Hapo mtihani ila Navyoipend Tv1 naenda star time mapemaaa.Hahaaa. Confederation cup ikiisha kuna nini kingine cha zaidi.
Hapo mtihani ila Navyoipend Tv1 naenda star time mapemaaa.Hahaaa. Confederation cup ikiisha kuna nini kingine cha zaidi.
Mkuu tv1 au KFS ni next level kwa sasa sio ya kuilinganisha na azam,inamilikiwa na bilionea huyu ana chaneli za tv zaidi ya 20 duniani mitandao ya simu na biashara nyinginezo lukuki Afrika na abroad...mshkaji wangu wa StarTimes anasema wanakuja na vingamuzi vyao soon. ...tycoon mmiliki wa tv1 huyu hapa Strive Masiyiwa - WikipediaTido na crew yake wanaona NDONDO CUP na COSAFA ndiyo zina maana zaidi ya Confederation Cup ya Russia.
Yaani TV1 wameweza halafu Azam yenye utitiri wa chanels na resources kibao imeshindwa?
Hii nchi ujinga mwingi sana.
Haaaaa..! sas Azam hakuna mishe... naona mpaka ligi kuu lianzeStar times tunaangalia kila Siku kwa raha zetu
Game za shirikisho unaweza kuiona hapo hapo Azam TV..... Fanya hivi.....nenda other channel afu tafuta Chanel inaitwa CRTS 1,ni ya Senegal nafikiri.Kumbe ndo maana nimenunua kirufushi Azam, So natafuta TV 1 nicheck mechi ya Mabara siioni..
Kwa hyo wamehamia kwenye king'amuzi gani..?
Ok.. pamoja mkuuGame za shirikisho unaweza kuiona hapo hapo Azam TV..... Fanya hivi.....nenda other channel afu tafuta Chanel inaitwa CRTS 1,ni ya Senegal nafikiri.
Huko mechi kama kawa,hata world cup mwakani tutaangalizia huko huko.
Naendaje kwenye other channels?Game za shirikisho unaweza kuiona hapo hapo Azam TV..... Fanya hivi.....nenda other channel afu tafuta Chanel inaitwa CRTS 1,ni ya Senegal nafikiri.
Huko mechi kama kawa,hata world cup mwakani tutaangalizia huko huko.
Kwahiyo ndio hakuna kabisa me nafungua naona giza tuHivi mkuu unaking'amuzi cha azam lakini. Mana hapa ninapoongea nimeijaribu Tv 1 haionyeshi kitu.
Kwa hizo za kenya sawa kabisa. Itabidi leo nihamie huko aisee japo kuwa picha zake ni hafifu. Tofauti na Tv 1
Star timeKumbe ndo maana nimenunua kirufushi Azam, So natafuta TV 1 nicheck mechi ya Mabara siioni..
Kwa hyo wamehamia company gani..?
KBC one ya kenyaWatuambie kombe la Mabara wataonyesha channel gani na Leo ni nusu fainali?
Unaendaje mkuu?Nenda kwenye zile channel za ziada angalia CRTV iko clear sana
Ndio ishaondoka hiyo dadaKwahiyo ndio hakuna kabisa me nafungua naona giza tu
KBC YA KENYA WANAONYESHAWatuambie kombe la Mabara wataonyesha channel gani na Leo ni nusu fainali?
Sasa inatishia kivipi?Wapuuzi hawa wameona ina soko sana inatishia uhai wa LA liga yao yasiyo na maana nahamia statimes wapuuzi hawa.
Ukibofya ok ukiona list ya channel za azam kabla hazijatoka unabofya volume up kama unaongeza sauti utaona zinatokea hapo, ukitaka kusikiliza redio unabofya tena vol up. Sorry for late replyUnaendaje mkuu?