Walipewa haki burr na CFI ya France back those days, baadae walishindwa kulipiaKombe la dunia na lenyewe ni premium? Hili si huwa linakuwa la wazi hata youtube linastrimika? Au mambo yamebadilika? ITV alikuwa anaonesha UEFA, Uero, World Cup, Afcon nk ,sijui ilikuaje akawaachia hao wengine ambao ni wachanga wampoteze
Nimeona bid ya qatar kuonyesha kombe la dunia ilikuwaGharama za kuonyesha world cup ni kiasi gani mpaka ufikie conclusion hiyo?
QAT (2022) | US$220 billion |
TBC wanawezaje kuonyesha world cup?Nimeona bid ya qatar kuonyesha kombe la dunia ilikuwa
QAT (2022) US$220 billion
Sasa kwa uelewa wangu kama hizi figure ni sahihi, itakuwa ni very very expensive kupata haki za matangazo, kuonyesha, na kadhalika. Sababu lazima Qatar watataka returns on investment.
huyu hajApandisha ila amehamishia compactWorld Cup huwa vituo vya Taifa wanapewa asilimia ya kuonesha. Kuhusu Azam hawana haki, zote kanunua DStv ndo maana wameamua kupandisha bei.
Televisheni zote za Taifa hupewa asilimia fulani kila world cupTBC wanawezaje kuonyesha world cup?
Unafahamu hakuna TV company hata moja yenye thamani hiyo hapa Africa?
Yes, ili Sisi tunaolipa 34 tuongezehuyu hajApandisha ila amehamishia compact
Unakosea mkuu,TBC wanawezaje kuonyesha world cup?
Unafahamu hakuna TV company hata moja yenye thamani hiyo hapa Africa?
69'000Hivi now gharama za kufunga Dstv sh ngapi ? Bora nianze maandalizi mapema tu.
Ahsante sana mkuu kwa nondo hii. Kweli kulikuaga na nembo ya CFI, umenikumbusha kitambo sana.Televisheni zote za Taifa hupewa asilimia fulani kila world cup
TV za taifa zinapewa access ya kuonyesha baadhi ya mechi, ila siyo zote, by default.TBC wanawezaje kuonyesha world cup?
Unafahamu hakuna TV company hata moja yenye thamani hiyo hapa Africa?
Ni basi tuu umasikini unatusumbua, hapo ni sawa na mechi moja unalipia Tsh 875.Dstv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000.
Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu ndio muda wenu wa kuibuka na kututangazia Watanzania kuwa mtaonesha kombe la dunia kwa bei nafuu.
AzamTv amkeni kutoka kwenye usingizi mzito njooni mjichukulie point 3 muhimu
Streaming world cup na hosting world cup ni two unrelated topics.Unakosea mkuu,
Nimesema total bidding ya Qatar kuweza kuhost hayo mashindano. Jikite argument zako kwenye vilivyoandikwa otherwise hatuwezi kuwa na constructive argument.
Asante mkuu69'000
Then tatizo sio costs bali ni business margins.Televisheni zote za Taifa hupewa asilimia fulani kila world cup
Wewe unadhan ROI ya Qatar inarudije? Au unafikiri havina mahusiano na subscription fees, haki za matangazo, nk. ?Streaming world cup na hosting world cup ni two unrelated topics.
Dstv ana cost advantage kubwa kutokana na pool ya wateja, hivyo maumivu ya kulipia haki yanapungua.Kwa Africa nadhani dstv ni giant kwenye urushaji wa mipira live, pia ana wateja wengi ambao wanafikia milion 22 africa nzima, huku South Africa pekee ikiwa na wateja milioni 9.