Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Kwa zaidi ya asilimia 98 katika hotuba ya leo ya kufunga Bunge kuna uwezekano atatoa vijembe, atajisifu sana na kujaribu kujionesha amefanya reforms nyingi kustahili kufanya Uchaguzi wa kiini macho hapo Oktoba mwaka huu.
Kwa kuwa tunajua kuwa mnaendesha nchi kwa mikopo na misaada, Baada ya hotuba ya leo, focus yetu ya No Reforms No Elections haitaishia tu kwa Wananchi wa Tanzania. Tunaenda rasmi kwa Wafadhili na Wakopeshaji wote wa Kimataifa mnaowategemea ( Hasa Marekani na Nchi za Ulaya pamoja na Taasisi zao). Tunaenda kuwaambia wasitishe misaada na mikopo yao kwenu hadi pale mtakapofanya reforms za kweli za Katiba na Sheria za Uchaguzi. Tunaenda kuwaambia wawawekee vikwazo nyie na familia zenu. Safari hii vikwazo vimuhusu hadi huyu Mstaafu na Familia yake.
Tunajua mnajitia mna kiburi hasa. Sasa tutaona na hili deni la Taifa lilivyozidi kuwa kubwa kama mtaweza ku survive bila mikopo na misaada.
Tutakuwepo!
No Reforms No Election ✊️✌️
Kwa kuwa tunajua kuwa mnaendesha nchi kwa mikopo na misaada, Baada ya hotuba ya leo, focus yetu ya No Reforms No Elections haitaishia tu kwa Wananchi wa Tanzania. Tunaenda rasmi kwa Wafadhili na Wakopeshaji wote wa Kimataifa mnaowategemea ( Hasa Marekani na Nchi za Ulaya pamoja na Taasisi zao). Tunaenda kuwaambia wasitishe misaada na mikopo yao kwenu hadi pale mtakapofanya reforms za kweli za Katiba na Sheria za Uchaguzi. Tunaenda kuwaambia wawawekee vikwazo nyie na familia zenu. Safari hii vikwazo vimuhusu hadi huyu Mstaafu na Familia yake.
Tunajua mnajitia mna kiburi hasa. Sasa tutaona na hili deni la Taifa lilivyozidi kuwa kubwa kama mtaweza ku survive bila mikopo na misaada.
Tutakuwepo!
No Reforms No Election ✊️✌️