Duh,nimeona mkuu,ni giza I seeHivi mkuu unaking'amuzi cha azam lakini. Mana hapa ninapoongea nimeijaribu Tv 1 haionyeshi kitu.
Kwa hizo za kenya sawa kabisa. Itabidi leo nihamie huko aisee japo kuwa picha zake ni hafifu. Tofauti na Tv 1
Duh,nimeona mkuu,ni giza I seeHivi mkuu unaking'amuzi cha azam lakini. Mana hapa ninapoongea nimeijaribu Tv 1 haionyeshi kitu.
Kwa hizo za kenya sawa kabisa. Itabidi leo nihamie huko aisee japo kuwa picha zake ni hafifu. Tofauti na Tv 1
Leo tusio na supersport inabidi tuhamie tu kwenye channel za kenya mana kama mimi mpenzi wa portugal sina budi aisee.Duh,nimeona mkuu,ni giza I see
Pole sana,jamaa wametuhanithi kweliLeo tusio na supersport inabidi tuhamie tu kwenye channel za kenya mana kama mimi mpenzi wa portugal sina budi aisee.
Hahaaa. Umenichekesha mkuu. Yaani unageuza geuza ungo kwa kukosa channel moja.Aiyaaaaaaa!
Ndio maana nahangaika kuugeuzageuza ungo nikidhani labda ungo umekaa vibaya kumbe wameiondoa bhana...!?
So tunaangalia hii nechi ya Leo wapi?
Kabisa aisee. Ila ndio hivyo hatuna jinsi.Pole sana,jamaa wametuhanithi kweli
Hama unangoja nn waambie waje kuchukua Dish lao we vipi?OK sawa, labda sikuwa makini.
Ila ni pengo sana mkuu
Star times tunaangalia kila Siku kwa raha zetuKumbe ndo maana nimenunua kirufushi Azam, So natafuta TV 1 nicheck mechi ya Mabara siioni..
Kwa hyo wamehamia company gani..?
Ndio wanayoHivi wana star TV?
duuuu mkuu unageuza geuza ungoAiyaaaaaaa!
Ndio maana nahangaika kuugeuzageuza ungo nikidhani labda ungo umekaa vibaya kumbe wameiondoa bhana...!?
So tunaangalia hii nechi ya Leo wapi?
Mie nilijua kunguru kishafanya mambo yake mkuu!Hahaaa. Umenichekesha mkuu. Yaani unageuza geuza ungo kwa kukosa channel moja.
Ama kweli upenzi wa soka hauwezi kumuacha mtu salama.
Ahahaaa!duuuu mkuu unageuza geuza ungo
hii chai kavu
Hahahaaaa. Pole aiseeMie nilijua kunguru kishafanya mambo yake mkuu!
Kweli kabisa mana hata NBA ilikuwa inaonyesha.Wapuuzi hawa wameona ina soko sana inatishia uhai wa LA liga yao yasiyo na maana nahamia statimes wapuuzi hawa.
Lipia dstv bomba ni 19500/- tu kwa mwezi unapata confederation cup channel 233&234Na mechi ni saa 3 usiku sio muda huu.
Hahaaa. Confederation cup ikiisha kuna nini kingine.Lipia dstv bomba ni 19500/- tu kwa mwezi unapata confederation cup channel 233&234