Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

Mkuu,

Waache wamuombee mpendwa wao hata kila siku, ni haki yao ya kikatiba na sehemu ya haki zao za kibinadamu.

Vibaya ni kumlazimisha mtu kuomba tu, lakini, kama wanaomba kwa hiyari yao na utashi wao, ni haki yao tu.

Na wewe kama unaona kumuombea sana Magufuli kuliko Nyerere ni kitu kibaya, unaruhusiwa kumuombea Nyerere hata kila siku, hata mara kadhaa kwa siku, ili uwazidi hao wanaomuombea Magufuli.

Tatizo liko wapi?
Hii Imeenda vizuri kweli kweli
 
ASANTE SANA,SASA WASHAURI NA WENZAKO WAACHE KUPOTEZA MUDA,YESU ANAFUFUA WAFU,WAPELEKE MAOMBI YAO KWA ASKOFU GWAJIMA ILI POMBE AFUFULIWE NA KAZI IENDELEE,SAWA??
Inapendeza sana ulivyomkiri Yesu Kristu ndani ya mwezi mtukufu.
 
Huu nao ni uchawi.
Mbona mnafanya Dua na kuchinja nyama mkitoka kusafisha makaburi ile eid nini sijui.
Wakristo hawalalamiki mnapandikiza udini wakati wa raisi mkristo?
 
Raha iloyopo katika threads za JPM katika ya reply 100 ni 10 tu ndio za wahuni wanaompinga mwamba, 90% wanamwaga maua tu.

Sharout kwenu watu wa Mungu wa nguvu.
 
hili kanisa la mpinga Kristo, imagine, barua nzima inatangazwa na dhehebu kumuombea marehemu, lakini hawajaweka mstari wowote wa Biblia to back up their activity. ilitakiwa waseme, siku fulani tutamwombea marehemu fulani au misa kwa ajili ya mtufulani kwa mujibu wa kitabu fulani cha Biblia. kiufupi ni kwamba, hakuna mstari wowote kwenye Biblia unaoruhusu kuombea wafu au kuomba kwa wafu. Mtu akishakufa, kilichobaki kwake ni hukumu tu aidha aende motoni au uzimani, ninyi mlioko hapa duniani hata mumuombee namna gani mnapoteza muda wenu, yeye alitakiwa kutubu alipokuwa mzima.

hata akili ya kawaida tu, kama kungekuwa na kuombewa baada ya kufa uwekwe mahali pema, kusingekuwa na wito wa kuokoka au kumpokea Yesu, kwasababu hata ukifa na dhambi hasa wewe uliye maarufu au tajiri, ungeita tu padre akuombee usamehewe dhambi huko uendako. Yesu angesemaje sasa tukeshe na kuwa tayari? hata usipokuwa tayari si watakuombea ukifa?

Kanisa katoliki limepotosha wengi hadi hawataki kuokoka kwasababu wanalitegemea litawaombea wakifa. hili pia limefanya mapadre kuwa miungu watu, usipoenda jumuiya wanasema hatutakuzika, au hatutakuombea misa kama hizi, yaani wao ni kama wamejipatia mamlaka ya aidh akuingiza mtu mbinguni au kumzuia asiingie, jambo ambalo kwenye Biblia halipo. watu wengi wanashindwa kuokoka wakiogopa hawataombewa, mnapotoka.

Kanisa hili sio lile la mitume, shetani alishaingilia kati akalichuja. ukichukua kanisa la kitabu cha Matendo (ambalo ndilo kanisa la mitume) ukalinganisha na hili la sasaivi, hakuna hata vinavyolingana, siasa na serikali za wafalme wa dunia ziliingilia kati zikaliharibu kabisa. USHAURI WANGU KWENU WAKATOLIKI, nafasi ya uzima Mungu amewapatia, itumieni kwanza kabisa kwa kulikimbia hilo dhehebu, lipo kinyume na Neno la Mungu, pili, mnatakiwa kuokoka, Kitabu cha matendo chote kimeiimba kuokoka, muokoke ili msiende jehanum, dhehebu lenu limewaweka watumwa na mpo kifungoni, hamumuoni Mungu maishani mwenu na bado mnasali hapo, kwa kifungo cha kuzikwa na kuombewa mkifa, mnakataa wokovu na vipawa vyote vya Mungu, mnang'ang'ania dhehebu, Mungu anawaonya mbadilike, mngali na nafasi.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani.

Waebrania 9:27 inasema, Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.

Ndugu zangu, Biblia imeweka wazi, heri wafu wafao katika Bwana maana wataenda na matendo yao, Msipoteze muda kwenda kumuombea magufuli, siku ile anakufa ndio ilikuwa deadline yake hapa duniani ya kutengeneza na Mungu,kama alifanikiwa kutengeneza na Mungu kwa kutubu dhambi, heri yake, ila kama hakutengeneza, alienda na matendo yale yaliyoishia siku ile alipokufa. vivyo hivyo hata ninyi mkifa ndio deadline ya kutengeneza na Mungu. HAKUNA MWANADAMU ATAKAYEKUOMBEA ukifa usamehewe, hayupo, unasamehewa kwa kutubu dhambi, haujatubu unaenda na matendo yenu. hili suala la kuombea wafu ati Mungu awaweke pema, ni la kishetani na lengo ni kutaka watu wabaki katika dhambi wakitegemea kanisa litawasaidia kutubu dhambi wakifa, jambo ambalo ni la uongo na shetani amewakamatia hapo. ukifa unaenda na matendo yako, na baada ya kifo kinachofuata ni hukumu.
Kwa hiyo "Walokole" wote tayari wapo mbinguni?

Haya ni maajabu!
 
hili kanisa la mpinga Kristo, imagine, barua nzima inatangazwa na dhehebu kumuombea marehemu, lakini hawajaweka mstari wowote wa Biblia to back up their activity. ilitakiwa waseme, siku fulani tutamwombea marehemu fulani au misa kwa ajili ya mtufulani kwa mujibu wa kitabu fulani cha Biblia. kiufupi ni kwamba, hakuna mstari wowote kwenye Biblia unaoruhusu kuombea wafu au kuomba kwa wafu. Mtu akishakufa, kilichobaki kwake ni hukumu tu aidha aende motoni au uzimani, ninyi mlioko hapa duniani hata mumuombee namna gani mnapoteza muda wenu, yeye alitakiwa kutubu alipokuwa mzima.

hata akili ya kawaida tu, kama kungekuwa na kuombewa baada ya kufa uwekwe mahali pema, kusingekuwa na wito wa kuokoka au kumpokea Yesu, kwasababu hata ukifa na dhambi hasa wewe uliye maarufu au tajiri, ungeita tu padre akuombee usamehewe dhambi huko uendako. Yesu angesemaje sasa tukeshe na kuwa tayari? hata usipokuwa tayari si watakuombea ukifa?

Kanisa katoliki limepotosha wengi hadi hawataki kuokoka kwasababu wanalitegemea litawaombea wakifa. hili pia limefanya mapadre kuwa miungu watu, usipoenda jumuiya wanasema hatutakuzika, au hatutakuombea misa kama hizi, yaani wao ni kama wamejipatia mamlaka ya aidh akuingiza mtu mbinguni au kumzuia asiingie, jambo ambalo kwenye Biblia halipo. watu wengi wanashindwa kuokoka wakiogopa hawataombewa, mnapotoka.

Kanisa hili sio lile la mitume, shetani alishaingilia kati akalichuja. ukichukua kanisa la kitabu cha Matendo (ambalo ndilo kanisa la mitume) ukalinganisha na hili la sasaivi, hakuna hata vinavyolingana, siasa na serikali za wafalme wa dunia ziliingilia kati zikaliharibu kabisa. USHAURI WANGU KWENU WAKATOLIKI, nafasi ya uzima Mungu amewapatia, itumieni kwanza kabisa kwa kulikimbia hilo dhehebu, lipo kinyume na Neno la Mungu, pili, mnatakiwa kuokoka, Kitabu cha matendo chote kimeiimba kuokoka, muokoke ili msiende jehanum, dhehebu lenu limewaweka watumwa na mpo kifungoni, hamumuoni Mungu maishani mwenu na bado mnasali hapo, kwa kifungo cha kuzikwa na kuombewa mkifa, mnakataa wokovu na vipawa vyote vya Mungu, mnang'ang'ania dhehebu, Mungu anawaonya mbadilike, mngali na nafasi.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani.

Waebrania 9:27 inasema, Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.

Ndugu zangu, Biblia imeweka wazi, heri wafu wafao katika Bwana maana wataenda na matendo yao, Msipoteze muda kwenda kumuombea magufuli, siku ile anakufa ndio ilikuwa deadline yake hapa duniani ya kutengeneza na Mungu,kama alifanikiwa kutengeneza na Mungu kwa kutubu dhambi, heri yake, ila kama hakutengeneza, alienda na matendo yale yaliyoishia siku ile alipokufa. vivyo hivyo hata ninyi mkifa ndio deadline ya kutengeneza na Mungu. HAKUNA MWANADAMU ATAKAYEKUOMBEA ukifa usamehewe, hayupo, unasamehewa kwa kutubu dhambi, haujatubu unaenda na matendo yenu. hili suala la kuombea wafu ati Mungu awaweke pema, ni la kishetani na lengo ni kutaka watu wabaki katika dhambi wakitegemea kanisa litawasaidia kutubu dhambi wakifa, jambo ambalo ni la uongo na shetani amewakamatia hapo. ukifa unaenda na matendo yako, na baada ya kifo kinachofuata ni hukumu.
Hili gazeti lako halina point
 
Aombewe kwa lipi??wanafiki tuh hawana lolote na udini wao,if they real love him like the way they pretend it to be waende kwa Gwajima wakaongee nae AMFUFUE ILI ARUDI NA KAZI IENDELEE..
Mbona una hasira sana na kwa Taarifa Yako ataombewa katika Parokia zote Tanzania Hadi Zanzibar
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
MRUMI anazingatia MAOKOTO,lazima watu wapeleke tozo na kodi kwa MRUMI siku hiyo.
Habari za maombi ya kupunguziwa adhabu hizo ni nadharia tu wala hazina uhalisia hata kidogo.
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
Walio hai wanajua watakufa, lakini wafu hawajui neno lolote, waache wamepata jambo lakuwapotezea muda😚😚😚
 
hili kanisa la mpinga Kristo, imagine, barua nzima inatangazwa na dhehebu kumuombea marehemu, lakini hawajaweka mstari wowote wa Biblia to back up their activity. ilitakiwa waseme, siku fulani tutamwombea marehemu fulani au misa kwa ajili ya mtufulani kwa mujibu wa kitabu fulani cha Biblia. kiufupi ni kwamba, hakuna mstari wowote kwenye Biblia unaoruhusu kuombea wafu au kuomba kwa wafu. Mtu akishakufa, kilichobaki kwake ni hukumu tu aidha aende motoni au uzimani, ninyi mlioko hapa duniani hata mumuombee namna gani mnapoteza muda wenu, yeye alitakiwa kutubu alipokuwa mzima.

hata akili ya kawaida tu, kama kungekuwa na kuombewa baada ya kufa uwekwe mahali pema, kusingekuwa na wito wa kuokoka au kumpokea Yesu, kwasababu hata ukifa na dhambi hasa wewe uliye maarufu au tajiri, ungeita tu padre akuombee usamehewe dhambi huko uendako. Yesu angesemaje sasa tukeshe na kuwa tayari? hata usipokuwa tayari si watakuombea ukifa?

Kanisa katoliki limepotosha wengi hadi hawataki kuokoka kwasababu wanalitegemea litawaombea wakifa. hili pia limefanya mapadre kuwa miungu watu, usipoenda jumuiya wanasema hatutakuzika, au hatutakuombea misa kama hizi, yaani wao ni kama wamejipatia mamlaka ya aidh akuingiza mtu mbinguni au kumzuia asiingie, jambo ambalo kwenye Biblia halipo. watu wengi wanashindwa kuokoka wakiogopa hawataombewa, mnapotoka.

Kanisa hili sio lile la mitume, shetani alishaingilia kati akalichuja. ukichukua kanisa la kitabu cha Matendo (ambalo ndilo kanisa la mitume) ukalinganisha na hili la sasaivi, hakuna hata vinavyolingana, siasa na serikali za wafalme wa dunia ziliingilia kati zikaliharibu kabisa. USHAURI WANGU KWENU WAKATOLIKI, nafasi ya uzima Mungu amewapatia, itumieni kwanza kabisa kwa kulikimbia hilo dhehebu, lipo kinyume na Neno la Mungu, pili, mnatakiwa kuokoka, Kitabu cha matendo chote kimeiimba kuokoka, muokoke ili msiende jehanum, dhehebu lenu limewaweka watumwa na mpo kifungoni, hamumuoni Mungu maishani mwenu na bado mnasali hapo, kwa kifungo cha kuzikwa na kuombewa mkifa, mnakataa wokovu na vipawa vyote vya Mungu, mnang'ang'ania dhehebu, Mungu anawaonya mbadilike, mngali na nafasi.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani.

Waebrania 9:27 inasema, Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.

Ndugu zangu, Biblia imeweka wazi, heri wafu wafao katika Bwana maana wataenda na matendo yao, Msipoteze muda kwenda kumuombea magufuli, siku ile anakufa ndio ilikuwa deadline yake hapa duniani ya kutengeneza na Mungu,kama alifanikiwa kutengeneza na Mungu kwa kutubu dhambi, heri yake, ila kama hakutengeneza, alienda na matendo yale yaliyoishia siku ile alipokufa. vivyo hivyo hata ninyi mkifa ndio deadline ya kutengeneza na Mungu. HAKUNA MWANADAMU ATAKAYEKUOMBEA ukifa usamehewe, hayupo, unasamehewa kwa kutubu dhambi, haujatubu unaenda na matendo yenu. hili suala la kuombea wafu ati Mungu awaweke pema, ni la kishetani na lengo ni kutaka watu wabaki katika dhambi wakitegemea kanisa litawasaidia kutubu dhambi wakifa, jambo ambalo ni la uongo na shetani amewakamatia hapo. ukifa unaenda na matendo yako, na baada ya kifo kinachofuata ni hukumu.
Hivi ni kwa mujibu wa dhehebu lako mnavyoyafahamu na kuyafafanua maandiko matakatifu, Roho wa Mungu tunayeamini ndiye mwalimu mwenye kuongoza na "msemesha ndimi" za kanisa, anao utajiri makubwa wa karama, anampa huyu utambuzi na kumfumbia mwingine, yote ni kwa sifa na utukufu wa Mungu, kabla ya madhehebu yenu, kanisa katoliki lipo likifafanua maandiko kwa maongozi ya Roho wa Milele, kwa mamlaka yake kanisa linatumia vyanzo 3 vya ualimu wake, navyo ni 1. Biblia takatifu (holy scriptures) 2. Mapokeo hai (holy traditions) 3. Mamlaka funzi (magisterium). Mambo haya matatu yanatumika kwa pamoja kufafanua na kufundisha jambo moja pasipo kupingana, hivyo kila andiko ktk biblia linafundishwa kadiri ya mapokeo ya kale ya kanisa na mamlaka fundishi za kanisa linavyolipokea kupitia mababa watakatifu, makardinali na maaskofu wanavyoangaziwa na Roho wa Mungu. Kwa mfano, jambo la vitabu vya biblia takatifu, wakatoliki wanatumia biblia ya vitabu 72 tofauti na madhehebu mengine yanayotumia biblia ya vitabu 66, walioamua kupunguza vitabu 6 walikua na sababu zao na kanisa haliendeshwi kwa kusikiliza wapinzani wake wanasema nini, linamsikiliza Mungu, hivyo likaendelea na mambo yake, kwa upungufu huo wa vitabu kadhaa ktk biblia yenu, kuna taarifa nyingi mnazokosa na hivyo hatuwezi kuelewa kanisa linalofundisha kwa biblia yenye taarifa nyingi zaidi ya mlizokuwa nazo. Uhalali wa kanisa kutumia mapokeo yake upo hata ktk biblia mliyokua nayo ninyi, itoshe kusema kati ya mwaka 295BK biblia ilipoanza kutumia ktk kanisa wakati huo likiwa kanisa moja tu katoliki la mitume, Mwenyezi Mungu amefunua na kufundisha mambo mengi kwa njia zake ktk kanisa ambayo hayakuwa yameandikwa, kuna nyakati watakatifu walioko mbinguni wametokea ktk kanisa na kuleta jumbe za Mwenyezi Mungu akitaka jumbe hizo zitambulike kama "kweli za kiimani" na zishikwe na wafuasi wa "Mwanae mpenzi" pia kanisa ktk ukulu wa kiti cha Petro mtume, linapotimiza wajibu wake wa kufundisha Imani, maadili na ibada, linaelekeza historia ya wanadamu kadiri ya nyakati walizopo, mafundisho ya kanisa kipindi cha zama za utumwa na ukoloni ni tofauti na sasa kwenye zama za ubeberu, sayansi na teknolojia, haya yote ni kazi ya Roho mtakatifu, tajiri wa nyakati zote, kila siku anao ujumbe mpya kwa ajili yako ya leo na kesho pia atakua na lingine kwa ajili yako kama utamsikiliza na kumpa muda akufundishe, anafanya hivyo kwa kanisa, taifa na jamii inayompa nafasi alifundishe. Je, unampa Roho mtakatifu nafasi ktk maisha yako? Je, familia yako? Jamii? Kanisa lako? Kama kweli, basi lazima utakua unashuhudia surprise nyingi kutoka kwake, akikuelekeza jinsi ya kumjua, kumpenda na kumtumikia Mwenyezi Mungu ili mwisho mwishoni uweze kufika kwake mbinguni.
Nimefurahi kupata fursa hii kuandika kitu kuhusu Imani kuu hata hivyo yako mengi, karibu kanisa lenye misingi ya mitume, iliyotabiriwa kuwa misingi ya ulimwengu huu itapambana nayo lakini haitalishinda, mfano swali la kuombea marehemu, kwetu hata mtoto wangu wa miaka saba anayefuata mafundisho ya komunyo yakwanza analifahamu na kulieleza kinaga ubaga, wakati huko kwenu hata mchungaji mwenye PhD ya teolojia hajui chochote, hivyo ndivyo anavyoshangaza Roho mtakatifu ktk maweza yake.
Barikiwa.
 
Mbona una hasira sana na kwa Taarifa Yako ataombewa katika Parokia zote Tanzania Hadi Zanzibar
Sasa me nakushauri jambo la maana unakataa kama zuzu,mwiteni Askofu Gwajima amfufue hamtaki,Sasa hata mkikomaa kumuombea ndo Nini,atarudi huyo kwani?

Mtaomba hadi mjinyee,harudi Ng'oo?!?..
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
Hata aombewe wapi!! Kama hamta sema nanibali mpiga Lissu risasi na kuwapoteza kina Ben, basi hatakaa aione pepo. Atakuwa kuni maisha yake yote huko ahera
 
Hata aombewe wapi!! Kama hamta sema nanibali mpiga Lissu risasi na kuwapoteza kina Ben, basi hatakaa aione pepo. Atakuwa kuni maisha yake yote huko ahera
Itakuwa jamaa wanajua ndio maana wamegauza kanisa kuwa taasisi ya kufanyia laundering criminals (kutakatisha wahalifu)
 
Hivi ni kwa mujibu wa dhehebu lako mnavyoyafahamu na kuyafafanua maandiko matakatifu, Roho wa Mungu tunayeamini ndiye mwalimu mwenye kuongoza na "msemesha ndimi" za kanisa, anao utajiri makubwa wa karama, anampa huyu utambuzi na kumfumbia mwingine, yote ni kwa sifa na utukufu wa Mungu, kabla ya madhehebu yenu, kanisa katoliki lipo likifafanua maandiko kwa maongozi ya Roho wa Milele, kwa mamlaka yake kanisa linatumia vyanzo 3 vya ualimu wake, navyo ni 1. Biblia takatifu (holy scriptures) 2. Mapokeo hai (holy traditions) 3. Mamlaka funzi (magisterium). Mambo haya matatu yanatumika kwa pamoja kufafanua na kufundisha jambo moja pasipo kupingana, hivyo kila andiko ktk biblia linafundishwa kadiri ya mapokeo ya kale ya kanisa na mamlaka fundishi za kanisa linavyolipokea kupitia mababa watakatifu, makardinali na maaskofu wanavyoangaziwa na Roho wa Mungu. Kwa mfano, jambo la vitabu vya biblia takatifu, wakatoliki wanatumia biblia ya vitabu 72 tofauti na madhehebu mengine yanayotumia biblia ya vitabu 66, walioamua kupunguza vitabu 6 walikua na sababu zao na kanisa haliendeshwi kwa kusikiliza wapinzani wake wanasema nini, linamsikiliza Mungu, hivyo likaendelea na mambo yake, kwa upungufu huo wa vitabu kadhaa ktk biblia yenu, kuna taarifa nyingi mnazokosa na hivyo hatuwezi kuelewa kanisa linalofundisha kwa biblia yenye taarifa nyingi zaidi ya mlizokuwa nazo. Uhalali wa kanisa kutumia mapokeo yake upo hata ktk biblia mliyokua nayo ninyi, itoshe kusema kati ya mwaka 295BK biblia ilipoanza kutumia ktk kanisa wakati huo likiwa kanisa moja tu katoliki la mitume, Mwenyezi Mungu amefunua na kufundisha mambo mengi kwa njia zake ktk kanisa ambayo hayakuwa yameandikwa, kuna nyakati watakatifu walioko mbinguni wametokea ktk kanisa na kuleta jumbe za Mwenyezi Mungu akitaka jumbe hizo zitambulike kama "kweli za kiimani" na zishikwe na wafuasi wa "Mwanae mpenzi" pia kanisa ktk ukulu wa kiti cha Petro mtume, linapotimiza wajibu wake wa kufundisha Imani, maadili na ibada, linaelekeza historia ya wanadamu kadiri ya nyakati walizopo, mafundisho ya kanisa kipindi cha zama za utumwa na ukoloni ni tofauti na sasa kwenye zama za ubeberu, sayansi na teknolojia, haya yote ni kazi ya Roho mtakatifu, tajiri wa nyakati zote, kila siku anao ujumbe mpya kwa ajili yako ya leo na kesho pia atakua na lingine kwa ajili yako kama utamsikiliza na kumpa muda akufundishe, anafanya hivyo kwa kanisa, taifa na jamii inayompa nafasi alifundishe. Je, unampa Roho mtakatifu nafasi ktk maisha yako? Je, familia yako? Jamii? Kanisa lako? Kama kweli, basi lazima utakua unashuhudia surprise nyingi kutoka kwake, akikuelekeza jinsi ya kumjua, kumpenda na kumtumikia Mwenyezi Mungu ili mwisho mwishoni uweze kufika kwake mbinguni.
Nimefurahi kupata fursa hii kuandika kitu kuhusu Imani kuu hata hivyo yako mengi, karibu kanisa lenye misingi ya mitume, iliyotabiriwa kuwa misingi ya ulimwengu huu itapambana nayo lakini haitalishinda, mfano swali la kuombea marehemu, kwetu hata mtoto wangu wa miaka saba anayefuata mafundisho ya komunyo yakwanza analifahamu na kulieleza kinaga ubaga, wakati huko kwenu hata mchungaji mwenye PhD ya teolojia hajui chochote, hivyo ndivyo anavyoshangaza Roho mtakatifu ktk maweza yake.
Barikiwa.
ulitakiwa kuandika kwa kuweka aya, huo ndio uandishi wa wasomi. najua wewe ni msomi, na ninakuheshimu kwa hilo.

tukija kwenye hoja, Kama uliwahi kusoma Biblia hata mara moja tu, utakubaliana na mimi kwamba kanisa lako katoliki linapingana na wokovu aliouleta Yesu Kristo, na karama zote za Roho Mtakatifu. In fact, kanisa lako linamkataa Roho Mtakatifu, kwasababu hata ujazo wa Roho Mtakatifu ambao kanisa la kwanza (kitabu cha matendo) waliishi, ninyi mnakataa na hakuna yeyote kanisani mwenu hadi makao makuu vatican wanakoataka kuruhusu ushoga, ambao wanajazwa Roho Mtakatifu, hivyo usimsingizie Roho kwamba mnaye au kwamba anawaongoza.
Nitakufafanulia machache halafu ujiulize mwenyewe na ukasaidiane na wenzako wasomi kujibu.

1. Kanisa la kwanza, lile la mitume, hawajawahi kuomba kwa bikira maria, never, ila ninyi je?

2. Kanisa la kwanza walihubiri watu waokoke kwa kumwamini Yesu Kristo, na wajazwe Roho Mtakatifu, je, nini mnahubiri watu waokoke? mbona mnasema kunena kwa lugha ambako ndio kujazwa Roho haitakiwi? mbona hata karismatic wanaojaribu kupambania wokovu mnawafukuza na kuwatenga?

3. Kanisa la kwanza, hawajawahi kuomba kwa wafu, waliomba kwa Jina la Yesu Kristo, ninyi mnaomba kwa wafu, hata juzi mliomba kwa magufuli na mlimwombea.

4. Kanisa lq kwanza liliamini mtu anatakiwa kuokoka na kuacha dhambi, baada ya kifo ni hukumu na mtu anapokufa anaenda na matendo yake, ninyi mnaamini mtu akifa padre anaweza kumwombea msamaha kwa Mungu akasamehewa. hii ni ajabu kabisa. Kitabu cha Ufunuo anasema "Heri wafu wafao katika Bwana, maana matendo yao wataenda nayo", pia Waebrania inasema, kama mtu alivyoandikiwa kufa mara moja na baada ya kifo ni hukumu. ninyi mmebadilisha kwamba mtu akifa maiti inaweza kuombewa ikasamehewa, inasamehewa ikiwa imetubu lini sasa? enyi vipofu.

5. Kanisa la kwanza liliamini matendo ya miujiza. ni kweli siku hizi kuna manabii wa uongo wengi wanafanya miujiza feki. lakini hiyo haizuii au haimaanishi miujiza halisi haipo. Ninyi, hata ukiita askofu wenu hakuna mwenye uwezo kukemea hata pepo tu, hayupo. mioyoni mwenu kuna Mungu kweli? Yesu alisema pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo...Pia Yesu alisema, enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili, aaminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa, na ishara hizi zitaambatana na wote waaminio, kwajina langu watatoa pepo, watasema kwa lugha mpya...., ninyi hamtaki kusema kwa lugha ya Roho, na hamtoi hata pepo kilema tu hamuwezi.

6. Kanisa la kwanza, au nisema Yesu alisema tukaihubiri injili, aaminiye na kubatizwa ataokoka. hakuna mtume au yeyote kwenye kitabu cha matendo aliyebatiza watoto wadogo, kwasababu hawawezi kuamini, ila wale wenye akili wanaoamini kwanza, na kubatizwa hao ndio wanaookoka. ninyi mnabatiza watoto wadogo, ambao hawajaamini, na hata kuokoka kwenyewe ambako Yesu alisema "ataokoka" mnakupinga. ajabu sana.

kwa hayo machache, jitafakari kama kanisa lenu hili ndilo lile lile la mitume au la. Warumi 1:26 inapinga kabisa ushoga na ufiraji, ila mnakijua mnachokifanya vatican sasaivi. okokeni muikimbie hukumu ya Mungu iliyo mbele yenu. ajabu yake ni kwamba, ninyi wenyewe mnajua fika mioyoni mwenu kwamba hamna Mungu, mnaabudu tu dini na mapokeo ya dini yenu, ila mna uhakika kabisa mioyoni mwenu kwamba hakuna Roho wala chochote cha kimungu. na wengi wa waumin iwenu wapo hapo ili wazikwe na kuombewa msamaha wakifa wakiamini kwamba wakiwa maiti watasamehewa, na huo ndio uongo mkubwa sana shetani ameuweka na unapoteza wengi jehanum.
 
Kwa hiyo "Walokole" wote tayari wapo mbinguni?

Haya ni maajabu!
pambania roho yako, siwezi kusema wote wapo, ila walau wote waliowahi kuokoka walipata nafasi ya kumjua Mungu, wengine wamemuacha wakiwa humohumo, na wengine wameendelea na Mungu hadi mwisho. haya madhehebu unayoyaona, ni taratibu za wanadamu tu, kinachomata ni kama dhehebu hilo lina misingi ya Kibiblia inayoweza kumwongoza mtu amtafute Mungu na kumwona? hapo ndipo pa muhimu sana kuelewa.

sasa kwa mfano, Yesu Kristo alisema, nitawatumia msaidizi,Roho Mtakatifu kwasababu peke yenu hamuwezi lolote. kwenye Mathayo 28 alisema na ishara hizi zitaambatana na wale waaminio, kwa JIna langu watatoa pepo, watasema kwa lugha mpya (lugha ya Roho yaani kunena kwa lugha), sasa ukiona kuna kanisa halina misingi ya kumpata Roho mtakatifu na wanapinga udhihirisho wa kunena ambao hata Yesu aliusema, jua hilo kanisa haliwezi kumfundisha mtu akapata Roho kwasababu wanampinga Roho. hivyo halitamsaidia hata akisali hapo.

na lile linalofundisha na kuhamasisha Roho (mfano tu), hao watasaidia watu kulingana na misingi yao, wampate Roho, na ukiwa na Roho wa Mungu wewe ndio mwana wa Mungu. imeandikwa walakini awaye yote asipokuwa na huyo Roho, huyo sio wake. hivyo ninyi nyote msio kuwa na Roho, sio watu wa Mungu.

misingi ya dhehebu ni muhimu sana, kwasababu ndio misingi inayoweza kumsadia mtu kwneye harakati za kutafuta uso wa Mungu.

kitu kingine, Yesu alisema ombeni kwa Jina langu, dhehebu lignine linaomba kwa maria na wafu, unategemea nini hapo?

Biblia inasema baada ya kifo ni hukumu (hakuna msamaha ukiwa umekufa) dhehebu la katoliki linaombea maiti asamehewe, kitu ambacho hata kwenye Biblia hakipo, unategemea nini? na Ufunuo anasema heri wafu wafao katika BWana maana matendo yao yaambatana nao, yaani ukifa, umeondoka na matendo yako utaenda kuhukumiwa nayo. naamini kama Mungu angeamua kwamba mapadre wawaombee maiti wasamehewe dhambi (badala ya mtu mwenyewe kutubu kabla ya kufa) basi, makanisa yangejaa majeneza na mochwari zingejengwa makanisani ili maiti ziombewe zisiende motoni.kitu cha ajabu kabisa hiki. shitukeni, mbona jambo hili lipo wazi sana? hata mtu wa kawaida mbona inaonyesha kabisa mmepotea? kweli muombee maiti isamehewe kweli? kwahiyo mtu asitubu ili akifa ninyi mmtubie kwa Mungu, mbona ajabu hii?
 
Biblia haijaandika kila kitu. Usikremu.
kwahiyo vingine kama hivyo vya kuomba kwa bikira maria badala ya JIna la Yesu, na hiyo kuombea wafu wasamehewe dhambi, hata ikitoka kwa shetani fresh tu, kwasababu Biblia haikuandika kila kitu?
 
Back
Top Bottom