MoUZina wenyewe...
Seminari?Tosamaganga,kilakala,pugu,forodhani nk
Kwani walifunga Madras.Tofauti ni KWAMBA seminari wanakufundisha kila kitu na mengi muhimuMoja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi.
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?
Waislam pia walikuwa na shule zao.Wacha madrasa ambao ni ya mafunzo ya dini tu.Kwani kuna shule za madrasa zilizotaifishwa?
Waislamu walikuwa na shule zao,mbali ya madrasa.Kwani walifunga Madras.Tofauti ni KWAMBA seminari wanakufundisha kila kitu na mengi muhimu
Tosamaganga, kigonsera, pugu n.k zote zilitaifishwa
Pugu kuna kanisa kuuubwa liko hadi leo
Shule nyingi zilikuwako za kiislamu.Nadhani mleta Mada umeshapata baadhi ya majina ya shule zilizotaifishwa wakati wa azimio la Arusha shule Kama Nganza,Tosamaganga,pugu,Nsumba,Milambo na nyingine nyingi tu zilikuwa za kanisa katoriki.
Hahaaa hata ukijumlisha na mdrasas ..Shule nyingi zilikuwako za kiislamu.
Asante kwa kufafanua. Wengi hawajitambui. Watu hudhani shule inayomilikiwa na taasisi ya kidini tu basi imeshakua seminari.Uzuzu wangu upoje??Kwanza mie sio Mwislam, Cha pili nimesoma Franciscan Seminary Maua Moshi. Azimio la Arusha alikutaifisha ata Seminary Moja kwa dini na Madhebu yote ya Dini hapa Tanzania.Humu JF kuna Vichaa wengi mno ikiwemo na Wewe fanya mpango upelekwe Milembe au Lutindi kupatiwa matibabu
mjibu kwa busara kauliza swali zuri pia kama wewekalale bado unanuka maziwa wewe.
Acha ubishi kuna tofauti ya seminary na shule za seminary zipo seminary zinamiliki shule kama shule ila msingi wa seminary ni kutoa elimu kwa ajili ya kutumikia dini.Seminary ukisema ipo kama Madrasa unakosea tena sana! Madrasa wanafundisha Kiarabu na Kusoma juzuu tu(msahafu)-Seminary zinafundisha Elimu ya Secondary form 1 to form 6+ Bible knowledge .