Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,393
Hawajui thamani yake kwenye kutaifisha shuleWanamtukana sana baadhi yao.
Hawajui thamani yake kwenye kutaifisha shuleWanamtukana sana baadhi yao.
TakbiiirMvaaa Kobasi katelekeza Uzi, kakimbiaaa
Acha dharauNyie wafuga ndevu na wavaa kobazi mlitafishiwa nini?
KibasilaUnajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?
Zikitaifishwa vizuri tu
Pugu
Kwiro
Tosamaganga
Ni mifano tu
Zamani yalikuwa chini ya msajili wa nyumba/ majumbaHakuna shule ambazo hazikutaifishwa ila wakatoliki waliziomba Tena baadhi wakapewa baadhi hawakupewa mfano ni tabora boy, mzumbe boy, kilakala girl na nyingine nyingi Sana... Kwa upande wa waislam wao hawakuwa na shule nyingi na ili kubalance uwiano ndio shule za kiislam zilizotaifishwa zikawekwa chini ya bakwata...
Ila tu nikwambie hakuna taasisi ambayo haikuonja chungu ya utaifishaji enzi hizo... So wazungu, waarabu na wahindi walikipata pata..kama wahindi walikuwa na majengo karibu kila mji hapa tanzania ambayo Leo hii ni majengo ya national house yalikuwa ni ya wahindi mengi ila yote serikali iliyachukua mengi Hadi Leo yamekuwa Mali ya serikali moja kwa moja....
KWa hiyo ungewafundisha wewe maoadri au? Mbona shule za misheni zilichukuliwa mojawapo niliyosoma mimi ilikuwa inaitwa St. Joseoph SS ikawa Forodhani Secondary schoo. Ninyi watoto wa Secondary mna mpaka Google mnashindwa kutafuta taarifa kweli????? Mnatuangusha wazazi wenu! Na huyo anayemtaja Baba wa Taifa hamkomi msio na shukrani ninyi. Muulize Kikweyte aliosma wapi?Moja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi.
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?
Hata PUGU, Tabora Boys, Karatu Sec., Ilboru n.k zote zilikuwa za Shule za Kanisa. Mleta mada bado hana ufahamu mkubwa na mali za Kanisa zilizotaifishwa.Unajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?
HajuiHata PUGU, Tabora Boys, Karatu Sec., Ilboru n.k zote zilikuwa za Shule za Kanisa. Mleta mada bado hana ufahamu mkubwa na mali za Kanisa zilizotaifishwa.
Labda tungemuuliza a reverse questions. Kwamba ni shule ngapi za dini yake zilitaifishwa?Hata PUGU, Tabora Boys, Karatu Sec., Ilboru n.k zote zilikuwa za Shule za Kanisa. Mleta mada bado hana ufahamu mkubwa na mali za Kanisa zilizotaifishwa.
Serikali ilijua kuwatia watu umasikini na yote hii sababu na wao walikua masikini tu....Hakuna shule ambazo hazikutaifishwa ila wakatoliki waliziomba Tena baadhi wakapewa baadhi hawakupewa mfano ni tabora boy, mzumbe boy, kilakala girl na nyingine nyingi Sana... Kwa upande wa waislam wao hawakuwa na shule nyingi na ili kubalance uwiano ndio shule za kiislam zilizotaifishwa zikawekwa chini ya bakwata...
Ila tu nikwambie hakuna taasisi ambayo haikuonja chungu ya utaifishaji enzi hizo... So wazungu, waarabu na wahindi walikipata pata..kama wahindi walikuwa na majengo karibu kila mji hapa tanzania ambayo Leo hii ni majengo ya national house yalikuwa ni ya wahindi mengi ila yote serikali iliyachukua mengi Hadi Leo yamekuwa Mali ya serikali moja kwa moja....
Kwani kuna shule za madrasa zilizotaifishwa?Moja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi.
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?
Liitwe tu azimio la umasikiniNilisoma historia ya Karimjee Jivanjee family, Wale walianza kuwekeza Zanzibar. Kutokana na mabadiliko ya kisiasa miaka 1890 waliamua kuja bara na kuwekeza katika kilimo enzi za utawala wa Mjerumani.
Baada ya WWI Wajerumani walipoondoka, Waingereza waliuza mali za Wajerumani kwenye mnada ikiwemo mashamba ya mkonge ya Ruvu, majengo mengi eneo la Posta ya Zamani enzi hizo ndiyo mji ukikomea hapo.
Karimjee wakipoteza nyumba nyingi sana katika Azimio la Arusha. Kuanzia hapo waliamua kuwekeza zaidi Uingereza kwenye stability.
Hivi bila kutaifisha hizo shule,Serikali ilikuwa na shule zipi za Maana? Inaonekana Serikali haikuwahi Jenga shule nzuri,Serikali imejitutumua kujenga shule za kata hizi.Zikitaifishwa vizuri tu
Pugu
Kwiro
Tosamaganga
Ni mifano tu
Born on 2002Unajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?
Born in 2002, siyo born on 2002. Angalia vema matumizi ya prepositionBorn on 2002