BAOSITA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2011
- 368
- 188
Habarini wadau,naona 1st year wengi mpo roho juu kusubiri matokeo ya HESLB,tuendelee kuomba mambo yawe mazuri.Jamni wadau naomba kupata details za hiyo course ya B.com in Finance itolewayo UDOM,je ina walimu wazuri hapo na graduates wake inakuwaje kweny soko la ajira mtaani kwa ujumla?
Shukran
Shukran