Azimio la Arusha: Kuzaliwa upya?

Azimio la Arusha: Kuzaliwa upya?

Jinsi tunavyoboronga, kwa upande wangu nafikiri Economic Prosperity is the mother of inventions. Matatizo tuliyonayo na resources zilizokuwepo, tungetalajiwa kufanya inventions za maana. Lakini hakuna kinachoendelea zaidi ya longolongo.

Unajua wazungu wana msemo wao mmoja usemao Success breeds more success...kwa hiyo nadhani uko sawa kabisa kuwa economic prosperity can fuel invention and innovations.

Sisi ni longolongo tu na kuiga iga tu. Eti bongo siku hizi wanasherehekea Haloween. Muda si mrefu wataanza kusherehekea Thanksgiving.....wee subiri tu.
 
Jinsi tunavyoboronga, kwa upande wangu nafikiri Economic Prosperity is the mother of inventions. Matatizo tuliyonayo na resources zilizokuwepo, tungetalajiwa kufanya inventions za maana. Lakini hakuna kinachoendelea zaidi ya longolongo.

Toa evidence, ni economic prosperity gani iliyomfanya Marie Curie avumbue radiation ya polonium au Archimides atoke uchi anaimba Eureka?
 
Na wewe taja nchi mmoja iliyoendelezwa bila kutumia Dira...

1. Dira ya Ufaransa - The Declaration of Man, Assimilation Policy etc
2. Dira ya Marekani - The Independence Declaration, The New Deal etc

Sasa unachanganya dira na framework maisha ya jamii. Anyway, Ngabu kakupa majibu mazuri kwa sababu kabla ya kuandikwa tayari jamii husika zilikuwa vibrant katika maendeleo.
 
Does that nullify the need to have a dira, a succesful one for that matter, as your pal Zakumi insist?

I don't care whether it nullifies or validates....I care about inventions and innovations that will tame our environment.
 
Julius,
Ni kweli kabisa kwamba Mahitaji ndio mama wa uvumbuzi.. hii ni hatua ya kwanza kabisa ingawa hao jamaa wetu sasa hivi wanakwenda Mars na mwezini wakati hawana mahitaji yoyote.. sisi waswahili tunasema wanafanya kufuru sasa!

Ukimsoma mwalimu utaona sehemu zote kaweka MAHITAJI yetu mbele ya mikakati yake yote ndani ya Ujamaa, ni wakati wa mwalimu tulipojenga dams za Umeme ambazo hadi leo hii ndio zinaendesha nchi iliyoongezeka population mara mbili, Ni mwalimu Nyerere aliyejenga viwanda vya nguo, viatu, kagha, zana za kilimo, mashirka ya usafiri wa maji, ndege na kadhalika, viwanja vya ndege (2 international airport) reli ya Zambia na hata karakana ya magari ya nyumbu na kadhalika.

Ni kutokana na msukumo wa mahitaji yetu mwalimu alijaribu kwa kila njia iwe hata kukopa kuhakikisha tunazalisha vitu hivyo nchini... haya tazama leo tuko wapi?.. tunajenga mabarabara ya kwenda Kinondoni kwa wakubwa kwa mabillioni ya dollar.. project zote za ujenzi wa barabara ni kwenda kwa viongozi iwe vijijini au mijini, nothing else kimejengwa labda hilo daraja to nowhere la Mkapa na Uwanja wa Mpira wakati nchi haina umeme wala maji ya bomba - tazama tofauti ya Priorities.

Kisha kutofanikiwa huku mnadai kwamba kumetokana na Ujamaa tena basi wameuza kila shirikka la Umma bado nchi haiwezi kwenda mbele zaidi ya kuomba Mungu. sasa hivi Bandari ya Mombasa imekuwa deal hadi Wasomali wamevumbua ulaji kwa sababu sisi tumeshindwa kuiboresha bandari yetu..Tunahitaji bandari, tunahitaji Uwanja wa ndege mkubwa zaidi, tuhnahitaji, Umeme, maji, Hospital, shule lakini vyote vimewwekwa kando hadi tunafikia kukatiana umeme ili tuonyeshane.
Huu ndio Ubepari kweli jamani?
 
Toa evidence, ni economic prosperity gani iliyomfanya Marie Curie avumbue radiation ya polonium au Archimides atoke uchi anaimba Eureka?

Pengine hakuwa na njaa wala kuwaza kesho yake atakula nini. Msosi ulikuwepo bwelele. Alikuwa na makazi yaliyo comfortable...hakung'atwa ng'atwa na mbu...etc

Uwingi wa chakula ni ishara ya prosperity. Huwezi ukawa na prosperity wakati watu wanakula mlo mmoja kwa siku.

Mimi juzi nimechoma minyama kibao hadi mingine nimetupa. Hiyo ndo prosperity bana...
 
Toa evidence, ni economic prosperity gani iliyomfanya Marie Curie avumbue radiation ya polonium au Archimides atoke uchi anaimba Eureka?

There you go again. Marie Curie alipokuwa anafanya researchies zake, jumuia yake iliweza kumlipa mapato ambayo yalimwezesha kufanya kazi zake bila kutegemea income au longolongo ya vitu vingine.

Angekuwa Tanzania ingebidi alime mchicha, akasombe kuni, alee watoto 8. je muda angeupata wapi?
 
Pengine hakuwa na njaa wala kuwaza kesho yake atakula nini. Msosi ulikuwepo bwelele. Alikuwa na makazi yaliyo comfortable...hakung'atwa ng'atwa na mbu...etc

Uwingi wa chakula ni ishara ya prosperity. Huwezi ukawa na prosperity wakati watu wanakula mlo mmoja kwa siku.

Mimi juzi nimechoma minyama kibao hadi mingine nimetupa. Hiyo ndo prosperity bana...

Alafu ukavumbua nini baada ya 'njaa ni mwana malegeza na shibe ni mwana malevya'?
 
Alafu ukavumbua nini baada ya 'njaa ni mwana malegeza na shibe ni mwana malevya'?

Aaah sasa siyo lazima mimi nivumbue kitu. Siyo kila mtu ni mvumbuzi. Kwani wewe umewahi kuvumbua nini zaidi ya kuanzisha kibulogu chako?
 
There you go again. Marie Curie alipokuwa anafanya researchies zake, jumuia yake iliweza kumlipa mapato ambayo yalimwezesha kufanya kazi zake bila kutegemea income au longolongo ya vitu vingine.

Angekuwa Tanzania ingebidi alime mchicha, akasombe kuni, alee watoto 8. je muda angeupata wapi?

Wewe Zakumi wewe hivi umesahau wanafunzi wa chuo wa enzi za Nyerere walivyokuwa wanakula na kusaza pale cafeteria mpaka masalo aliokuwa anawakimbia Julius walivyokuwa wanakuja kujipakulia masazo?

Mijamaa ilikuwa inakula kwa koponi na kununua vitu bwelele kwa koponi!
 
Alafu ukavumbua nini baada ya 'njaa ni mwana malegeza na shibe ni mwana malevya'?
Eeeeeh bwana wee hii kali duh! kweli lakini Julius ni Miafrika kama sisi hivyo baada ya kushiba na kutupa minyama alikwenda tafuta bia yake mchezo umekwisha..hakuna cha Ubunifu wala uvumbuzi.
 
Wewe Zakumi wewe hivi umesahau wanafunzi wa chuo wa enzi za Nyerere walivyokuwa wanakula na kusaza pale cafeteria mpaka masalo aliokuwa anawakimbia Julius walivyokuwa wanakuja kujipakulia masazo?

Mijamaa ilikuwa inakula kwa koponi na kununua vitu bwelele kwa koponi!

Maharage na makande wewe unaona ni vyakula vya maana?

Heheheee...umenikumbusha Masalo....wewe lazima utakuwa mtoto wa chuo wewe.
 
Eeeeeh bwana wee hii kali duh! kweli lakini Julius ni Miafrika kama sisi hivyo baada ya kushiba na kutupa minyama alikwenda tafuta bia yake mchezo umekwisha..hakuna cha Ubunifu wala uvumbuzi.

Oh yeah...baada ya kusaza minyama nikakamua Heineken....wewe ulitaka nikavumbue nini baada ya hapo?
 
Aaah sasa siyo lazima mimi nivumbue kitu. Siyo kila mtu ni mvumbuzi. Kwani wewe umewahi kuvumbua nini zaidi ya kuanzisha kibulogu chako?

Juliasi mimi sina hizo pre-condition mnazodai kuwa ndio zinapelekea kuvumbua - sina prosperity wala sina necessity, nipo katikati tu! Ila huyu mtoto ni mvumbuzi anayihitaji Mwongozo wa Azimio la Arusha u-releaze hela za mafisadi ili zimuwezeshe kuendeleza uvumbuzi wake according to Zakumi's prosperity thesis on invention:

23092009.jpg
 
Oh yeah...baada ya kusaza minyama nikakamua Heineken....wewe ulitaka nikavumbue nini baada ya hapo?
Badala ya kutupa hiyo minyama labda unaweza kutengeneza nyama kavu, mbolea au kitu chochote ukauza kwa Miafrika..
 
Zakumi,
shukran umerudi bado nikiwa hapa... leo siondoki hadi tumemaliza dsomo zima..Nitakufahamisha vizuri kuhusu Ujamaa achana na hizo habari za Ucommunist na forged idealogy ambayo hailingani na sisi. na nitakujibu ppasipo kuongeza swali juu ya swali kama unavyofanya wewe na wadanganyika wengine.

Ujamaa ulikuwa unalenga nini?
Kwanza sii kweli kuwa Ujamaa ni Maisha ya Waafrika - laa hasha, sii kweli na ndio maana huelewi maana hadi leo..
Mkuu wangu, UJIMA ndio maisha ya waafrika yaani WATU, kwa lugha yenu wanaita Collective work and Responsibility..Na ndio msingi wa maisha ya mwafrika karne na karne.
Ujamaa ni a comlete package Unalenga MAZINGIRA tunayoishi..Ni mazingira yapi tunayotakiwa kuishi hivyo kutuwezesha kwenda mbele tukilinda ardhi yetu, wazawa, maliasili zetu, rasilimali zetu, culture na kadhalika.

Kwa hiyo kila nchi inajitengenzea Mazingira kulingana na watu wake na ni katika kutazama Principals za mfumo mzima ndipo unapoweza kusema huu ni Ujamaa. tatizo lenu wengi hapa mnatazama mambo madogo ambayo kweli yanaweza kuwa muhimu lakini hata yasipokuwepo maadam principal bado zipo hayawezi kubadilisha dira nzima ya wahusika.

Mkandara:

Unaboronga na unazidi ku-expose jinsi ujamaa ulivyokuwa product ya intellectual fraud.

Ujima hata wazungu wamepitia. Ni primitive form ya society yoyote. Hivyo compeleteness yake haitokani na maendeleo ya jamii bali na ugumu wa maisha katika jamii.

Hivyo advance form ya Ujima utaikuta kwa hadza, watindiga. Lakini huwezi kuikuta kwa wachagga au Wahaya. Hivyo basi huwezi kufikia level ya juu ya maisha kwa ku-copy characteristics za inferior level.
 
Badala ya kutupa hiyo minyama labda unaweza kutengeneza nyama kavu, mbolea au kitu chochote ukauza kwa Miafrika..

Angeweza hata kuvumbua mashine ya kuzi-recycle au kuzi-preserve further!
 
Wewe Zakumi wewe hivi umesahau wanafunzi wa chuo wa enzi za Nyerere walivyokuwa wanakula na kusaza pale cafeteria mpaka masalo aliokuwa anawakimbia Julius walivyokuwa wanakuja kujipakulia masazo?

Mijamaa ilikuwa inakula kwa koponi na kununua vitu bwelele kwa koponi!

Kuna maana gani ya kumpa mwanafunzi wa chuo kikuu maisha mazuri kwa kipindi cha muda wa miaka mitatu wakati maisha yake ya primary school, sekondary school na yale anayoishi baada ya chuo yapo ovyo ovyo.

Haya ndio makosa makubwa ya nchi za kiAfrika. Kuwa na elite Universities wakati mambo mengine ni longolongo tu.
 
Back
Top Bottom