Maskini Sirrow! Wakati anayasema yale, maskini wa watu hakujua kama hakimu fulani angekuja jitoa! Mategmeo yote yamepormoka... duh! Sintashangaa nkisikia "Case Dismissed".
Kuna wakati mtu anapata madaraka kwa madhara yake mwenyewe. Naisubiri kwa hamu siku hiyo i.e the Sirrow/Sorrow Day