Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575

Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
Mtoa post upinde
 
sasa, kama Biblia haielekezi watu waombee wafu, wawatubie dhambi wafu, au waombe kwa maria bali wanatakiwa kuomba kwa kupitia JIna la Yesu tu, na kanisa lako linafanya hayo kinyume na Biblia, na liko mbioni kuhalalisha ushoga, unataka tuseme ni kanisa la Kristo au la mpinga kristo? be fair.
Unaposema liko mbioni kuhalalisha ushoga hayo maono umeyaokota wapi?

Halafu nilikwambia unipe andiko linalozidi kukupa huu ujuaji wa kuhukumu wengine naona bado upo kimya, sijui unasubiri kitu gani?!

Nyie viumbe huwa mnajiona watakatifu mnaoishi hapa ulimwenguni, sijui kwanini hampai muende mbinguni kama Eliya.
 
Unaposema liko mbioni kuhalalisha ushoga hayo maono umeyaokota wapi?

Halafu nilikwambia unipe andiko linalozidi kukupa huu ujuaji wa kuhukumu wengine naona bado upo kimya, sijui unasubiri kitu gani?!

Nyie viumbe huwa mnajiona watakatifu mnaoishi hapa ulimwenguni, sijui kwanini hampai muende mbinguni kama Eliya.
pango la kuhukumu ndio sababu kubwa mliyofungwa nayo, kuhukumu hakujumuishi kueleza ukweli, stephano alipigwa mawe hivihivi kwa kusema ukweli, akawaambia wayahudi ni wanafiki na mioyo yao haijatahiriwa kwasababu walikuwa wanapinga Neno la Mungu kama wewe. Yesu Kristo alihangaika sana na watu ambao hawataki kuambiwa ukweli kama wewe, tujipime kwenye Neno la Mungu, kama kila jambo tunalofafanuliana la kimungu lingekuwa kuhukumu basi hata kuhubiri tusingehubiri.

ukimwona mtu anafanya dhambi, mwambie ukweli hapo umepotea, na wala haukuhumu, unamsaidia na ndio kazi Yesu alitutuma, ukimwona mtu yupo kifungoni kama ninyi mnaoabudu bikira maria na wafu ambayo ni ibada ya sanamu, hatuwezi kuwaacha bila kuwaambia ukweli. shida ni kwamba, tukijaribu kuwaambia ukweli mnakimbilia kwamba unatuhukumu,

Ezekieli 33:8 inasema, Nimwambiapo mtu mbaya ewe mtu mbaya hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo aiache njia yake, mtu mbay ahuyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

Siku ile ya pentecost, wale walioshukiwa na Roho wakiwa 120 pale gorofani, maria naye alikuwa mmoja wapo, pamoja na mitume. kuanzia pale Petro alisimama na kuhubiri akifafanua kwanini walinena kwa lugha na watu 3000 waliokoka palepale. kanisa likaanzia pale. hivyo mariam alikuwa ni muumini tu katika kanisa hilo, waliendelea kuishi na kuhubiri (though haionyeshi popote kama lijisumbua hata kuhubiri, ila wengine walifanya), hakuna sehemu maria aliwaambia waombe kwa jina lake, au waombee wafu, kina Petro na Paulo na wengine wote hawajawahi kuomba kwa wafu au kuomba kwa maria. tuwambiapo kuomba kwa wafu kama maria na ndugu zenu waliokufa, au kuwaombea wasamehewe dhambu ni kujilisha upepo na ni ibada ya sanamu, hatuwahukumu, tunawaonya kwasababu kama mtaendelea hivyo mtakuja kuangamia motoni na kama tusipowaambia damu yenu isije kudaiwa mikononi mwetu. huko sio kuhukumu.
 
kwahiyo vingine kama hivyo vya kuomba kwa bikira maria badala ya JIna la Yesu, na hiyo kuombea wafu wasamehewe dhambi, hata ikitoka kwa shetani fresh tu, kwasababu Biblia haikuandika kila kitu?
Kwanza kuna Mungu tu.
Shetani hayupo! tatizo wengi mnakremishwa.
 
ndugu, hakuna dhehebu la matendo ya mitume,nilivyoandika hivi nilidhani pengine ungekuwa uliwahi kusoma icho kitabu cha matendo.naona wewe bado. kwa kifupi, baada ya Yesu kupaa, kanisa ndio lilianza siku ile ya pentecost baada ya Roho kushuka wakiwa gorofani, watu 120, ndani yake walikuwepo mitume 12 na wanafunzi wengine wa Yesu. hao ndio walianzisha kanisa, na hilo ndilo kanisa la mitume la kwanza.walihubiriweww wakafika hadi ANTIOKIA kule Uturuki watu wakawaita "hao ni wakristo" yaani watu wa Kristo, wanaoamin Yesu Kristo, na neno MKristo ndio likaanzia hapo. sasa mitume wale wa Yesu yale yaliyotendeka yameandikwa kitabu cha matendo yaliyo mengi, ndio maana nilirefer icho kitabu. na harakati zao zote za imani, hazifanani kabisa na kanisa lako katoliki. sina chuki na kanisa ila najaribu kuwafumbua macho, kwasababu hata nikiwa na chuki,nitawafanya nini? nanawa tu mikono, wale waliookoka wameshaona utofauti na wamemwona Mungu, wewe ni hiari yako kuendelea kuabudu dhehebu na mapokeo ya wanadamu badala ya kuokoka na kumwabudu Mungu.

ndugu, hakuna dhehebu la matendo ya mitume,nilivyoandika hivi nilidhani pengine ungekuwa uliwahi kusoma icho kitabu cha matendo.naona wewe bado. kwa kifupi, baada ya Yesu kupaa, kanisa ndio lilianza siku ile ya pentecost baada ya Roho kushuka wakiwa gorofani, watu 120, ndani yake walikuwepo mitume 12 na wanafunzi wengine wa Yesu. hao ndio walianzisha kanisa, na hilo ndilo kanisa la mitume la kwanza. walihubiri wakafika hadi ANTIOKIA kule Uturuki watu wakawaita "hao ni wakristo" yaani watu wa Kristo, wanaoamin Yesu Kristo, na neno MKristo ndio likaanzia hapo. sasa mitume wale wa Yesu yale yaliyotendeka yameandikwa kitabu cha matendo yaliyo mengi, ndio maana nilirefer icho kitabu. na harakati zao zote za imani, hazifanani kabisa na kanisa lako katoliki. sina chuki na kanisa ila najaribu kuwafumbua macho, kwasababu hata nikiwa na chuki,nitawafanya nini? nanawa tu mikono, wale waliookoka wameshaona utofauti na wamemwona Mungu, wewe ni hiari yako kuendelea kuabudu dhehebu na mapokeo ya wanadamu badala ya kuokoka na kumwabudu Mungu.
Wewe mwenyewe unahitaji kuokoka ndugu, kwani haujui hata maana ya wokovu unachojua wewe nikukosoa Imani za wenzako, labda kwa mtazamo huo ndio unasema umeokoka
 
Wewe mwenyewe unahitaji kuokoka ndugu, kwani haujui hata maana ya wokovu unachojua wewe nikukosoa Imani za wenzako, labda kwa mtazamo huo ndio unasema umeokoka
kwani kukosoa imani inayoomba kwa jina la maria badala ya Jina la Yesu, ndio useme sijaokoka? nani yupo sahihi? tuwaache na maria wenu na sisi tubaki na Yesu watu au? chagua moja.

Eliya aliwaambia watu kama wewe, mtasitasita katika njia mbili mpaka lini? ikiwa Yehova ndiye Mungu mfuateni, na ikiwa baali ndiye basi mfuateni. changueni hivi leo mtakaye mtumikia, mimi na nyumba yangu tutamtumikia Bwana.
 
pango la kuhukumu ndio sababu kubwa mliyofungwa nayo, kuhukumu hakujumuishi kueleza ukweli, stephano alipigwa mawe hivihivi kwa kusema ukweli, akawaambia wayahudi ni wanafiki na mioyo yao haijatahiriwa kwasababu walikuwa wanapinga Neno la Mungu kama wewe. Yesu Kristo alihangaika sana na watu ambao hawataki kuambiwa ukweli kama wewe, tujipime kwenye Neno la Mungu, kama kila jambo tunalofafanuliana la kimungu lingekuwa kuhukumu basi hata kuhubiri tusingehubiri.

ukimwona mtu anafanya dhambi, mwambie ukweli hapo umepotea, na wala haukuhumu, unamsaidia na ndio kazi Yesu alitutuma, ukimwona mtu yupo kifungoni kama ninyi mnaoabudu bikira maria na wafu ambayo ni ibada ya sanamu, hatuwezi kuwaacha bila kuwaambia ukweli. shida ni kwamba, tukijaribu kuwaambia ukweli mnakimbilia kwamba unatuhukumu,

Ezekieli 33:8 inasema, Nimwambiapo mtu mbaya ewe mtu mbaya hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo aiache njia yake, mtu mbay ahuyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

Siku ile ya pentecost, wale walioshukiwa na Roho wakiwa 120 pale gorofani, maria naye alikuwa mmoja wapo, pamoja na mitume. kuanzia pale Petro alisimama na kuhubiri akifafanua kwanini walinena kwa lugha na watu 3000 waliokoka palepale. kanisa likaanzia pale. hivyo mariam alikuwa ni muumini tu katika kanisa hilo, waliendelea kuishi na kuhubiri (though haionyeshi popote kama lijisumbua hata kuhubiri, ila wengine walifanya), hakuna sehemu maria aliwaambia waombe kwa jina lake, au waombee wafu, kina Petro na Paulo na wengine wote hawajawahi kuomba kwa wafu au kuomba kwa maria. tuwambiapo kuomba kwa wafu kama maria na ndugu zenu waliokufa, au kuwaombea wasamehewe dhambu ni kujilisha upepo na ni ibada ya sanamu, hatuwahukumu, tunawaonya kwasababu kama mtaendelea hivyo mtakuja kuangamia motoni na kama tusipowaambia damu yenu isije kudaiwa mikononi mwetu. huko sio kuhukumu.
Ukweli upi unaoujua? Ok, tell me, ni wapi kwenye biblia pamesema mpinga Kristu ni mkatoliki?

Listen wewe, usitumie mifano ya wengine kwenye biblia kuhalalisha ujuaji wako, wala usitumie utakatifu wa wengine kwenye biblia kuhalalisha ujuaji wako, una hakika njia za Stephano ndio njia zako? una hakika maono ya Stephano ndio maono yako?

Hapo tayari nimeshakuonesha udhaifu wako, umeshindwa kunijibu, kama ungekuwa na Yesu Kristu 100% angekufunulia njia, lakini ajabu unaendelea kukaza shingo kwa msimamo wako potofu unaoenda kinyume na maandiko, wewe huu udhaifu wako huuoni, bado tu unaendelea kutuona sisi...

- Au sasa unataka kutuambia ule mstari kwenye biblia ulikosewa?!

Yesu Kristu hakuja hapa duniani kwa ajili ya wajuaji wa sampuli yako, alikuja kwa ajili ya wenye dhambi wapate kuokoka, wale watakatifu wote walipaa nae kwenda mbinguni, wewe sijui unasubiri kitu gani hapa duniani!

Na sijui hata kama unajua biblia inasemaje kuhusu kuabudu sanamu?!
 
Listen wewe, usitumie mifano ya wengine kwenye biblia kuhalalisha ujuaji wako, wala usitumie utakatifu wa wengine kwenye biblia kuhalalisha ujuaji wako, una hakika njia za Stephano ndio njia zako? una hakika maono ya Stephano ndio maono yako?

Hapo tayari nimeshakuonesha ushaifu wako, umeshindwa kunijibu, kama ungekuwa na Yesu Kristu 100% angekufunulia njia, lakini ajabu unaendelea kukaza shingo kwa msimamo wako potofu unaoenda kinyume na maandiko, wewe huu udhaifu wako huuoni, bado tu unaendelea kutuona sisi...

Yesu Kristu hakuja hapa duniani kwa ajili ya wajuaji wa sampuli yako, alikuja kwa ajili ya wenye dhambi wapate kuokoka, wewe mwenyewe hapo ni mwenye dhambi unayetakiwa kuokoka, ajabu hujioni!.
Yesu alikuja duniani kwa ajili ya wenye dhambi wapate kuokoka, ni kweli. sasa mbona mnaukataa wokovu na hamuokoki? huoni unajipinga mwenyewe?

pia, twende kwa hoja, mimi nimeongea ujuaji au nimeongea yaliyopo kwenye Biblia?

pia, Stephano ndio alikuwa kama mimi, kwasababu alijazwa Roho Mtakatifu, alinena kwa lugha ya Roho Mtakatifu, alikuwa ameokoka, na alikuwa anahubiri injili kwa wayahudi waliokuwa wameshika sana dini kama wewe nao wakamkasirikia kama wewe unavyonikasirikia mimi.

wayahudi walimuua staphano kwasababu alionekana kukashifu dini yao ambayo ilikuwa haiwasaidii, kwamba wamfuate Yesu. wayahudi wakawa wanatetea zaidi dini kuliko Mungu. Hata leo hii ni ajabu watu wanaweza kutetea kanisa lao la katoliki, lutheran, angalican au lolote kuliko hata kumtetea Yesu. watu wanakasirika kabisa wakiona unakosoa dhehebu lao badala ya kujenga hoja ndani ya Neno la Mungu wanafura hasira kutetea dhehebu badala ya kutetea Yesu. hauoni ajabu? sasa hadi unaandikwa kwa hasira hivi, mimi nimekosa nini hapo?

kukusaidia, niandikie maswali yako yooote hapa nikujibu kwa Neno la Mungu, nakuahidi kila swali lako,nitaweka mstari wa Biblia ili na wengine waelewe. uwe mjadala usio na hasira, bali hoja na mistari.
 
Yesu alikuja duniani kwa ajili ya wenye dhambi wapate kuokoka, ni kweli. sasa mbona mnaukataa wokovu na hamuokoki? huoni unajipinga mwenyewe?

pia, twende kwa hoja, mimi nimeongea ujuaji au nimeongea yaliyopo kwenye Biblia?

pia, Stephano ndio alikuwa kama mimi, kwasababu alijazwa Roho Mtakatifu, alinena kwa lugha ya Roho Mtakatifu, alikuwa ameokoka, na alikuwa anahubiri injili kwa wayahudi waliokuwa wameshika sana dini kama wewe nao wakamkasirikia kama wewe unavyonikasirikia mimi.

wayahudi walimuua staphano kwasababu alionekana kukashifu dini yao ambayo ilikuwa haiwasaidii, kwamba wamfuate Yesu. wayahudi wakawa wanatetea zaidi dini kuliko Mungu. Hata leo hii ni ajabu watu wanaweza kutetea kanisa lao la katoliki, lutheran, angalican au lolote kuliko hata kumtetea Yesu. watu wanakasirika kabisa wakiona unakosoa dhehebu lao badala ya kujenga hoja ndani ya Neno la Mungu wanafura hasira kutetea dhehebu badala ya kutetea Yesu. hauoni ajabu? sasa hadi unaandikwa kwa hasira hivi, mimi nimekosa nini hapo?

kukusaidia, niandikie maswali yako yooote hapa nikujibu kwa Neno la Mungu, nakuahidi kila swali lako,nitaweka mstari wa Biblia ili na wengine waelewe. uwe mjadala usio na hasira, bali hoja na mistari.
Kwa hiyo maono yako ya Roho Mtakatifu ndio yamekuonesha vile nilivyokasirika?

Nikikwambia huyo Roho wako anakudanganya utaniamini au utakataa kuniamini?!

Kuukataa wokovu ndio kupi? Kumkiri Yesu Kristu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, kubatizwa kwa maji mengi, au kuna kingine?

Kwasababu kama wewe ulipitia yote hayo na bado unaonesha ulivyo na huu ujuaji wako, usivyomnyenyekevu, hicho kiburi umekipatia wapi?

Au ulishaambiwa jina lako tayari limeshaandikwa mbinguni?
 
Kwa hiyo maono yako ya Roho Mtakatifu ndio yamekuonesha nilivyokasirika?

Nikikwambia huyo Roho wako anakudanganya utaniamini au utakataa kuniamini?!

Kuukataa wokovu ndio kupi? Kumkiri Yesu Kristu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, kubatizwa kwa maji mengi, au kuna kingine?

Kwasababu kama wewe ulipitia yote hayo na bado unaonesha ulivyo na huu ujuaji wako, usivyomnyenyekevu, hicho kiburi umekipatia wapi?

Au uliahaambiwa jina lako tayari limeshaandikwa mbinguni?
sitakuamini kwasababu najua huna huyo Roho, una bikira maria tu.
 
sitakuamini kwasababu najua huna huyo Roho, una bikira maria tu.
Aisee... unahitaji maombi.

Mimi hapa ndani nikiwa natetea haki ya yeyote, huwa nafanya hivyo bila kujali itikadi, rangi, jinsia, dini, au vingine vyote, mara zote huwa nasimama na yule anayeonekana kuonewa nakuwa upande wake.

Sasa wewe umenikuta natetea Kanisa Katoliki kwamba nao wana haki ya kumuombea mtu wao, uhuru wa kuabudu kama ulivyotajwa kwenye Katiba ya JMT 1977, tayari unasema mimi ni wa Bikira Maria, kesho ukinikuta natetea haki ya Pentecoste au mlokole mwanzako sijui utaniitaje..
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
Kinachokuma nini wewe
 
Aisee... unahitaji maombi.

Mimi hapa ndani nikiwa natetea haki ya yeyote, huwa nafanya hivyo bila kujali itikadi, rangi, jinsia, dini, au vingine vyote, mara zote huwa nasimama na yule anayeonekana kuonewa nakuwa upande wake.

Sasa wewe umenikuta natetea Kanisa Katoliki kwamba nao wana haki ya kumuombea mtu wao, uhuru wa kuabudu kama ulivyotajwa kwenye Katiba ya JMT 1977, tayari unasema mimi ni wa Bikira Maria, kesho ukinikuta natetea haki ya Pentecoste au mlokole mwanzako sijui utaniitaje..
kwahiyo unatetea kwamba wakatoliki wana haki kuombea wafu/maiti, nikikuambia huo ni upotofu, unasikitika? niambie wapi kwenye Biblia Yesu aliwai kuombea maiti, au wale mitume wa Yesu yeyote, nani aliombea maiti isamehewe dhambi? kwanini mnatetea dhehebu kuliko Neno la Mungu?
 
Chat Gpt
How did the west perceived the late President Magufuli of Tanzania?

Late President John Magufuli of Tanzania was perceived in various ways by the West.

Some in the West praised President Magufuli for his efforts to tackle corruption, improve infrastructure, and promote economic development in Tanzania. They saw him as a strong leader who was committed to fighting corruption and improving the living standards of Tanzanians.

However, there were also criticisms of President Magufuli's leadership style, particularly his crackdown on political dissent, restrictions on freedom of expression, and human rights abuses. Some in the West viewed his approach as authoritarian and detrimental to democratic principles.

Overall, perceptions of President Magufuli in the West were mixed, with both praise for his focus on development and criticisms of his authoritarian tendencies and human rights record.
 
kwani kukosoa imani inayoomba kwa jina la maria badala ya Jina la Yesu, ndio useme sijaokoka? nani yupo sahihi? tuwaache na maria wenu na sisi tubaki na Yesu watu au? chagua moja.

Eliya aliwaambia watu kama wewe, mtasitasita katika njia mbili mpaka lini? ikiwa Yehova ndiye Mungu mfuateni, na ikiwa baali ndiye basi mfuateni. changueni hivi leo mtakaye mtumikia, mimi na nyumba yangu tutamtumikia Bwana.
Nonsense
 
Back
Top Bottom