Aziz Ki: Siondoki Yanga Mpaka Tubebe Ubingwa Wa Africa

Smart codetz

Senior Member
Jan 25, 2023
191
753
Mpaka sasa Mimi ni Mchezaji wa Yanga na nafasi kubwa zaidi nawapa Yanga, namwamini Rais wa Yanga @caamil_88 yeye ndie amenileta hapa, tuna makubaliano yetu mimi na yeye kuwa Yanga inapaswa kucheza fainali ya Afrika na tutwae kikombe, hiyo ndio ndoto yangu na ikitokea tumecheza fainali na kubeba ubingwa nitamfuata Rais kumwomba baraka zake ili niondoke zangu, ila kwasasa bado malengo yangu na Yanga hayajatimia mpaka tucheze fainali ya Afrika”


- Stephen Aziz Ki wa Yanga, akijibu swali la Mwandishi Zainab Mohamed wa @TvAyoma kama atasalia Yanga msimu ujao.

20240525_232821.jpg
 
Mpaka sasa Mimi ni Mchezaji wa Yanga na nafasi kubwa zaidi nawapa Yanga, namwamini Rais wa Yanga @caamil_88 yeye ndie amenileta hapa, tuna makubaliano yetu mimi na yeye kuwa Yanga inapaswa kucheza fainali ya Afrika na tutwae kikombe, hiyo ndio ndoto yangu na ikitokea tumecheza fainali na kubeba ubingwa nitamfuata Rais kumwomba baraka zake ili niondoke zangu, ila kwasasa bado malengo yangu na Yanga hayajatimia mpaka tucheze fainali ya Afrika”


- Stephen Aziz Ki wa Yanga, akijibu swali la Mwandishi Zainab Mohamed wa @TvAyoma kama atasalia Yanga msimu ujao.

View attachment 2999434
I have not finished my project with yanga, I qoute
 
Kwa tulioangalia fainali Jana timu zetu bado Sana kuchukua klabu bingwa Afrika.
Kiwango cha mpira hutegemea mambo mengi... mfano yalisemwa mengi kabla ya match ya Yanga vs Mamelod. Nini kilitokea? wewe ni shahidi.

Game ya jana niliangalia mwanzo mwisho., unachopaswa kujua ni kuwa kila hatua au stage... robo, nusu, na fainali mentality ya mchezo hubadilika, aggressiveness , plan, utulivu nk vyote hivi vinakuepo

Mpira wa jana ulikuwa mzuri lakini usiupe uzito huo kudai kwamba akina sisi kucheza fainali bado. Inawezekana sana tu tatizo unajikataa from within na hii ni mbaya sana
 
Penzi la Mobeto lishakolea hapo, majajusi wa Yanga washafanya yao
Mbona akina Mickson hawakufanywa hivi kabla ya kwenda Northern Africa, inamaana Wananchi wana ujasusi bora zaidi kuliko Makolokolo?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kiwango cha mpira hutegemea mambo mengi... mfano yalisemwa mengi kabla ya match ya Yanga vs Mamelod. Nini kilitokea? wewe ni shahidi.

Game ya jana niliangalia mwanzo mwisho., unachopaswa kujua ni kuwa kila hatua au stage... robo, nusu, na fainali mentality ya mchezo hubadilika, aggressiveness , plan, utulivu nk vyote hivi vinakuepo

Mpira wa jana ulikuwa mzuri lakini usiupe uzito huo kudai kwamba akina sisi kucheza fainali bado. Inawezekana sana tu tatizo unajikataa from within na hii ni mbaya sana
Mueleze jinsi 25/05/2024 Man Utd alikaza vizuri fainali ya FA tena kiubora hadi Man City kafa 2-1.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kiwango cha mpira hutegemea mambo mengi... mfano yalisemwa mengi kabla ya match ya Yanga vs Mamelod. Nini kilitokea? wewe ni shahidi.

Game ya jana niliangalia mwanzo mwisho., unachopaswa kujua ni kuwa kila hatua au stage... robo, nusu, na fainali mentality ya mchezo hubadilika, aggressiveness , plan, utulivu nk vyote hivi vinakuepo

Mpira wa jana ulikuwa mzuri lakini usiupe uzito huo kudai kwamba akina sisi kucheza fainali bado. Inawezekana sana tu tatizo unajikataa from within na hii ni mbaya sana
Mi kizuri niliona ni atmosphere ya uwanja (mashabiki) ila mpira tena pale unamuweka yanga na game inakuwa nzuri sana
 
Kiwango cha mpira hutegemea mambo mengi... mfano yalisemwa mengi kabla ya match ya Yanga vs Mamelod. Nini kilitokea? wewe ni shahidi.

Game ya jana niliangalia mwanzo mwisho., unachopaswa kujua ni kuwa kila hatua au stage... robo, nusu, na fainali mentality ya mchezo hubadilika, aggressiveness , plan, utulivu nk vyote hivi vinakuepo

Mpira wa jana ulikuwa mzuri lakini usiupe uzito huo kudai kwamba akina sisi kucheza fainali bado. Inawezekana sana tu tatizo unajikataa from within na hii ni mbaya sana
Mpira wa Jana ndio utajua timu zetu bado Sana, Al ahly ya group stage ni tofauti yule Modest hata namba hawakumpa.
 
Morison aliachwa wewe. Hakuondoka yeye. Mpaka sasa hivi Morison anatamani kurudi YANGA
Kweli humu jf siku hizi kuna watoto wadogo wakati Morrison anatoka yanga anaenda simba mpaka wakapelekana CAS ni yanga ndio ilimuacha nimekumbuka 4m6 wamemaliza shule wapo mtaaani ndio kuna utoto mwinyi siku hizi JF.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom