DodomaKaichoma mwenyewe alipwe anataka kwenda kufungua baa nyingine mkoani bima kaeni mkao wa kula😁mjini hapa
Hii itakuwa ajali ya kawaida, mida siyo ile ya kimkakati zaidi.Kaichoma mwenyewe alipwe anataka kwenda kufungua baa nyingine mkoani bima kaeni mkao wa kula😁mjini hapa
Imefanyaje?Kwaresma 😀
LiquidWalevi leo tutalewa wapi?
Wazime na nini na kutwa wanalalamika humu maji hayatoki?Sasa mnarekodi badala ya kuzima motoo, watu wa daslam bhna