Azimio la Arusha: Kuzaliwa upya?

Azimio la Arusha: Kuzaliwa upya?

Mkandara:

Unaboronga na unazidi ku-expose jinsi ujamaa ulivyokuwa product ya intellectual fraud.

Ujima hata wazungu wamepitia. Ni primitive form ya society yoyote. Hivyo compeleteness yake haitokani na maendeleo ya jamii bali na ugumu wa maisha katika jamii.

Hivyo advance form ya Ujima utaikuta kwa hadza, watindiga. Lakini huwezi kuikuta kwa wachagga au Wahaya. Hivyo basi huwezi kufikia level ya juu ya maisha kwa ku-copy characteristics za inferior level.

Kuna tofauti kati ya ku-copy (iga) na ku-adapt (tohoa). Nyerere alichofanya ni ku-adapt hasa baada ya kuona kuwa watu bado ni wajima. Ndio maana Rural and Social Development ambayo ni companion policy booklet ya Azimio la Arusha inasema hivi:

“We must take our traditional system, correct it shortcomings, and adapt to its service the things we can learn from the technologically developed of other continents” (Nyerere 1967: 4).
 
Pengine hakuwa na njaa wala kuwaza kesho yake atakula nini. Msosi ulikuwepo bwelele. Alikuwa na makazi yaliyo comfortable...hakung'atwa ng'atwa na mbu...etc

Uwingi wa chakula ni ishara ya prosperity. Huwezi ukawa na prosperity wakati watu wanakula mlo mmoja kwa siku.

Mimi juzi nimechoma minyama kibao hadi mingine nimetupa. Hiyo ndo prosperity bana...

Kwikwikwi hizo ndio prosperity. Mwaka jana kulikuwa na ukama mkubwa Georgia. Lakini ukame huo haukufanya kuongezeka kwa bei ya chakula. Nyama watu waliendelea kula bila matatizo na umeme uliendelea kuwepo.


Mara nyingi inatokea drought hapa viwanja, lakini hakuna mtu anayeelewa kuwa ukame umetokea zaidi ya wakulima wachache ambao nao wanakamatishwa mshiko kufidia hasara.
 
I don't care whether it nullifies or validates....I care about inventions and innovations that will tame our environment.

If you care enough what are doing to make it happen - overeating and throwing minyama (imported from Mexico) in the bin (bought in the US) over a glass (made in China) of Heinekken (brewed in Holland)?
 
If you care enough what are doing to make it happen - overeating and throwing minyama (imported from Mexico) in the bin (bought in the US) over a glass (made in China) of Heinekken (brewed in Holland)?

Nakula Angus beef. Umewahi kuisikia hiyo wewe? Na kuna ubaya gani kunywa Heineken made in China brewed in Holland? It's still the same Heineken, ain't it?
 
Hivi mnadhani kuvumbua ni kazi rahisi kaa kucheza mdundiko?

Nani kakuambia kucheza mdundiko, mduara na mchiriku ni kazi rahisi - watu kutoka huko mliko wanatumia mwaka mzima chuoni kujifunza miondoko ya hizi ng'oma zetu za Kijamaa - hebu cheki utaalamu na uvumbuzi huu wa ng'oma:

14082008(043).jpg
 
Zakumi,
Mkuu wangu umekataa niliposema Ujima yaani form ya maisha ya mwafrika ilikuwa collective work and responsibility..sasa nakuuliza wewe hiyo form ya maisha ya mwafrika unayoijua wewe ni ipi?.. kutembea uchi na mkuki mkononi au?
 
Kuna tofauti kati ya ku-copy (iga) na ku-adapt (tohoa). Nyerere alichofanya ni ku-adapt hasa baada ya kuona kuwa watu bado ni wajima. Ndio maana Rural and Social Development ambayo ni companion policy booklet ya Azimio la Arusha inasema hivi:

“We must take our traditional system, correct it shortcomings, and adapt to its service the things we can learn from the technologically developed of other continents” (Nyerere 1967: 4).

Unapenda kuelezea longolongo alizoandika. Lakini unashindwa kuonyesha jinsi alivyoboronga kwenye implementations. Alianza na vijiji vya ujamaa kwa kuiga au ku-tohoa (kama unavyosema) waChina. Na meli ikaanza kwenda mlama.
 
Nakula Angus beef. Umewahi kuisikia hiyo wewe? Na kuna ubaya gani kunywa Heineken made in China brewed in Holland? It's still the same Heineken, ain't it?

Vumbua ya kwako - kuna prototypes hizi huku Tz: Mnazi, Ulanzi, Mbege, Chibuku, Kangara, and the list goes on and on, kweli walevi ni wavumbuzi!
 
..we need to move on.

..Azimio will not come back as an entire documents.

..sehemu ndogo-ndogo za Azimio kama maadili ya viongozi, serikali kumiliki vyanzo vya kiuchumi, etc etc zinaweza kurudishwa.

..pia kuleta kitu kama maadili makali zaidi ya viongozi haimaanishi kurudisha azimio la arusha, kwani maadili hayo hapa Tanzania na hata duniani yakuanza na azimio.
 
Kuna maana gani ya kumpa mwanafunzi wa chuo kikuu maisha mazuri kwa kipindi cha muda wa miaka mitatu wakati maisha yake ya primary school, sekondary school na yale anayoishi baada ya chuo yapo ovyo ovyo.

Haya ndio makosa makubwa ya nchi za kiAfrika. Kuwa na elite Universities wakati mambo mengine ni longolongo tu.

Vipi tena mbona unaikana waziwazi bin laivu nadharia yako ya prosperity is the mother of inventions?
 
Maharage na makande wewe unaona ni vyakula vya maana?

Heheheee...umenikumbusha Masalo....wewe lazima utakuwa mtoto wa chuo wewe.

Oya na wewe umesahau kuwa enzi za Azimio la Arusha kulikuwa na nyama za kusaza kutoka Tanganyika Packers na Ranchi za NARCO? Hao majamaa walikuwa wanakula mpaka sardines kwenye makopo na zile bifu za makopo! Usijifanye ulikuwa hupitii pale Cafeteria ukitoka shuleni kwako Mlimani Primary!
 
Kwikwikwi hizo ndio prosperity. Mwaka jana kulikuwa na ukama mkubwa Georgia. Lakini ukame huo haukufanya kuongezeka kwa bei ya chakula. Nyama watu waliendelea kula bila matatizo na umeme uliendelea kuwepo.


Mara nyingi inatokea drought hapa viwanja, lakini hakuna mtu anayeelewa kuwa ukame umetokea zaidi ya wakulima wachache ambao nao wanakamatishwa mshiko kufidia hasara.

Alafu sisi tuki-subsidize wakulima wetu mnasema ohh mambo ya Azimio la Arusha hayo yamepitwa na wakati!
 
Jokakuu,

Mkuu wangu hapa ni kutoelewana tu kinachofanyika..

madai yetu ya Azimio la Arusha ni usemi unafupisha kazi kubwa ya kufikiria mlolongo wa vitu gani tunahitaji vifanyike..

Ni sawa na mtu anayesema he is a born again Christian, baada ya kuacha kumcha Mungu..Sasa watu wafikirie kwamba ni lazima mtu huyo amekuwa Mlokole wa Katoliki, wakati sisi tunachosema ni ile imani ya kumcha Mungu na sii lazima dhehebu gani la Ukatoliki ameingia..
 
Oya na wewe umesahau kuwa enzi za Azimio la Arusha kulikuwa na nyama za kusaza kutoka Tanganyika Packers na Ranchi za NARCO? Hao majamaa walikuwa wanakula mpaka sardines kwenye makopo na zile bifu za makopo! Usijifanye ulikuwa hupitii pale Cafeteria ukitoka shuleni kwako Mlimani Primary!

Unachanganya watu. Sijasoma Mlimani mimi
 
Zakumi,
Mkuu wangu umekataa niliposema Ujima yaani form ya maisha ya mwafrika ilikuwa collective work and responsibility..sasa nakuuliza wewe hiyo form ya maisha ya mwafrika unayoijua wewe ni ipi?.. kutembea uchi na mkuki mkononi au?

Mkandara hiyo collective work and responsibility ni muhimu katika jamii yoyote ya kijima kwa sababu transactions zinafanyika humo. Kwenye jamii hizi unapofanya shughuli collectively unategemea watu wakuone na watambue mchango wako. Pale unapopata matatizo watakusaidia kutokana na mchango wako.

Ndio maana katika jamii zetu, mtu akifa watu watakuja kwenye msiba kwa sababu wanajua wakipatwa na matatizo nao watahitaji msaada kutoka kwa wengine.

Hivyo collective work and responsibility unayoitaja hapa ni bima watu wanayojiwekea. Lakini tusijisifu kuwa ni kitu unique kwa waAfrika. Jamii zote zilizo chini kimaendeleo zinafanya hivi.

Kwenye nchi zilizoendelea mtu anaweza kununua bima kutokana kipato chake. Hivyo kukitokea msiba hana sababu mtu kwenda msibani au kwenye matanga.
 
..we need to move on.

..Azimio will not come back as an entire documents.

..sehemu ndogo-ndogo za Azimio kama maadili ya viongozi, serikali kumiliki vyanzo vya kiuchumi, etc etc zinaweza kurudishwa.

..pia kuleta kitu kama maadili makali zaidi ya viongozi haimaanishi kurudisha azimio la arusha, kwani maadili hayo hapa Tanzania na hata duniani yakuanza na azimio.

Mkuu hapo umenena ila hizo sio sehemu ndogo ndogo, hiyo ndio misingi/kanuni yenyewe za Azimio ambalo Nabii wake alisema tutazirejea tutake tusitake.

As a step forward tushinikize ule Muswada wa Maadili ya Uongozi aliouwasilisha Zitto upite!
 
Vipi tena mbona unaikana waziwazi bin laivu nadharia yako ya prosperity is the mother of inventions?

Nilisema Economic Prosperity is the mother of inventions. Kuwapa wanafunzi chakula bure, hile ni handout or Humanitarian relief kwa wanafunzi na ina negative impacts kwa maendeleo ya kiuchumi.
 
Back
Top Bottom