Mbagala stendi
JF-Expert Member
- Nov 8, 2020
- 289
- 266
Habarini wadau wote wa elimu.
Nina mdogo wangu kapangiwa hiyo course hapo UDOM
Napenda kujua changamoto za course ndani ya chuo na nje ya chuo, hususani katika soko la ajira kwa sababu course za biology pale UDSM zimevunjwa.
Na katika ushindani hivi ni kweli anaweza kufiti sehemu nyingi kwasababu wawo wanasoma biology in general.
Na pia napend kujuzwa field gani za graduaters wa hii course wanaweza kufanya kazi hukiachana na taarifa za mtaani ya kuwa hakuna jingine zaidi ya kuwa mwalimu wa tuition.
karibuni kwa ushauri.
Nina mdogo wangu kapangiwa hiyo course hapo UDOM
Napenda kujua changamoto za course ndani ya chuo na nje ya chuo, hususani katika soko la ajira kwa sababu course za biology pale UDSM zimevunjwa.
Na katika ushindani hivi ni kweli anaweza kufiti sehemu nyingi kwasababu wawo wanasoma biology in general.
Na pia napend kujuzwa field gani za graduaters wa hii course wanaweza kufanya kazi hukiachana na taarifa za mtaani ya kuwa hakuna jingine zaidi ya kuwa mwalimu wa tuition.
karibuni kwa ushauri.