Azamu kuiondoa Tv 1 kwanini?

Azamu kuiondoa Tv 1 kwanini?

Yani king'amuzi cha Azam wamefutilia mbali Tv 1 hata bila Taarifa.
Wakati walikuwa wanaonesha michuano ya mipira mbalimbali,ikiwa ni pamoja na confederation cup.
Kwanini Azam?
Walitoa taarifa. Huenda wewe ndio hukuipata.
TV 1 wametaka wenyewe waondolewe
 
Kumbe ndo maana nimenunua kirufushi Azam, So natafuta TV 1 nicheck mechi ya Mabara siioni..
Kwa hyo wamehamia company gani..?
 
Kumbe ndo maana nimenunua kirufushi Azam, So natafuta TV 1 nicheck mechi ya Mabara siioni..
Kwa hyo wamehamia kwenye king'amuzi gani..?
 
Watuambie kombe la Mabara wataonyesha channel gani na Leo ni nusu fainali?
 
Aiyaaaaaaa!
Ndio maana nahangaika kuugeuzageuza ungo nikidhani labda ungo umekaa vibaya kumbe wameiondoa bhana...!?
So tunaangalia hii nechi ya Leo wapi?
 
Wakuu msipanic,mi mwenyewe nilichemka siku moja,ila sasa wanaaita tv1 tanzania,chanel 119,game zote utazipata hapoa,pia kbs nao wanaonesha kama sikosei
 
Tido na crew yake wanaona NDONDO CUP na COSAFA ndiyo zina maana zaidi ya Confederation Cup ya Russia.

Yaani TV1 wameweza halafu Azam yenye utitiri wa chanels na resources kibao imeshindwa?

Hii nchi ujinga mwingi sana.
 
Itaonesha,kama unataka soka cheki kbs au k24,Mojawapo itaonesha
Hivi mkuu unaking'amuzi cha azam lakini. Mana hapa ninapoongea nimeijaribu Tv 1 haionyeshi kitu.

Kwa hizo za kenya sawa kabisa. Itabidi leo nihamie huko aisee japo kuwa picha zake ni hafifu. Tofauti na Tv 1
 
Back
Top Bottom