Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,609
- 1,731
Mkandara:
Unaboronga na unazidi ku-expose jinsi ujamaa ulivyokuwa product ya intellectual fraud.
Ujima hata wazungu wamepitia. Ni primitive form ya society yoyote. Hivyo compeleteness yake haitokani na maendeleo ya jamii bali na ugumu wa maisha katika jamii.
Hivyo advance form ya Ujima utaikuta kwa hadza, watindiga. Lakini huwezi kuikuta kwa wachagga au Wahaya. Hivyo basi huwezi kufikia level ya juu ya maisha kwa ku-copy characteristics za inferior level.
Kuna tofauti kati ya ku-copy (iga) na ku-adapt (tohoa). Nyerere alichofanya ni ku-adapt hasa baada ya kuona kuwa watu bado ni wajima. Ndio maana Rural and Social Development ambayo ni companion policy booklet ya Azimio la Arusha inasema hivi:
We must take our traditional system, correct it shortcomings, and adapt to its service the things we can learn from the technologically developed of other continents (Nyerere 1967: 4).