Kusini pride
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,762
- 4,070
Hii umenisgangaza sana sijajua kwanini wakuu labda wengine mnifafanulie naona baada ya kushinda janabi kuwa mkurugenzi wa WHO africa naona taasisi nyingi za kiislamu zinampongeza tofauti na ushindi wa ndungulile naona taasisi nyingi za kiislamu zilikaa kimya ila taasisis za kikiristo ndizo zilimpongeza je huu ni udini? Au waislamu wako proud baada ya ushindi wa janabi? Je ile tafasiri ya watu wa dini nyingine ya kusema waislamu hawataki elimu dunia naona imewaishia na je watu wa dini nyingine wamechukia baada ya ushindi wa Dr janabi?