Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,555
- 19,430
Hotuba ya Mzee Mwinyi inaonyesha kuwa walichofanya kule Zanzibar ilikuwa ni kutoa tafsiri mpya ya miiko ya Uongozi ya Azimio la Arusha kulingana na wakti. Ila ninadhani kuwa walikuwa na mtazamo mfupi sana kuamini kuwa wanaweza kutoboa tairi kwa sindano nyembamba sana na bado tairi hilo likabaki na upepo umbali wote wa safari.