Baada ya huu mshikemshike, watakutana kweli?

Baada ya huu mshikemshike, watakutana kweli?

Mbowe mwenyekiti kwa miaka 17 sio diktekta
Mama samia ana miezi minne tu mnasema diktekta
Halafu ieleweke kwamba kua mwanasiasa haimaanishi mtu hawezi fanya makosa au ni mtakatifu. Mtu yeyote anaweza fanya kosa na akatumia siasa au uanaharakati kujificha
Halafu hii dhana ya kwamba viongozi wa serekali/ serekalitu ndo hua inakosea ila wanasiasa hasa wa upinzani hawakosei inatoka wap?
 
Rais Samia yupo madarakani sasa kwa miezi minne.

Katika muda wake huo madarakani, amekutana na makundi kadhaa sasa: vijana, wazee, maaskofu, akina mama, nk.

Sina hakika kama keshakutana na Waislamu wenzake. Nadhani bado hajakutana nao. I wonder why…maana tayari keshakutana na Wakristo!!

Miezi mitatu iliyopita Mheshimiwa Freeman Mbowe wakati akihutubia taifa alisema kuwa wamemwandikia barua mheshimiwa Rais na kuomba wakutane naye.



Mpaka sasa Bi. Mkubwa hajakutana nao. Sijui amepanga kukutana nao.

Na baada ya kukamatwa kwa Mbowe na hizo tuhuma za ugaidi tulizoambiwa, sijui kama huo mkutano wao utakuja kutokea!

Maana itakuwa ni maajabu Rais wa nchi kukutana na ‘gaidi’ na kufanya naye mazungumzo.

Bi. Mkubwa anaupiga mwingi huku kazi ikiendelea.

Kwa waislam wenzake hawezi kukutana nao kwa sababu watampa makavu, na pili hawezi kukutana na vyama vya upinzani labda Shibuda!
 
Vurugu zipi zilizofanywa na Chadema? Mbona walikutana Dar na Moro na hawakufanya vurugu zozote? Mwanza wamefanya vurugu zipi!? 😳
Naona kama wanafosi
Wkt mwisho wa siku atayeamua ni Samia
Labda anaandaa Bajeti.,
 
Achana na mawazo wako POTOFU. Huwezi kumtega mtu kwa kumuandikia barua na kumkumbusha kuhusu barua yako, labda hujui maana halisi ya neno KUMTEGA.
Siasa ni mchezo wa kutegeana kama unavyocheza chess na mwanzo wa "mama" mpaka kuambiwa anupiga mwingi alikuwa desperate kuondoa taswira ya kwamba serikali ina kandamiza upinzani na haki za binadamu, Magufuli did not care kuhusu image atakayoongelewa internationally.

Ni lini baada ya 2020 CHADEMA na wanaojiita wanaharakati wa mtandaoni walikuwa na moto wa kudai katiba mpya ama, tume huru ya uchaguzi ? Walikuwa na agenda moja ambayo ni kuonyesha uchaguzi haukuwa huru na wa haki na madhila waliyopata Zanzibar ili serikali inyimwe misaada hiyo ndio ilikuwa agenda kuu mpaka wengine walipeleka faili the Hague sijui imeishia wapi.

Baada ya kifo cha Rais Magufuli hiyo agenda imeyeyuka, hakuna tunachokisikia...ili kwenda na upepo ndio tuakaambiwa katiba mpya kwa ghafla tena kwa kufoka ...hiyo ilikuwa kumtikisa Rais na njia waliyotumia walikuwa hawana cha kupoteza...sasa hivi awamu ya sita ilishapata doa kimataifa, hata ile "branding" itahitaji nguvu zaidi na CHADEMA wamerudi kwenye vyombo vya habari na midomoni mwa watu zaidi..

View attachment 1865069
 
Unafosi vipi kwa kumuandikia barua mtu na kumkumbusha hadharani kuhusu barua hiyo naye anapiga kimya!?
Naona kama wanafosi
Wkt mwisho wa siku atayeamua ni Samia
Labda anaandaa Bajeti.,
 
Achana na mawazo wako POTOFU. Huwezi kumtega mtu kwa kumuandikia barua na kumkumbusha kuhusu barua yako, labda hujui maana halisi ya neno KUMTEGA.
Hizo zote zilikuwa ni strategies, hakuna move yoyote kwenye siasa inayofanywa ikiwa na nia moja (ya dhati)...nipo curious zaidi kuona mwisho wa haya madai ya katiba mpya, baada ya kilichotokea !
 
Sasa strategies na kumtega wapi na wapi? Wewe ulitegemea Chadema wazuke tu Ikulu bila taarifa kwamba wamefika pale kukutana na samia huku akiwa hana taarifa yoyote!? 😳😳😳
Hizo zote zilikuwa ni strategies, hakuna move yoyote kwenye siasa inayofanywa ikiwa na nia moja (ya dhati)...nipo curious zaidi kuona mwisho wa haya madai ya katiba mpya, baada ya kilichotokea !
 
Rais Samia yupo madarakani sasa kwa miezi minne.

Katika muda wake huo madarakani, amekutana na makundi kadhaa sasa: vijana, wazee, maaskofu, akina mama, nk.

Sina hakika kama keshakutana na Waislamu wenzake. Nadhani bado hajakutana nao. I wonder why…maana tayari keshakutana na Wakristo!!

Miezi mitatu iliyopita Mheshimiwa Freeman Mbowe wakati akihutubia taifa alisema kuwa wamemwandikia barua mheshimiwa Rais na kuomba wakutane naye.



Mpaka sasa Bi. Mkubwa hajakutana nao. Sijui amepanga kukutana nao.

Na baada ya kukamatwa kwa Mbowe na hizo tuhuma za ugaidi tulizoambiwa, sijui kama huo mkutano wao utakuja kutokea!

Maana itakuwa ni maajabu Rais wa nchi kukutana na ‘gaidi’ na kufanya naye mazungumzo.

Bi. Mkubwa anaupiga mwingi huku kazi ikiendelea.

Dogo Umefurahi Sana ehe??
 
Samia hana ubavu wa kukutana na Mbowe tena, ameshapoteza muelekeo na hajui wapi ataanzia kujenga imani yake kwa wapinzani na wananchi kwa ujumla, ukiondoa wale waimba mapambio wa lumumba.
Magufuli pia hakukutana na Mbowe, hakuto kuwa na ajabu hata kama mama SSH hato kutana nae. Ni siasa tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu iliyokuwa inatumika ilikuwa sio kukemea kuvunjwa kwa sheria ila kudai katiba bila kusikiliza upande wa pili na lugha iliyokuwa inatumika ilikuwa "confrontational" , kwa nini nguvu hiyo na ubabe haukutumika wakati wa Magufuli ?
Wakati gani? Wakati wa Magufuli ? hata maandamano yalifanyika vyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upepo wa yanayoendelea Tz, mie naona Mama ataishia labda kukutana na viongozi wa vile vyama pendwa vya upinzani ambavyo vingi huwa ni vile vinavyoibuka kipindi cha uchaguzi ili kuidhinisha tu zoezi hilo.......... kazi kwelikweli.
Samia alizuia mikutano ya kisiasa kinyume cha katiba na haki za vyama vya siasa. Hilo ninkosa kubwa sana la kutoheshimu kiapo chake cha urais cha kuheshimu katiba
 
Sasa strategies na kumtega wapi na wapi? Wewe ulitegemea Chadema wazuke tu Ikulu bila taarifa kwamba wamefika pale kukutana na samia huku akiwa hana taarifa yoyote!? 😳😳😳
Hiyo ilikuwa ni strategy ya kumuweka Samia under pressure, na kwa namna yoyote walijua lazima kuna mahali atatumia mbinu zilizotumika kama last resort...tukiweka "partisanship" pembeni ukweli unaonekana ...Mbowe alimuomba maridhiano Rais Magufuli 9 December 2019 lakini mpaka tunaingia kwenye uchaguzi hakuwahi kukumbushia wala kushinikiza chochote kwa sababu Magufuli alikuwa "controversial" na aliwarahisishia kazi yao ( he often shot himself on the foot )...Samia alianza utawala wake akijaribu to tip-toe and please everyone kutoka waliopo kwenye chama chake na wapinzani wake...na kubadili taswira ya serikali yake it was a delicate task na alipotingishwa amerudia mbinu zile zile ambazo hazina benefit yoyote kwa nchi...angalau international media kwa miezi mitatu zilikuwa zikiandika habari chanya kuhusu Tanzania, ila kwa sasa zimehamia kwenye hasi, na hiyo hasi ndio mtaji wa "wanaharakati"
 
Bado una mawazo POTOFU. Tumefanya uchaguzi October 2020 ambao mimi ba Watanzania wtunauita UCHAFUZI kwani yaliyotokea wote tunayajua.
Nchi ina mfumo wa vyama vingi kwa miaka 30 sasa lakini bado ina katiba ya chama kimoja.
Kikwete aliunda Tume ya Warioba ili ikusanye maoni ya Watanzania nchi nzima na wakaifanya vizuri sana kazi ile na hata Kikwete akawapongeza kwa UZALENDO wake.
Kikwete huyo huyo ambaye aliiona rasimu ile nzuri sana lakini baada ya kutishwa na maccm kwamba rasimu ile ikipitishwa na kuwa Katiba ya nchi basi maccm hayatashinda tena uchaguzi nchini.
Sasa pressure iko wapi hapo wewe!? Huoni huu mwelekeo wa nchi uliojaa dhuluma na udhalimu wa kutisha.
Mbona maccm damu damu ambao waliwahi kushika nafasi mbali mbali za juu Serikalini Warioba na Butiku nao wanaifagilia Katiba mpya!? Hawa nao wanampa samia pressure ili iweje!? 😳
Hiyo ilikuwa ni strategy ya kumuweka Samia under pressure, na kwa namna yoyote walijua lazima kuna mahali atatumia mbinu zilizotumika kama last resort...tukiweka "partisanship" pembeni ukweli unaonekana ...Mbowe alimuomba maridhiano Rais Magufuli 9 December 2019 lakini mpaka tunaingia kwenye uchaguzi hakuwahi kukumbushia wala kushinikiza chochote kwa sababu Magufuli alikuwa "controversial" na aliwarahisishia kazi yao ( he often shot himself on the foot )...Samia alianza utawala wake akijaribu to tip-toe and please everyone kutoka waliopo kwenye chama chake na wapinzani wake...na kubadili taswira ya serikali yake it was a delicate task na alipotingishwa amerudia mbinu zile zile ambazo hazina benefit yoyote kwa nchi...angalau international media kwa miezi mitatu zilikuwa zikiandika habari chanya kuhusu Tanzania, ila kwa sasa zimehamia kwenye hasi, na hiyo hasi ndio mtaji wa "wanaharakati"
 
Ulitaka Chadema wasikemee uvunjifu wa sheria kwasababu palikuwa na miadi ya kukutana na Rais?

Wacha ushamba.

Pointi kwamba Mbowe alitangaza mkakati wa kudai katiba kibabe kana kwamba anayo BATNA thabiti nyuma yake imeshangaza wengi. Achille's Heel principle hakuikumbuka! Hata washauri wake waliisahau!

Uchaguzi mkuu wa 2020 ulikuwa umefichua siri moja kwamba mabaraza ya chadema yamekufa. Hayapo.

Sasa imani kwamba at the political tipping point peoples power overruns people in power waliiamini vipi kwa haraka na mihemuko kama ile niliyoona Mwanza?

Jifunzeni kusoma alama za nyakati.
 
Mzazibari mwislam kumpa kesi ya ugaidi mkristo wa KKKT...ni lini na wapi duniani mkiristo akawa gaidi wakati dini yetu toka Sunday school tunafundiswa Upendo na kusamehe saba mara sabini..kama bwana wetu Yesu alivyowasamehe wale waliomtesa na kumuua....time.

Hi nchi inapelekwa siko...wakrito tusikubali kuwa sisi ni magaidi..
Hapo umeingiza udini,wewe mkristo mdini mwenye roho mbaya Sana,kwanini usiseme Fulani kampa tuhuma Fulani mpaka utaje dini zao?
 
Back
Top Bottom