Motsepe akili goli la Azizi Ki lilikuwa halali kabisa

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
16,417
25,359
PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA

Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.

"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..

#FutbalPlanetUpdates

NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!
1716533217935.jpg
 
PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA

Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.

"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..

#FutbalPlanetUpdates

NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935
wewe kiazi unajua maana ya "nilifikiri"
 
Back
Top Bottom