Upinzani Nchini Tanzania ni kitendo cha Baadhi ya Vyama hivyo kusherehekea na kukebehi Kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Mbaya zaidi walianza kumfanyia husda Marehemu bila kujiridhisha nguvu ya upendo wa Watanzania wa daraja la chini kabisa katika maeneo mbalimbali ya Nchini.

Wakaanza kubeba chuki zao za kisiasa na kizifanya ndizo za Watanzania, bahati mbaya Umma umewaumbua.

Kupitia maoni mbalimbali yaliyorushwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari katika nyakati tofautitofauti yalionyesha namna Wananchi walivyoguswa na Msiba mzito wa Kitaifa na kuonesha masikitiko yao juu ya kuondokewa na kipenzi Chao.

Lakini wakati wa kuupeleka mwili Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Ibada ya Kuaga, umati mkubwa wa watu ulioangusha vilio huku wakimwaga maua na kutandika nguo bararani, ilionyesha mapenzi yasiyo na shaka kwa Kiongozi wao.

Baadhi ya Wanasiasa wanaobeba sura ya Upinzani Nchini walionyesha namna walivyopungukiwa na maarifa ya kusoma nyakati na wakalibeba jambo hili kwa chuki zao, husda wao na uzandiki wao binafsi jambo liliwajengea hasara ya kupoteza heshima waliyoijenga kwa miaka mingi.

1. ZITTO KABWE.
Huyu analazimisha kuonyesha watu kuwa yeye ni Mpinzani haswa, ila ameshushu heshima yake kwa kuonyesha furaha hadharani, kwakuwa huyu ni Muislamu ngoja nimkumbushe..

"Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa), ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema
“Msiwatukane maiti. Kwani wameshayaendea yale waliyoyatanguliza.”.
Ameipokea Imaam Ahmad, al-Bukhaariy na an-Nasaa´iy.
Leo Zitto amekiruka na kukikwaa kiunzi cha Imani ni aibu.

2.TUNDU LISSU
Huyu ndio kajiondoa kabisa kwenye mioyo ya Watanzania.. Hata huruma alizowahi kuzipata hatokuja kuzisogelea tena, huyu amegeuza Msiba huu wa Watanzania kuwa karata ya kujiona kuwa ni Mtakatifu na mwenye haki.
Anashinda kukebehi, kuisema na kusherehekea Msiba huu.

Hili kwake ni anguko litakalomuadhibu katika Maisha yake yote ya Siasa.
Huyu ndiye Mpinzani namba moja ambaye thamani yake imeshuka na kupoteza mapenzi ya watu kutokana na husda wake kwa Marehemu, kwa kifupi ni mropokaji wa maandishi na mdomo.

Amekuwa akikebehi na kusherehekea Kifo hiki, lakini ni kwa vile aliokuwa akiwatetea kwenye wizi wa rasilimali zetu nao wanashangilia kwa kuamini kikwazo kimeondoka, (anajidanganya).

UPINZANI WA NCHI YETU SIO MBADALA WA MAISHA YATU KWAKUWA HAUTUONYESHI NJIA ZA UTU.
 
Moja ya karata mbovu kuwahi kuchangishwa katika Siasa za Upinzani Nchini Tanzania ni kitendo cha Baadhi ya Vyama hivyo kusherehekea na kukebehi Kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Mbaya zaidi walianza kumfanyia husda Marehemu bila kujiridhisha nguvu ya upendo wa Watanzania wa daraja la chini kabisa katika maeneo mbalimbali ya Nchini.

Wakaanza kubeba chuki zao za kisiasa na kizifanya ndizo za Watanzania, bahati mbaya Umma umewaumbua.

Kupitia maoni mbalimbali yaliyorushwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari katika nyakati tofautitofauti yalionyesha namna Wananchi walivyoguswa na Msiba mzito wa Kitaifa na kuonesha masikitiko yao juu ya kuondokewa na kipenzi Chao.

Lakini wakati wa kuupeleka mwili Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Ibada ya Kuaga, umati mkubwa wa watu ulioangusha vilio huku wakimwaga maua na kutandika nguo bararani, ilionyesha mapenzi yasiyo na shaka kwa Kiongozi wao.

Baadhi ya Wanasiasa wanaobeba sura ya Upinzani Nchini walionyesha namna walivyopungukiwa na maarifa ya kusoma nyakati na wakalibeba jambo hili kwa chuki zao, husda wao na uzandiki wao binafsi jambo liliwajengea hasara ya kupoteza heshima waliyoijenga kwa miaka mingi.

1. ZITTO KABWE.
Huyu analazimisha kuonyesha watu kuwa yeye ni Mpinzani haswa, ila ameshushu heshima yake kwa kuonyesha furaha hadharani, kwakuwa huyu ni Muislamu ngoja nimkumbushe..

"Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa), ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema
“Msiwatukane maiti. Kwani wameshayaendea yale waliyoyatanguliza.”.
Ameipokea Imaam Ahmad, al-Bukhaariy na an-Nasaa´iy.
Leo Zitto amekiruka na kukikwaa kiunzi cha Imani ni aibu.

2.TUNDU LISSU
Huyu ndio kajiondoa kabisa kwenye mioyo ya Watanzania.. Hata huruma alizowahi kuzipata hatokuja kuzisogelea tena, huyu amegeuza Msiba huu wa Watanzania kuwa karata ya kujiona kuwa ni Mtakatifu na mwenye haki.
Anashinda kukebehi, kuisema na kusherehekea Msiba huu.

Hili kwake ni anguko litakalomuadhibu katika Maisha yake yote ya Siasa.
Huyu ndiye Mpinzani namba moja ambaye thamani yake imeshuka na kupoteza mapenzi ya watu kutokana na husda wake kwa Marehemu, kwa kifupi ni mropokaji wa maandishi na mdomo.

Amekuwa akikebehi na kusherehekea Kifo hiki, lakini ni kwa vile aliokuwa akiwatetea kwenye wizi wa rasilimali zetu nao wanashangilia kwa kuamini kikwazo kimeondoka, (anajidanganya).

UPINZANI WA NCHI YETU SIO MBADALA WA MAISHA YATU KWAKUWA HAUTUONYESHI NJIA ZA UTU.
Ungenukuu walichosema, walichoandika au kutangaza kuhusu kifo cha Hayati JPM

Umeongea generally na kutufanya wengine kutojua nini wamesema
 
Na kadri wanavyodhihirisha roho zao za kisasi ndivyo jinsi ambavyo CCM haiwezi kubali katiba itakayowapa wao madaraka maana hawatakuwa na uhakika wa kesho yao. Chukulia mfano, zile kauli za Lissu twitter, afu fikiria swala la CCM kuruhusu atawale hii nchi.
 
Moja ya karata mbovu kuwahi kuchangishwa katika Siasa za Upinzani Nchini Tanzania ni kitendo cha Baadhi ya Vyama hivyo kusherehekea na kukebehi Kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Mbaya zaidi walianza kumfanyia husda Marehemu bila kujiridhisha nguvu ya upendo wa Watanzania wa daraja la chini kabisa katika maeneo mbalimbali ya Nchini.

Wakaanza kubeba chuki zao za kisiasa na kizifanya ndizo za Watanzania, bahati mbaya Umma umewaumbua.

Kupitia maoni mbalimbali yaliyorushwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari katika nyakati tofautitofauti yalionyesha namna Wananchi walivyoguswa na Msiba mzito wa Kitaifa na kuonesha masikitiko yao juu ya kuondokewa na kipenzi Chao.

Lakini wakati wa kuupeleka mwili Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Ibada ya Kuaga, umati mkubwa wa watu ulioangusha vilio huku wakimwaga maua na kutandika nguo bararani, ilionyesha mapenzi yasiyo na shaka kwa Kiongozi wao.

Baadhi ya Wanasiasa wanaobeba sura ya Upinzani Nchini walionyesha namna walivyopungukiwa na maarifa ya kusoma nyakati na wakalibeba jambo hili kwa chuki zao, husda wao na uzandiki wao binafsi jambo liliwajengea hasara ya kupoteza heshima waliyoijenga kwa miaka mingi.

1. ZITTO KABWE.
Huyu analazimisha kuonyesha watu kuwa yeye ni Mpinzani haswa, ila ameshushu heshima yake kwa kuonyesha furaha hadharani, kwakuwa huyu ni Muislamu ngoja nimkumbushe..

"Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa), ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema
“Msiwatukane maiti. Kwani wameshayaendea yale waliyoyatanguliza.”.
Ameipokea Imaam Ahmad, al-Bukhaariy na an-Nasaa´iy.
Leo Zitto amekiruka na kukikwaa kiunzi cha Imani ni aibu.

2.TUNDU LISSU
Huyu ndio kajiondoa kabisa kwenye mioyo ya Watanzania.. Hata huruma alizowahi kuzipata hatokuja kuzisogelea tena, huyu amegeuza Msiba huu wa Watanzania kuwa karata ya kujiona kuwa ni Mtakatifu na mwenye haki.
Anashinda kukebehi, kuisema na kusherehekea Msiba huu.

Hili kwake ni anguko litakalomuadhibu katika Maisha yake yote ya Siasa.
Huyu ndiye Mpinzani namba moja ambaye thamani yake imeshuka na kupoteza mapenzi ya watu kutokana na husda wake kwa Marehemu, kwa kifupi ni mropokaji wa maandishi na mdomo.

Amekuwa akikebehi na kusherehekea Kifo hiki, lakini ni kwa vile aliokuwa akiwatetea kwenye wizi wa rasilimali zetu nao wanashangilia kwa kuamini kikwazo kimeondoka, (anajidanganya).

UPINZANI WA NCHI YETU SIO MBADALA WA MAISHA YATU KWAKUWA HAUTUONYESHI NJIA ZA UTU.
Tugawane majukumu, nyie mnaotaka kuhuzunika endeleeni Ila sisi tunaotaka kufurahi tuacheni tujiachie kwa raha zetu. Kuanguka DIKTETA siyo kitu chepesi. Magufuli mwenyewe ndiyo alikuwa na lugha ya "Usinichanganyie", au hapa hakuna maenseleo kwa sababu mlichagua mbunge wa upinzani.
Moja ya karata mbovu kuwahi kuchangishwa katika Siasa za Upinzani Nchini Tanzania ni kitendo cha Baadhi ya Vyama hivyo kusherehekea na kukebehi Kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Mbaya zaidi walianza kumfanyia husda Marehemu bila kujiridhisha nguvu ya upendo wa Watanzania wa daraja la chini kabisa katika maeneo mbalimbali ya Nchini.

Wakaanza kubeba chuki zao za kisiasa na kizifanya ndizo za Watanzania, bahati mbaya Umma umewaumbua.

Kupitia maoni mbalimbali yaliyorushwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari katika nyakati tofautitofauti yalionyesha namna Wananchi walivyoguswa na Msiba mzito wa Kitaifa na kuonesha masikitiko yao juu ya kuondokewa na kipenzi Chao.

Lakini wakati wa kuupeleka mwili Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Ibada ya Kuaga, umati mkubwa wa watu ulioangusha vilio huku wakimwaga maua na kutandika nguo bararani, ilionyesha mapenzi yasiyo na shaka kwa Kiongozi wao.

Baadhi ya Wanasiasa wanaobeba sura ya Upinzani Nchini walionyesha namna walivyopungukiwa na maarifa ya kusoma nyakati na wakalibeba jambo hili kwa chuki zao, husda wao na uzandiki wao binafsi jambo liliwajengea hasara ya kupoteza heshima waliyoijenga kwa miaka mingi.

1. ZITTO KABWE.
Huyu analazimisha kuonyesha watu kuwa yeye ni Mpinzani haswa, ila ameshushu heshima yake kwa kuonyesha furaha hadharani, kwakuwa huyu ni Muislamu ngoja nimkumbushe..

"Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa), ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema
“Msiwatukane maiti. Kwani wameshayaendea yale waliyoyatanguliza.”.
Ameipokea Imaam Ahmad, al-Bukhaariy na an-Nasaa´iy.
Leo Zitto amekiruka na kukikwaa kiunzi cha Imani ni aibu.

2.TUNDU LISSU
Huyu ndio kajiondoa kabisa kwenye mioyo ya Watanzania.. Hata huruma alizowahi kuzipata hatokuja kuzisogelea tena, huyu amegeuza Msiba huu wa Watanzania kuwa karata ya kujiona kuwa ni Mtakatifu na mwenye haki.
Anashinda kukebehi, kuisema na kusherehekea Msiba huu.

Hili kwake ni anguko litakalomuadhibu katika Maisha yake yote ya Siasa.
Huyu ndiye Mpinzani namba moja ambaye thamani yake imeshuka na kupoteza mapenzi ya watu kutokana na husda wake kwa Marehemu, kwa kifupi ni mropokaji wa maandishi na mdomo.

Amekuwa akikebehi na kusherehekea Kifo hiki, lakini ni kwa vile aliokuwa akiwatetea kwenye wizi wa rasilimali zetu nao wanashangilia kwa kuamini kikwazo kimeondoka, (anajidanganya).

UPINZANI WA NCHI YETU SIO MBADALA WA MAISHA YATU KWAKUWA HAUTUONYESHI NJIA ZA UTU.
 
Ulichokiandika hapo juu ni mawazo yako yanapaswa kuheshimiwa.

Ila nikushauri kitu, kama kweli unataka kuhakikisha ulichokiandika hapo juu ni kweli au sio kweli, siku yoyote itisheni uchaguzi huru na wa haki mtapata majibu ya ukweli.

Mwisho, napenda nami kusema kwa Lissu na Lema wanatakiwa sasa kupunguza kelele twitter, wapunguze kumfuatia Kigogo2014 kama ndie mwenyekiti wao, kama mbaya wao ameshaondoka wao warudi nyumbani kuujenga upinzani, kuendelea kumsema marehemu kila siku hata kama aliwafanya vibaya hakuna maana, mwisho wake watachokwa na wastaarabu.

Mbona Mbowe yupo kimya wakati naye aliharibiwa mali zake, Billicanas kuvunjwa, mashamba kuharibiwa, kukoswa risasi Mkwajuni, kuwekwa ndani, kama kweli hao wawili wanataka kuja kuwa warithi wazuri wa Mbowe in the near future, wajifunze kwa discipline aliyonayo Mbowe. Yule ndie kiongozi haswa.
 
Tumeaswa tuanze upya, tofauti zetu za zamani tuziweke pembeni. Ni kweli kabisa kwamba ni vigumu kumsema vizuri adui yako.
Mtu aliyetaka kuondoa maisha yako bila sababu za msingi ni vigumu kumsamehe lakini maadamu hayupo tena inatupasa kumsamehe na kusahau yaliyopita.
Ni ngumu sana, na hapa tulipofikia kuna kitu kidogo sana ambacho kunaizuia tz kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.
 
Na kadri wanavyodhihirisha roho zao za kisasi ndivyo jinsi ambavyo CCM haiwezi kubali katiba itakayowapa wao madaraka maana hawatakuwa na uhakika wa kesho yao. Chukulia mfano, zile kauli za Lissu twitter, afu fikiria swala la CCM kuruhusu atawale hii nchi.

Ccm haiwezi kukubali, Mungu ana nguvu kuliko ccm, mfano mrahisi ni jinsi alivyoleta mabadiliko sasa hivi bila umwagaji damu. Nimecheka kwa nguvu eti halafu fikiria ccm kuruhusu atawale hii nchi, kwahiyo nchi hii ccm ndio inaamua nani atawale? Hiki kiburi kitaisha tu soon. Vuta subira hutaamini macho yako, ndio utajua uovu hauna nafasi ndani ya dunia hii.
 
Moja ya karata mbovu kuwahi kuchangishwa katika Siasa za Upinzani Nchini Tanzania ni kitendo cha Baadhi ya Vyama hivyo kusherehekea na kukebehi Kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Mbaya zaidi walianza kumfanyia husda Marehemu bila kujiridhisha nguvu ya upendo wa Watanzania wa daraja la chini kabisa katika maeneo mbalimbali ya Nchini.

Wakaanza kubeba chuki zao za kisiasa na kizifanya ndizo za Watanzania, bahati mbaya Umma umewaumbua.

Kupitia maoni mbalimbali yaliyorushwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari katika nyakati tofautitofauti yalionyesha namna Wananchi walivyoguswa na Msiba mzito wa Kitaifa na kuonesha masikitiko yao juu ya kuondokewa na kipenzi Chao.

Lakini wakati wa kuupeleka mwili Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Ibada ya Kuaga, umati mkubwa wa watu ulioangusha vilio huku wakimwaga maua na kutandika nguo bararani, ilionyesha mapenzi yasiyo na shaka kwa Kiongozi wao.

Baadhi ya Wanasiasa wanaobeba sura ya Upinzani Nchini walionyesha namna walivyopungukiwa na maarifa ya kusoma nyakati na wakalibeba jambo hili kwa chuki zao, husda wao na uzandiki wao binafsi jambo liliwajengea hasara ya kupoteza heshima waliyoijenga kwa miaka mingi.

1. ZITTO KABWE.
Huyu analazimisha kuonyesha watu kuwa yeye ni Mpinzani haswa, ila ameshushu heshima yake kwa kuonyesha furaha hadharani, kwakuwa huyu ni Muislamu ngoja nimkumbushe..

"Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa), ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema
“Msiwatukane maiti. Kwani wameshayaendea yale waliyoyatanguliza.”.
Ameipokea Imaam Ahmad, al-Bukhaariy na an-Nasaa´iy.
Leo Zitto amekiruka na kukikwaa kiunzi cha Imani ni aibu.

2.TUNDU LISSU
Huyu ndio kajiondoa kabisa kwenye mioyo ya Watanzania.. Hata huruma alizowahi kuzipata hatokuja kuzisogelea tena, huyu amegeuza Msiba huu wa Watanzania kuwa karata ya kujiona kuwa ni Mtakatifu na mwenye haki.
Anashinda kukebehi, kuisema na kusherehekea Msiba huu.

Hili kwake ni anguko litakalomuadhibu katika Maisha yake yote ya Siasa.
Huyu ndiye Mpinzani namba moja ambaye thamani yake imeshuka na kupoteza mapenzi ya watu kutokana na husda wake kwa Marehemu, kwa kifupi ni mropokaji wa maandishi na mdomo.

Amekuwa akikebehi na kusherehekea Kifo hiki, lakini ni kwa vile aliokuwa akiwatetea kwenye wizi wa rasilimali zetu nao wanashangilia kwa kuamini kikwazo kimeondoka, (anajidanganya).

UPINZANI WA NCHI YETU SIO MBADALA WA MAISHA YATU KWAKUWA HAUTUONYESHI NJIA ZA UTU.
Raisi wa nchi umejenga mambo mengi kama flyover madaraja ma hosipitali makubwa airbus 11

Arafu anakuja kufia kwenye zahanati ya kawaida kabisa, mtu anaacha hospital ya taifa muhimbili Anaenda kufia Dispensary ya MZENA........mmh!!!!
 
Acha ukuda, hivi mikusanyiko ya watu kwa Tanzania unadhani ni wote wale wana mapenzi na Magufuli?
Kwa taarifa yako sababu ziko nyingi, wengine wameenda kudhibitisha kafa kweli? Wengine hawana shughuli hivyo ni utalii wa ndani tuu
 
Swala la kucheka au kulia ni haki ya mtu si wajibu kwenye matatizo au furaha vyote vinaweza kutokea wao ni wanasiasa wanategemea sisi wapiga kura ndo waingie madarakani na sisi wapiga kura ndo tumewaona wanavyofanya kumbuka wao nao kuna siku watakufa au kufiwa na sisi tutafanya hvyo hvyo .
 
Back
Top Bottom