Baada ya Chelsea kuruhusiwa kusajili uongozi wa Chelsea umempa lampard paund mil 150 za usajili.Lampard amesema atasajili maeneo machache sana ambayo ameona Yana upungufu ndo maana nimewaambia uongozi wasinipe hela nyingi sana.
Huyu jamaa ile nyota ya Torres ya kupendwa na mmiliki wa chelsea inamnyemelea kwa kasi kubwa sana... Anaweza akamwacha hata akiporomosha timu yake kule daraja la kwanza... Natamani Lampard awe Makonda (D.A.B) wa pale Chelsea, awe muda wote anaaminiwa na bosi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.