Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,288
- 9,923
Msimamo wa kijuha, mimi ni Mkristo sioni tatizo kwenye bidhaa za azam, hili la Program ya TV isiwe sababu ya kumbagua mtanzania mwenzetuSitumiagi bidhaa yotote ya Azam ni msimamo wangu tu binafsi na familia yangu tangu 2014