Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Moja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi.
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?