joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,108
- 31,679
Pugu, Ndanda zote zilikuwa zote seminari.Unajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?