Mwanafalsafa,
Hujanijibu kabisa.. nimeuliza Social democratic countries (left wing) ni Socialist.. umesema hapana, na umekuja na tafsiri ya mwandishi!
Kifupi ni hivi mkuu wangu Socialism ni ideology sii nchi hata kidogo...Na viongozi wote duniani wametumia ideology hizi kwa marekebisho kulingana na WATU na MAZINGIRA yao..Kweli failure zimetokea ktk mfumo huu lakini pia kuna nchi kibao za Ulaya ambazo zilifanikiwa ikiwa ni pamoja na France na hata UK kwa sababu itikadi hii ilipewa sura mpya ya reformism pasipo kupoteza maana ya Socialism.
Ukitazama Marekani, chama cha Democratic wanafuata principal za Kijamaa kisiasa na Republican ni upande wa pili wa mtazamo huo..hivyo huwezi kusema kwamba leo hii Marekani au UK ni Socialist country kwa sababu tu wanafuata baadhi ya mambo ya Kisocialist..Na ndivyo sababu zinazokupa wewe kusema Sweden na nchi za Nordic sio Socialist kwa sababu wanafuata baadhi ya mambo ya Kibepari.
sasa kuwa mkweli, ikiwa unakubali Sweden sio Socialist kwa sababu wanafuata baadhi ya mambo ya kibepari then kubali pia Marekani (under Democratic) na UK (under labour) sio mabepari kwa sababu wanafuata baadhi ya mambo ya Kisocialist.
Mkuu wangu, kosa kubwa ambalo limefanyika Tanzania na mimi naamini kabisa kuwa limefanywa makusudi ni kutangazwa kwa Azimio la Zanzibar. Azimio hili lilitangazwa mwaka mmoja tu kabla ya kuundwa kwa vyama vingi wakati hilo Azimio pekee ni ideology by itself pamoja na kwamba lina makosa mengi tu.. moja kubwa ni kuwa azimio la Kitaifa ambalo litavunja nguvu ya ideology yoyote ile pinzani.
Nchi nyingi za magharibi baada ya kutokubaliana na mfumo mmoja uwe wa kijamaa au Kibepari wao waliunda chama chenye mtazamo tofauti Kisiasa (Primary in Political term not economical) pasipo kubadilisha principal za0 ambayo ndio tunaita DIRA ya Taifa iwe Ujamaa au Ubepari..na ndipo ushindani ulipoanza baina ya nguvu hizi mbili lakini sivyo ilivyotokea kwetu. CCM wenyewe wakasilimu dini kutokana na ugumu wa maisha hali hawakuwa na elimu pinzani ya mfumo au imani walioijenga wao..
Hivyo maadam CCM ilikuwa chama chenye imani ya Kijamaa (Socialism) ilitakiwa kiundwe chama kinachopingana na ideology ya mwalimu ili kuweka balance ya mirengo miwili pinzani pasipo kupoteza asili ya WATU wake na MAZINGIRA. Na bila shaka namuunga mkono Mwalimu kwa sababu sisi ni WAJAMAA kwa asili yetu tukigawana umaskini toka familia hadi falme na Mazingira yetu yangeongoza mfumo bora wa kiuchumi badala ya kudandia gari bovu la WB na IMF.
Tulishindwa wakati wa mwalimu kwa sababu hatukuwa na uwezo wala uzoefu wa biashara kubwa za kidunia ambazo ziliendeshwa na kundi dogo sana na matajiri. Mwalimu na wajamaa wengi (maskini jeuri) hufikiria Kwamba mtaji pasipo wafanyakazi hakuna uzalishaji wala utajiri, hivyo ni watu wanaojenga uchumi (Political action to define Ecomony terms)..wakati Mabapari wao hufikiria pasipo tajiri, Uwekezaji, ajira na hata maendeleo ya watu hayawezi patikana.(Economic over Political)
Ni vita ya kisiasa ambayo impact yake ni kwa wananchi, Na tulichoweza jifunza ktk historia yetu ni kwamba huwezi shindana na matajiri hata siku moja.. itachukua imani ya dini kuushinda Ubepari lakini sii siasa za Ujamaa hizo za usawa wa binadamu wote hali hatuko sawa kwa maumbile, kima cha mahitaji na hata matamanio..Kila binadamu ni mbinafsi kwa kipimo chake lakini sote tunasukumwa na nguvu hizi mbili za kiitikadi..Huwezi kuwa kati hata siku moja, ila unawezakuwa kati upande mmoja badala ya kuwa extremist... Huwezi kuwa Muislaam na ukawa Mkristu at the same time ila unaweza fanya mambo ambayo yanakubalika ktk Ukristu au Muislaam moderate lakini siii kinyume kama ilivyo Bongo ya leo..
Hvyo, kurudishwa kwa Azimio la Arusha haina maana tutarudi kule kule kwa mwalimu, hapana ni kutuweka watu katika imani ili tupate dira ya kule tuendako. sasa hivi sisi ni kama Makafir, hatuamini Mungu yupo lakini tukipatwa na adha kidogo wepesi wa kulia Mungu wangu mbona unatutupa!
Hivyo mimi naukaribisha kabisa Ujamaa kwa misingi ya dira kulingana na WATU na MAZINGIRA yetu..As a fact Usocialism wa kiafrika unatafsirika vizuri kama ndio Conservative kisiasa kwani ukitazama UZAWA utaona upo ktk Ujamaa wetu na Conservative lakini haukubaliki ktk Socialist wa Nchi za magharibi. we have lost our identity, culture (WATU) and independence (Maizingira), sijui Watanzania ni watu gani na hata tumefikia kubishana kama Zanzibar ni nchi au taifa.
Leo hii tunauza nchi, tunakaribisha wageni wawekezaji kwa kulipa ruzuku ya asilimia 3, mkuu wangu kama kweli tungekuwa na Conservative na Mapebari wa kikweli sidhani kama utawala wa CCM ungekuwepo madarakani.
Hujanijibu kabisa.. nimeuliza Social democratic countries (left wing) ni Socialist.. umesema hapana, na umekuja na tafsiri ya mwandishi!
Kifupi ni hivi mkuu wangu Socialism ni ideology sii nchi hata kidogo...Na viongozi wote duniani wametumia ideology hizi kwa marekebisho kulingana na WATU na MAZINGIRA yao..Kweli failure zimetokea ktk mfumo huu lakini pia kuna nchi kibao za Ulaya ambazo zilifanikiwa ikiwa ni pamoja na France na hata UK kwa sababu itikadi hii ilipewa sura mpya ya reformism pasipo kupoteza maana ya Socialism.
Ukitazama Marekani, chama cha Democratic wanafuata principal za Kijamaa kisiasa na Republican ni upande wa pili wa mtazamo huo..hivyo huwezi kusema kwamba leo hii Marekani au UK ni Socialist country kwa sababu tu wanafuata baadhi ya mambo ya Kisocialist..Na ndivyo sababu zinazokupa wewe kusema Sweden na nchi za Nordic sio Socialist kwa sababu wanafuata baadhi ya mambo ya Kibepari.
sasa kuwa mkweli, ikiwa unakubali Sweden sio Socialist kwa sababu wanafuata baadhi ya mambo ya kibepari then kubali pia Marekani (under Democratic) na UK (under labour) sio mabepari kwa sababu wanafuata baadhi ya mambo ya Kisocialist.
Mkuu wangu, kosa kubwa ambalo limefanyika Tanzania na mimi naamini kabisa kuwa limefanywa makusudi ni kutangazwa kwa Azimio la Zanzibar. Azimio hili lilitangazwa mwaka mmoja tu kabla ya kuundwa kwa vyama vingi wakati hilo Azimio pekee ni ideology by itself pamoja na kwamba lina makosa mengi tu.. moja kubwa ni kuwa azimio la Kitaifa ambalo litavunja nguvu ya ideology yoyote ile pinzani.
Nchi nyingi za magharibi baada ya kutokubaliana na mfumo mmoja uwe wa kijamaa au Kibepari wao waliunda chama chenye mtazamo tofauti Kisiasa (Primary in Political term not economical) pasipo kubadilisha principal za0 ambayo ndio tunaita DIRA ya Taifa iwe Ujamaa au Ubepari..na ndipo ushindani ulipoanza baina ya nguvu hizi mbili lakini sivyo ilivyotokea kwetu. CCM wenyewe wakasilimu dini kutokana na ugumu wa maisha hali hawakuwa na elimu pinzani ya mfumo au imani walioijenga wao..
Hivyo maadam CCM ilikuwa chama chenye imani ya Kijamaa (Socialism) ilitakiwa kiundwe chama kinachopingana na ideology ya mwalimu ili kuweka balance ya mirengo miwili pinzani pasipo kupoteza asili ya WATU wake na MAZINGIRA. Na bila shaka namuunga mkono Mwalimu kwa sababu sisi ni WAJAMAA kwa asili yetu tukigawana umaskini toka familia hadi falme na Mazingira yetu yangeongoza mfumo bora wa kiuchumi badala ya kudandia gari bovu la WB na IMF.
Tulishindwa wakati wa mwalimu kwa sababu hatukuwa na uwezo wala uzoefu wa biashara kubwa za kidunia ambazo ziliendeshwa na kundi dogo sana na matajiri. Mwalimu na wajamaa wengi (maskini jeuri) hufikiria Kwamba mtaji pasipo wafanyakazi hakuna uzalishaji wala utajiri, hivyo ni watu wanaojenga uchumi (Political action to define Ecomony terms)..wakati Mabapari wao hufikiria pasipo tajiri, Uwekezaji, ajira na hata maendeleo ya watu hayawezi patikana.(Economic over Political)
Ni vita ya kisiasa ambayo impact yake ni kwa wananchi, Na tulichoweza jifunza ktk historia yetu ni kwamba huwezi shindana na matajiri hata siku moja.. itachukua imani ya dini kuushinda Ubepari lakini sii siasa za Ujamaa hizo za usawa wa binadamu wote hali hatuko sawa kwa maumbile, kima cha mahitaji na hata matamanio..Kila binadamu ni mbinafsi kwa kipimo chake lakini sote tunasukumwa na nguvu hizi mbili za kiitikadi..Huwezi kuwa kati hata siku moja, ila unawezakuwa kati upande mmoja badala ya kuwa extremist... Huwezi kuwa Muislaam na ukawa Mkristu at the same time ila unaweza fanya mambo ambayo yanakubalika ktk Ukristu au Muislaam moderate lakini siii kinyume kama ilivyo Bongo ya leo..
Hvyo, kurudishwa kwa Azimio la Arusha haina maana tutarudi kule kule kwa mwalimu, hapana ni kutuweka watu katika imani ili tupate dira ya kule tuendako. sasa hivi sisi ni kama Makafir, hatuamini Mungu yupo lakini tukipatwa na adha kidogo wepesi wa kulia Mungu wangu mbona unatutupa!
Hivyo mimi naukaribisha kabisa Ujamaa kwa misingi ya dira kulingana na WATU na MAZINGIRA yetu..As a fact Usocialism wa kiafrika unatafsirika vizuri kama ndio Conservative kisiasa kwani ukitazama UZAWA utaona upo ktk Ujamaa wetu na Conservative lakini haukubaliki ktk Socialist wa Nchi za magharibi. we have lost our identity, culture (WATU) and independence (Maizingira), sijui Watanzania ni watu gani na hata tumefikia kubishana kama Zanzibar ni nchi au taifa.
Leo hii tunauza nchi, tunakaribisha wageni wawekezaji kwa kulipa ruzuku ya asilimia 3, mkuu wangu kama kweli tungekuwa na Conservative na Mapebari wa kikweli sidhani kama utawala wa CCM ungekuwepo madarakani.